Iringa: Basi la New Force la Mbeya - Dar, lapata ajali mlima Kitonga

Iringa: Basi la New Force la Mbeya - Dar, lapata ajali mlima Kitonga

Nashukuru Mkuu nlikua cjui mzee Baba
Kuna Chakubanga mmoja amenijibu kunyaa hapo juu aise
Kwakweli Chakubanga kakuboa.Itakuwa kakujibu wakati eneo Hilo Kuna mende karibu.Hivyo ulitaka kumuharibia timing ya kumruka( Joke).
 
Kwakweli Chakubanga kakuboa.Itakuwa kakujibu wakati eneo Hilo Kuna mende karibu.Hivyo ulitaka kumuharibia timing ya kumruka( Joke).
Atakua mwanaume wa Dar Ndiyo tabia zao wanaogopa mende sana
tapatalk_1539697612229.jpeg
 
Kampuni moja hiyo
Nilipanda newforce kutoka mbeya na nilivyo muoga sasa kila mda namuomba Mungu wangu anifikishe salama
 
Watu kadhaa wamenusurika kifo katika Mlima Kitonga Mkoani Iringa baada ya basi la kampuni ya New Force lililokuwa likitokea Mbeya kuelekea Dar es Salaam kugongana na gari nyingine linalodaiwa kuwa ni la Kampuni ya Golden deer lilokuwa likitokea Dar kwenda Tunduma na kisha kuanguka chini ya mlima huo wenye mteremko mkali.

Kaimu Kamanda Polisi wa mkoa wa Iringa, Deusdedit Kashindo amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa taarifa za awali zinasema kuna majeruhi tu.
Kituko new force inagongana na new force, washukuru basi limepindukia upande wenye mlima na sio korongoni.
 
Jamani Wax mie Simo.Nataka Christmas nikasherekee Vyombo Vituka kwa shemeji.Wasije wakanipa PI.Wanaume wa Dar endeleeni kupanga foleni kwenye chipsi zenye ukwaju kwa mpemba.
 
Aisee kampuni yetu pendwa hii.Mnaofurahia na kudhihaki new force nawaambia ikifa hyo kampuni tutapata tabu sana huko nyanda za juu kusini.wameshika njia.
Itakuwa wabongo wamewapiga zongo new force.
 
Kampuni moja hiyo
Nilipanda newforce kutoka mbeya na nilivyo muoga sasa kila mda namuomba Mungu wangu anifikishe salama
hahaaa na wewe kweli inaonesha mwoga, umezoea shambalai eee?
 
Hahahahha si unajua shambalai letu tumeshazoea mwendo wake newforce hapana aisee dereva akiovertake brake nafunga mm
hahaaa na wewe kweli inaonesha mwoga, umezoea shambalai eee?
 
safari za nyanda za juu kusini new force ndio kampuni pekee inayojielewa, wana mabasi ya kutosha na ustaarabu wa kulidhisha
 
Visivyoonekana ndio visivyojulikana!
Hapana

Visivyoonekana ni tafsiri pana ila visivyojulikana ni issue ya utambulisho. Say kabla ya kujua ndege naweza kupata picha kwa ndege warukao (wanyama) japo kwa meli mmmh ni shida. HII NI FASIHI.TAFAKARI
 
Roho mbaya usikute hata mokoteni huna
Mapendekezo yangu ni hata
1) watanzania susieni haya mabasi ya kampuni ya New Force !!! Haiwezekani kila Sikh ni haohao wanasababisha ajali kunatatizo ndani ya hii kampunu
2) serikali isimamishe Kwa muda hii kampuni ifanye uchunguzi WA kitaalamu kwann hii kampuni inakua na ajali nyingi!??
 
Hakuna cha wachina wala nini, abiria ndiyo wanaendekeza hizi ajali kwa kuacha dereva afanye analotaka mpaka inafikia ajali Udreva wa enzi ya Facebook una Matatizo sana ukikimbiza na kuendesha kwa Fujo ndiyo unaonekana unajua kuendesha
Kukimbiza gari hakuna uhusiano na ajali,
Daereva kama hayuko makini hata speed ndogo anapata ajali,
Pia sio kila ajali husababishwa na dereva wa gari husika, wengine wanasababishiwa na wa magari mengine ila kosa linaonekana kwa lililopata ajali.
 
Back
Top Bottom