Iringa imemchoka Msigwa!

Mleta mada ukichoongea no kweli Lowasa nawenyekiti was CCM Iringa ndio waliwezesha Msigwa kushinda.Wabunge wengi chadema walishinda kwa kupitia Lowasa Sasa hivi hayuko chadema wengi wanaenda kudondoka hawapiti Tena.Ushauri want visenti wanavyopata wavitumie vizuri danabu uwezekano was wao kurudi bungeni haupo
 
Nipo Iringa hapa kura yangu kwa Msigwa hata iweje.
Kamwe katika maisha yangu siwezi kumpa kura yangu mbunge ambaye anaenda kusema "NDIYO MZEE" kwa kila kitu,nataka wabunge Kama akina Msigwa wanaoweza kuhoji.
 
Leo nilikuwa naongea na mfanya Biashara mmoja akasema kuwa ccm kumdondosha msigwa Iringa Labda wamweke agombee na Asas sababu kila LeoAsas anagawa hela sana kwa watu.
MTU anayegawa hela ubunge wa kazi gani, miafrica INA matatizo ya akili
 
Nipo hapa Iringa ninachoshuhudia ni hali ngumu kwa Msigwa ambaye kwa sasa ni Mbunge kupitia CHADEMA. Mwaka 2015 Msigwa alipita kwa nguvu ya wafuasi wa Lowassa wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa, dada Mtangasavangu.

Hali ni ngumu kwa Msigwa sasa amefikia hatua ya kufanya makosa ya jinai ili akamatwe na polisi angalau kupata kisingizio cha kuzuiwa na polisi.

Nimalize kwa kusema Msigwa ni Mbunge mwingine ambaye anaenda kurudia kazi ya kuuza mitumba ili wana-Iringa wapate maendeleo.

Sasa unatuambia sisi umu JF ili tufanyaje?
 
Back
Top Bottom