Sasa unataka wakae wapi wakati upande huo ndio kuna sehemu yao ya kukaa?Inategemea na aina ya ajari, mala ngapi gari zinagongana uso kwa uso dreva ana kufa na walio upande,wake? na upande huu mwingine wanapona?
peter kaduma???RIP my classmate kijana mdogo kabisa
Kwa upole wako mara nyingi nakuchulia ni msukuma. Pole kwa kukubatiza kabila sio lako
Hamnaga trafick huko.spidi gavana vipi. mbona bus zinakumbia sana
usikariri maisha ,ingekuwa hivyo madereva wasingekuwa wanakufa kwenye ajaliWanaotaka kufa Kama wewe.
ni uwoga tu unatusumbua ajali haina formula mkuuHahahah watakaa walokole waliojiandaa kwenda mbinguni anytime!
yaani mpaka usikie dereva kafa kwenye ajali ya mabasi.usikariri maisha ,ingekuwa hivyo madereva wasingekuwa wanakufa kwenye ajali
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kama naye yupo speed halafu ghafla anaona gari ipo karibu mita ambazo hazifiki hata 10 anafanyaje?Inasikitisha sana...
Hivi mfano mjinga mmoja anapochomoka na ku overtake kwenye foleni, wanaokuja mbele yake wanashindwa kupunguza mwendo, mpaka waje kukutana uso kwa uso?