IRAN yaiwekea vikwazo Marekani

Obama aliwatimua maofisa wa urusi Washington DC baada ya kugundua urusi wali hack emails za dem ,moja ya sanction ilikuwa ni hiyo

Tatizo mnakariri mkisikia vikwazo mnadhani za uchumi au pesa..

Iran wamewatimua maofisa na majasusi wa USA nchini kwao ndio vikwazo moja wapo ,kizuizi "kuwaondoa majasusi wao ndio sanction yenyewe hiyo
kwanza Iran namarekani hawana kabisa mahusiano ya kidiplomasia kabisa, so issue ya russia haifanani kabisa na hii
 
Marekani akiweka vikwazo hata Tanzania tunavifuata. Ila kwa Iran an anachagua anavyoshitmrikiana navyo btn Iran na USA
 
Haya ni matokeo ya Issue ya juzi nini?

Marekani wataisoma namba.
Imawezekana... Maana Iran kalaani sana lile dili la silaha kwa Saudia na kusema kwamba Marekani imeuza silaha kwa gaidi.
Ila Saudia mshenz sana kajua kujipanga yan kanunua kila sekta Missile defenses (THAAD & Patriot), bombs, warships, missile mpk jana Israel nae kalalamika kwa Marekani kuwauzia Saudia silaha hzo za kisasa
 
Imawezekana... Maana Iran kalaani sana lile dili la silaha kwa Saudia na kusema kwamba Marekani imeuza silaha kwa gaidi.
Ila Saudia mshenz sana kajua kujipanga yan kanunua kila sekta Missile defenses (THAAD & Patriot), bombs, warships, missile mpk jana Israel nae kalalamika kwa Marekani kuwauzia Saudia silaha hzo za kisasa
Hiyo ni miscalculation subirini yakiwarudi mtasahau utamu wa pesa watu hao hawaaminiki
 
Imawezekana... Maana Iran kalaani sana lile dili la silaha kwa Saudia na kusema kwamba Marekani imeuza silaha kwa gaidi.
Ila Saudia mshenz sana kajua kujipanga yan kanunua kila sekta Missile defenses (THAAD & Patriot), bombs, warships, missile mpk jana Israel nae kalalamika kwa Marekani kuwauzia Saudia silaha hzo za kisasa

Naona Mu Israel nae mpaka kalalamika, lakini wasiwasi wake ni nini? Maana yeye si atakuwa anapata first class technology toka kwa Mmarekani!
 
Naona Mu Israel nae mpaka kalalamika, lakini wasiwasi wake ni nini? Maana yeye si atakuwa anapata first class technology toka kwa Mmarekani!
Ana wasiwas kwamba hzo silaha siku moja zinaweza kutumika dhid yake,kumbuka Saudia na Israel ni maadui wakubwa ila wanashirikina kinafki tu kwa kua wanashare adui mmoja (Iran).
 
Tatizo hizo silaha operators ni wamarekani, ndiyo maana South Korea yeye kagoma kulipia hizo THAAD anasema hawezi kulipia kitu ambacho operators ni foreigners. Ndiyo maana Israel ameridhia Saud Arabia apewe silaha hizo. Na waarabu wale walivyowajinga hizo silaha zitaenda kuteketezwa Yemen baada ya Operators kuzitelekeza na hao waarabu wajinga wataagiza nyingine.
Imawezekana... Maana Iran kalaani sana lile dili la silaha kwa Saudia na kusema kwamba Marekani imeuza silaha kwa gaidi.
Ila Saudia mshenz sana kajua kujipanga yan kanunua kila sekta Missile defenses (THAAD & Patriot), bombs, warships, missile mpk jana Israel nae kalalamika kwa Marekani kuwauzia Saudia silaha hzo za kisasa
 
Back
Top Bottom