Pamoja na yote wanyalukolo huwa washaamua watampa nani,polisi si kikwazo kwao.Hakuna uchaguzi uliowahi kukosa rundo la polisi Iringa kuanzia enzi za chama kimoja!
Pamoja na yote wanyalukolo huwa washaamua watampa nani,polisi si kikwazo kwao.Hakuna uchaguzi uliowahi kukosa rundo la polisi Iringa kuanzia enzi za chama kimoja!
MTU anayegawa hela ubunge wa kazi gani, miafrica INA matatizo ya akiliLeo nilikuwa naongea na mfanya Biashara mmoja akasema kuwa ccm kumdondosha msigwa Iringa Labda wamweke agombee na Asas sababu kila LeoAsas anagawa hela sana kwa watu.
Nahisi ni mwanaume. Sijawahi kufuatilia maandishi yake lakiniSijui kwani ni Mwanaume huyu?
Nipo hapa Iringa ninachoshuhudia ni hali ngumu kwa Msigwa ambaye kwa sasa ni Mbunge kupitia CHADEMA. Mwaka 2015 Msigwa alipita kwa nguvu ya wafuasi wa Lowassa wakiongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa, dada Mtangasavangu.
Hali ni ngumu kwa Msigwa sasa amefikia hatua ya kufanya makosa ya jinai ili akamatwe na polisi angalau kupata kisingizio cha kuzuiwa na polisi.
Nimalize kwa kusema Msigwa ni Mbunge mwingine ambaye anaenda kurudia kazi ya kuuza mitumba ili wana-Iringa wapate maendeleo.