IRAN yaiwekea vikwazo Marekani

Ndiyo wanaanza kuua hiyo petrol dollar. Iran atampa mafuta ghafi, Urusi atampa teknolojia na vifaa vigine. Venezuela itakuwa hivyo hivyo. Philipino kwa Durtete kunauwezekano huo pia. Us alikataa kumuuzia Durtete bunduki 277,000 za kisasa kwa sasa ameamua kwenda Urusi na Juzi inasemekana walisaini mikataba ya maana 11 ; pia Russia imetumika wataalamu wa kivita kumsaidia Durtete na vita dhidi ya magaidi huko kwake.
Subiri uone km kuna kitu ambacho kitabadilika unadhan Marekani alikua hajui km siku hii itafika?!. Cha kuangusha Us dollar kwa sasa ni labda waue huu mfumo wa Petrodollar.
Ndiy
 
Ndiyo wanaanza kuua hiyo petrol dollar. Iran atampa mafuta ghafi, Urusi atampa teknolojia na vifaa vigine. Venezuela itakuwa hivyo hivyo. Philipino kwa Durtete kunauwezekano huo pia. Us alikataa kumuuzia Durtete bunduki 277,000 za kisasa kwa sasa ameamua kwenda Urusi na Juzi inasemekana walisaini mikataba ya maana 11 ; pia Russia imetumika wataalamu wa kivita kumsaidia Durtete na vita dhidi ya magaidi huko kwake.
Ndiy
Yan petrodollar aiue Iran?!, wkt kuna akina Venezuela, Qatar na baba yao Saudia...

Fatilia ishu ya Philippines half angalia kat ya US na Ufilipino nan alkua anamhtaj sana mwnzke.US alkua anamtumia Ufjlipino kwenye ishu ya south China sea ili wasielewane na China lakn sio et mshirika mkuu kibiashara....

Hyo ya Venezuela labda itokee ww na me tukiwa tumekufa maaana hv sasa huko Venezuela CIA wanafanya kaz yao wakimalza wanambandika puppet wao, Kwisha hbr
 
Yan petrodollar aiue Iran?!, wkt kuna akina Venezuela, Qatar na baba yao Saudia...

Fatilia ishu ya Philippines half angalia kat ya US na Ufilipino nan alkua anamhtaj sana mwnzke.US alkua anamtumia Ufjlipino kwenye ishu ya south China sea ili wasielewane na China lakn sio et mshirika mkuu kibiashara....

Hyo ya Venezuela labda itokee ww na me tukiwa tumekufa maaana hv sasa huko Venezuela CIA wanafanya kaz yao wakimalza wanambandika puppet wao, Kwisha hbr


You think m US yuko behind hili zengwe linaloendelea Venezuela?
Inasikitisha lakini jinsi namba ya kasi ya vifo inavyoendelea kukua, kama sijakosea wanakaribia tano bora(kama hawajafika bado) kwa huu mwaka.
 
You think m US yuko behind hili zengwe linaloendelea Venezuela?
Inasikitisha lakini jinsi namba ya kasi ya vifo inavyoendelea kukua, kama sijakosea wanakaribia tano bora(kama hawajafika bado) kwa huu mwaka.
Bila Shaka maana Rais wa Venezuela alkua akiilaumu Marekani kwa machafuko, ila pia na hali mbaya ya kiuchumi nchini humo pia inachangia.
 
Tehran has announced that purchase orders by merchants that are based on US currency would no longer be allowed to go through import procedures.
According to local media, the policy is in line with an official request by the Central Bank of Iran (CBI) and is specifically meant to address fluctuations in market rates of the US dollar.

The CBI’s director of Foreign Exchange Rules and Policies Affairs, Mehdi Kasraeipour, was quoted by IRNA news agency as saying the move had become effective from Wednesday by virtue of a letter sent to the Ministry of Industry, Mines and Trade.

Iran bans use of US dollar in trade
====
Tutafika mdogomdogo
 
Maana ya vikwazo ni kuepuka kushirikiana na mtu ama taasisi yeyote,kwa baadhi ya mambo ikiwa ni pamoja na kutouza ama kutonunua kitu fulani kwa mtu huyo amataasisi hiyo.hapa nchi ni kama taasisi.
 
Iran yaanza kuachana na matumizi ya dola ya kimarekani
Russia & Iran sign oil-for-goods trade agreement

Tuombe uhai,ikifika 2020 ntaufufua tena huu Uzi nikuulize kuhusu mabadiliko ya

Ilikuwa inazungumzwa tu utekelezaji ulikuwa bado. Ndiyo wameanza sasa
Ili

Utekelezaji umefikia wapi!? Au wameamua kutangaza tena kwamba wanaachana na dola huku bado wakiendelea kuitafuta kwa Hali na mali

Subiri uone km kuna kitu ambacho kitabadilika unadhan Marekani alikua hajui km siku hii itafika?!. Cha kuangusha Us dollar kwa sasa ni labda waue huu mfumo wa Petrodollar.

Haya tunakarbia mwaka sasa nini kimebadilika mkuu TUJITEGEMEE maana Dollar ndo inazidi kua na nguvu na huku uchumi wa Marekani ukikua kwa Kasi kuliko miaka karibu kumi iliyopita

Ndiyo wanaanza kuua hiyo petrol dollar. Iran atampa mafuta ghafi, Urusi atampa teknolojia na vifaa vigine. Venezuela itakuwa hivyo hivyo. Philipino kwa Durtete kunauwezekano huo pia. Us alikataa kumuuzia Durtete bunduki 277,000 za kisasa kwa sasa ameamua kwenda Urusi na Juzi inasemekana walisaini mikataba ya maana 11 ; pia Russia imetumika wataalamu wa kivita kumsaidia Durtete na vita dhidi ya magaidi huko kwake.
Ndiy

TUJITEGEMEE unazikumbuka hizi comment zangu !? Embu tueleze sasa ilivyo sasa baada ya Venezuela kuwekewa vikwazo na Marekani,na vipi kuhusu mahusiano ya US na Ufilipino,je yamevunjika!?

