Wengi huwa hawaanzii kuisoma habari, kuanzia mwanzo!Ushaambiwa Migori Iringa. Usichojua nini mwanangu au ubishi tu?
Sasa unataka wakae wapi wakati upande huo ndio kuna sehemu yao ya kukaa?Inategemea na aina ya ajari, mala ngapi gari zinagongana uso kwa uso dreva ana kufa na walio upande,wake? na upande huu mwingine wanapona?Hao makonda uwa wanapendaga kukaa pembeni ya dereva.
Ikitokea ajali dereva anawapeleka wao kwanza wa upande wa kushoto.
Ukipanda gari hakikisha unakaa siti za upande wa dereva.
Dereva wa lorry alikuwa anabeti 😂 maswala ya kutaka ku overtake off-site ni mabaya sana! Unaweza ukazingua yani ikawa balaa ukafa kabisa
Migori - JapaniM
Mgori- Singida
Migori- Iringa & Kenya
Asilimia kubwa kwenye ajali inayoua madereva wengi uwa wanatoka.Sasa unataka wakae wapi wakati upande huo ndio kuna sehemu yao ya kukaa?Inategemea na aina ya ajari, mala ngapi gari zinagongana uso kwa uso dreva ana kufa na walio upande,wake? na upande huu mwingine wanapona?
Acha kupaniki taarifa hii umeisoma baada ya kueditiwa muulize muleta mada kama ilikuwa hivyo.Ushaambiwa Migori Iringa. Usichojua nini mwanangu au ubishi tu?
Migori
Izazi mkuuMaeneo gani imetokea
Acha basi kujikuta Messi kwenye kukwepa ajali mjingawewe.Hao makonda uwa wanapendaga kukaa pembeni ya dereva.
Ikitokea ajali dereva anawapeleka wao kwanza wa upande wa kushoto.
Ukipanda gari hakikisha unakaa siti za upande wa dereva.
Sasa jitie ubishi ukabananishwe na scania.Acha basi kujikuta Messi kwenye kukwepa ajali mjingawewe.
MjingaweweSasa jitie ubishi ukabananishwe na scania.
unatakiwa UFE NA DEREVA.
Mwezi Jana nilitaka kupoteza mzazi happy baada ya gari ndogo aliyokuwa amepanda kupinduka na kuvunjika bega na wengine kujeruhiwa walikimbizwa Iringa Hosp baada kwakweli Hali ilikiwa mbaya Sana now ameri cover mzazi wangu