Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukanaKumekua kunazagaa taarifa kwamba Iran inajiandaa kuishambulia Israel kama kujibu mashambulizi…..
Basi huo ndio utakua mwisho wa Iran.
Ikumbukwe kwamba Israel imekua ikimtamani Iran siku nyingi sana na ilishajipanga hata kupigana vita na iran bila hata ya US.
Kwasababu israel haikuweza kuishawishi NATO au US kuingia vita moja kwa moja na iran basi imekua ikichochea kuongezeka kwa sanction kwene serikali hiyo ya iran kila kukicha.
Iran inafahamu hili ndio maana haijawai kuishambulia Israel moja kwa moja pamoja na kua Irael imekua ikihusika na milipuko mbalimbali ndani ya Iran,kuuliwa kwa wanasayansi na kupandikiza wapelelezi kuihujumu.
Kushawai kuwa na utabiri kutoka kwa Senetor wa marekan Lindsey Olin Graham kua Israel Itaishambulia Iran na marekani itafanya.
Bye bye Iran
View attachment 2953272View attachment 2953273
Hapahapa Kwamtogole nipo mazee nasubiria.Uzi umekimbiwaa wachambaji eh wachambuzi wa kwa mtogole njooni huku
mwenye uzi amebanwa tumbo la kuhara😂😂😂😂😂😂kiko wap
Kampigaje sasa! Hakuna bomu kamili hata moja lililoingia Israel. Mabomu yoote yalipanguliwa hewani! Sasa subiri show ya Israel! Akiachia moja limo!Haya sasa Iran keshatimiza ahadi yake mnasemane sasa. Kwa dharau kawapa taarifa 72hrs kabla kwamba keshokutwa nampiga Israel msipojipanga shauri yenu😄
Hahahaha mbona mapema umelala hamka utajikojoleaKampigaje sasa! Hakuna bomu kamili hata moja lililoingia Israel. Mabomu yoote yalipanguliwa hewani! Sasa subiri show ya Israel! Akiachia moja limo!
hahaa we Iran umezingua wachambuzi aisee.... mkuu hivi umeshapata taarifa? Iran keshapiga huko umesikia kinachoendelea?Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
Wewe ulipotezwa na propaganda za NATO na wishifull thinking kwamba Putin hatamaliza mwaka 2023 na Sasa tumefika robo ya mwaka 2024 Putin hajafa na kashinda tena uchaguzi.Naungana na wewe ktk vita itaifanya Iran kupotea kabisa ktk Ramani ni kurusha japo kaboom kamoja Israel kiufupi sio Israel tu ila mataifa yote ya west yanaham kuipoteza Iran kwa sababu ndio chanzo cha shida middle East. Mbaya zaid ndio anaye mpa kiburi Putin yaaniiii kitanukana
Wana wivu 🤣Kwani mna tatizika nini Iran kuwa na Serikali ya kiislam? Mbona Saudia haiwakeri? Mbona Israel ina Serikali ya Kiyahudi? Why serikali ya kiislam ya iran iwe issue kwenu?