Bila Shaka maana Rais wa Venezuela alkua akiilaumu Marekani kwa machafuko, ila pia na hali mbaya ya kiuchumi nchini humo pia inachangia.

Kwa yanayoendelea sasa Venezuela nadhani utakua umeiamini hii comment yangu Nalendwa
 
Haya tunakarbia mwaka sasa nini kimebadilika mkuu TUJITEGEMEE maana Dollar ndo inazidi kua na nguvu na huku uchumi wa Marekani ukikua kwa Kasi kuliko miaka karibu kumi iliyopita
Hivi umejua kwa nini Trump kaamua kuongeza 25% ya ushuru kwa bidhaa ya chuma na bati kutoka nje ya US? Matumizi ya dollar yamepungua...ila kwenye media atasema anaboost mapato ya wazalishaji wa US(uongo)
 
Hivi umejua kwa nini Trump kaamua kuongeza 25% ya ushuru kwa bidhaa ya chuma na bati kutoka nje ya US? Matumizi ya dollar yamepungua...ila kwenye media atasema anaboost mapato ya wazalishaji wa US(uongo)
Nadhani ulikua humfatilii vizuri Trump tangu kampeni maana aliyoahidi ndo anayofanya,Trump alishasema kwamba ataongeza ushuru kwenye bidhaa zote za nje ambazo zinatishia uzalishaji wa ndani na hii Chuma sio bidhaa ya kwanza,mwezi January alianza na bidhaa za Solar toka China ambapo aliongeza ushuru kwa 30%
 
Mwandishi wa makala hii ni

.....
Hoja zake zinabebwa na kile walishosema wapinzani wakubwa wa Maduro na Venezuela ambao ni Wall Street bankers and the co...Jisomee Hajiamini.

"Desperate Gimmick" is how Wall Street bank Brown Brothers Harriman describe the Petro, in a recent report. The BBH currency analysts are among the most level-headed individuals you'll find on Wall Street, so when they say "desperate," it pays to take note.

Kama umefuatilia links nilizokuwekea hapo juu....utagundua kuwa hoja za Simon zimejibiwa vilivyo. Ukweli inaonyesha jinsi gani US na wenzake wameanza kupaniki...tena na yajana ya Putin wapo kwenye kihoro.
 
Hivi umejua kwa nini Trump kaamua kuongeza 25% ya ushuru kwa bidhaa ya chuma na bati kutoka nje ya US? Matumizi ya dollar yamepungua...ila kwenye media atasema anaboost mapato ya wazalishaji wa US(uongo)



Trump kuhusu Dollar (sikiliza kuanzia dk:16)
 
Tuombe uhai,ikifika 2020 ntaufufua tena huu Uzi nikuulize kuhusu mabadiliko ya ..Utekelezaji umefikia wapi!? Au wameamua kutangaza tena kwamba wanaachana na dola huku bado wakiendelea kuitafuta kwa Hali na mali..
TUJITEGEMEE unazikumbuka hizi comment zangu !? Embu tueleze sasa ilivyo sasa baada ya Venezuela kuwekewa vikwazo na Marekani,na vipi kuhusu mahusiano ya US na Ufilipino,je yamevunjika!?
Kwa yanayoendelea sasa Venezuela nadhani utakua umeiamini hii comment yangu Nalendwa

Nakumbuka..
Nimeona hii habari juu juu ngoja nikitulia niingalie vizuri, inakuja juu sasa..

 
UPDATE: 25/08/2019
=====
Irani imeiwekea vikwazo Marekani kwa kuifungia 'think tank' ya nchi hiyo iitwayo Foundation for Defense of Democracies (FDD) na mkurugenzi wake mkuu. Vikwazo hivyo, vinatokana na FDD kutumika kuratibu na kuielekeza Marekani kufanya vitendo vya ugaidi na kuanzisha vita vya kiuchumi dhidi ya taifa la Iran. Vikwazo hivi vinaipa Iran nguvu ya kisheria kuwashitaki FDD na mkurugenzi wake mkuu na wote wanaoshirikiana katika mahaka za nchi hiyo. Habari hii ni kwa mujibu wa Wizara ya mashauri ya kigeni ya Iran.
- - -
Nadhani, wakipatikana na hatika wanaweza kukamatwa na kuwekwa ndani na mali zao kutaifishwa.

 
Tuombe uhai,ikifika 2020 ntaufufua tena huu Uzi nikuulize kuhusu mabadiliko ya
emoji115.png
Mkuu uzi nimefufua tayari, njoo 'tuwekane sawa' :) :) :)
 
Update:08/01/2022
====
Kutokana na Mauaji ya Kamanda Soleiman, miaka miwili iliyopita. Iran yawawekea vigogo 51 wa masuala ya usalama wa US.

 
Update:08/01/2022
====
Kutokana na Mauaji ya Kamanda Soleiman, miaka miwili iliyopita. Iran yawawekea vigogo 51 wa masuala ya usalama wa US.

Maajabu ya dunia haya unaiwekea vikwazo USA wakati pesa yake US dollars ndio unatumia
 
Back
Top Bottom