Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 37,427
- 79,690
Mkuu kwani hyo picha inanyweshwa pombe?
Mkuu kwani hyo picha inanyweshwa pombe?
Kivipi? Sidhani Kama Mungu hana akili
Waambie waambiealafu iwe mwanzo na mwisho kufananisha pombe na ushetani...alaaaaaaaaaah vipi wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni imani mkuu ikiwa umeacha athari nzuri kama umechimba kisima basi utaandikiwa mema yako ( Thawabu) kwa wema uliouacha hata kama ukiwa umekufa na kinyume chake ukiaacha athari mbaya inaweza kukuweka pabaya mbele za MunguUshamuona huyo mola akasema jambo hilo litamuweka pabaya!? Huyo mola atakuwa mjinga kiasi gani asikielewe kiumbe chake kwa picha iliyowekwa na kiumbe kingine, hebu tafuta kazi ya kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana kabla ya kumuweka kuna maubaliano aliyoyafanya na ndugu zake who knows...mtoa mada unadata zote??
Asante sanaUshamuona huyo mola akasema jambo hilo litamuweka pabaya!? Huyo mola atakuwa mjinga kiasi gani asikielewe kiumbe chake kwa picha iliyowekwa na kiumbe kingine, hebu tafuta kazi ya kufanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Naam kwa mfano ukitaja maovu yake aliyokuwa akiyafanya duniani au kueneza uovu wake duniani au kumsema juu ya Tabia zake chafu alizokuwa anafanyaOgaaah! Hivi kumbe unaweza kusababisha watu wawe na hali mbaya huko kaburini??
Sent using Jamii Forums mobile app