mwantui
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 1,639
- 846
mkuu unabahati mbaya sana na majina ya irene me nina binti yangu anaitwa irene usimkaribie kabisa.Irene wa kwanza alining'ata kidole shule ya msingi,wa pili alinisingizia mimba,wa tatu alivunja kioo cha gari nikiwa nimempakia shem wangu akijua ni demu wangu,wa nne kanifukuza kazi...wote irene hawa...samahani lakini,ni kumbukumbu binafsi hazihusiani na uzi huuuu