Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Tetesi: Irene Uwoya anatoka na GSM

Status
Not open for further replies.
wao wanadanga kwa maboss wakubwa,
Mie nimeolewa na boss wa size ya kati, nadhan ushaona tofauti yake hapa.
Af sio kila mtu ana shobo na hao maboss wakubwa.
One day unachepuka kwa Maboss wakubwa, au mume wako ana wivu?
 
Oooh kumbe anamkula GSM na yeye huyo GSM anawakula kina ommy dinpozi na kina neddy?
Hapana jux anakula, ndo alikuwa anamla nedy, sasa GSM ndo amemchukua nedy, ko jux yupo single.
GSM nae anakula tyuuh.

Afu sijui jux na yule mkurugenzi wa Hyatt regency waliishia wapi? alimuacha kisa jux anamla nedy, yaan mambo vururu tyuuj.
 
Hapana jux anakula, ndo alikuwa anamla nedy, sasa GSM ndo amemchukua nedy, ko jux yupo single.
GSM nae anakula tyuuh.

Afu sijui jux na yule mkurugenzi wa Hyatt regency waliishia wapi? alimuacha kisa jux anamla nedy, yaan mambo vururu tyuuj.
aisee bongo nyoso hii sikuhizi wanaume wanadanga kabisa, aisee Vanessa alivumilia mengi kwa huyo jux kupita maelezo wallah,
Hafu huyo GSM si ndo kazaa na mtoto wa director Joan, katoto ka kike kamefanana hatari na huyo mwenyewe
 
Kwa maana hiyo bidada hana marinda pale alipo anahara tu maana waarabu na mnyeso ni chanda na pete. Atakata center bearing muda si mrefu adaadeki.
 
Hata Nedy pia anapita nae, kampindua jux
Dimpoz anaona wivu hataree, hatak wake wenza.
Mweh, nyie hizi mambo mnazitoaga wapi? Hebu nipe orodha ya mastaa wa bongo wakiume wanaosukumiziwa dyudyu la yuu l.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom