Iran wamejitafutia matatizo

Iran wamejitafutia matatizo

Lengo la Israel ni kutaka kutengeneza fitina ndani ya Iran ili kutengeneza mazingira ya utawala wa sasa kupinduliwa.

Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy na Idd Amin). Kabla mwaka 1953 Marekani na ulaya walisaidia mapinduzi yaliyo uweka utawala wa kifalme. Hivyo kabla ya 1979 Iran haikuwa Taifa la Kiislam kama sasa.

Ndio maana Israel haui raia wala hashambulii makazi ya raia. Ndio maana wachambuzi wengi wanafikiri Israel anapigwa. Hapana, Israel anataka kuwatumia watu wa Iran kama mtaji wake wa kuitoa serikali ya sasa madarakani.

IRAN KWENYE BIBLIA.
Wanaitwa Waajemi. Hapa ndipo Haran na Mesopotamia. Ndipo nyumbani kwa Ibrahim. Lakini Mungu alimuondoa Hapa Ibrahim na kumpeleka Kanaan (Palestine).
  • Daniel, Nehemiah , Esther walikuwa hapa uhamishoni. Ndipo vitabu vyao viliandikwa.
  • Nebkadneza, Belshaza na Dario ndio wafalme wa hapa.
  • Meshak Shedrak na Abednego walitupiwa tanuruni wakiwa hapa!
Kiufupi Iran ni miongoni mwa mataifa maarufu ndani ya Biblia.
Nakukumbusha IRAN SIO WAARAB BALI NI WAAJEMI. Wanachukua asili ya Ulaya mashariki (wana mfanano na waturuki). Nyongeza: Ukiona nchi za Ulaya Mashariki zinaishia na Neno "Stan" mwisho hao ni waajemi (mfano afghani-Stan).

UWEZO WAO WA KIVITA
Hawa waliishawahi kuitawala Dunia.
Hawa ndio waliwapiga Israel na kulivunja hekalu kabla halijajengwa Upya (kabla ya Kuja kwa Bwana Yesu).
Ni watu wa Vita. Vita yao huwa haiishi mpaka wamepigika kwelikweli. 1980 -1990 walikuwa busy kupigana na Iraq. Miaka kumi! Na baada ya kuchoka kupigana (mshindi hakupatikana) wakaamua kugeukia kupigana na mataifa mengine. Iraq akimchokoza Marekani na Iran akianzisha vikundi vya kigaidi.
Makundi yote makubwa ya Kigaidi mfadhili wao ni Iran.

Migogoro ya Kidini.
Iran ni Taifa adui na nchi nyingi za kiislam. Mojawapo ni Saudi Arabia. Aina ya uislam ulioko Iran ni Shia. Hawa wanaaminika ni 10% tu ya waislam wote. Hawa ndio wale imani kali. Saudia ni Sunni. Hawa wapole. Kwa hiyo popote ukisikia Waislam wenye msimamo mkali jua ni Shia kutokea Iran. Ndio maana usishangae SAUDI ARABIA NA JORDAN kuwa upande wa Israel.

Ni taifa adui wa Uislam
Kuna kitu cha ajabu kuhusu Iran. Mataifa yasiyotaka dini au kuamini katika Mungu ndio marafiki wakubwa wa Iran. Korea Kaskazini, China, Urussi hawaamini katika Mungu. Utengenezaji wa silaha zake unapata usaidizi kutoka kwa hawa wapagani. HUWEZI SIKIA TAIFA LA KIISLAM LIKIMSAIDIA IRAN TOFAUTI NA VIKUNDI VYA KIGAIDI! Hivyo yawezekana ndio maana Shia wa Iran wanaongoza kwa kuua Waislam wenzao.
Acha kutulisha matango pori kana kwamba wewe mwenyewe ndiye unayeijua Biblia. Nebukadneza hajawahi kuwa Kiongozi wa Uajemi bali ya Babiloni. Pia Haran na Mesopotamia hazijawahi kuwa Iran. Haran ipo Syria na Mesopotamia ni Iraq ya leo au Babiloni ya Zamani. Pia katika Historia hata ya Biblia Iran na Israel hazijawahi kuwa maadui hata mara moja. Uajemi ndiyo waliowasaidia Wayahudi kuwanasua katika makucha ya ukoloni wa wababeli na kuwaruhusu kurudi Uyahudi na kujenja hekalu lao upya.
Acha kuleta mambo usiyoyajua.
 
Lengo la Israel ni kutaka kutengeneza fitina ndani ya Iran ili kutengeneza mazingira ya utawala wa sasa kupinduliwa.

Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy na Idd Amin). Kabla mwaka 1953 Marekani na ulaya walisaidia mapinduzi yaliyo uweka utawala wa kifalme. Hivyo kabla ya 1979 Iran haikuwa Taifa la Kiislam kama sasa.

Ndio maana Israel haui raia wala hashambulii makazi ya raia. Ndio maana wachambuzi wengi wanafikiri Israel anapigwa. Hapana, Israel anataka kuwatumia watu wa Iran kama mtaji wake wa kuitoa serikali ya sasa madarakani.

IRAN KWENYE BIBLIA.
Wanaitwa Waajemi. Hapa ndipo Haran na Mesopotamia. Ndipo nyumbani kwa Ibrahim. Lakini Mungu alimuondoa Hapa Ibrahim na kumpeleka Kanaan (Palestine).
  • Daniel, Nehemiah , Esther walikuwa hapa uhamishoni. Ndipo vitabu vyao viliandikwa.
  • Nebkadneza, Belshaza na Dario ndio wafalme wa hapa.
  • Meshak Shedrak na Abednego walitupiwa tanuruni wakiwa hapa!
Kiufupi Iran ni miongoni mwa mataifa maarufu ndani ya Biblia.
Nakukumbusha IRAN SIO WAARAB BALI NI WAAJEMI. Wanachukua asili ya Ulaya mashariki (wana mfanano na waturuki). Nyongeza: Ukiona nchi za Ulaya Mashariki zinaishia na Neno "Stan" mwisho hao ni waajemi (mfano afghani-Stan).

UWEZO WAO WA KIVITA
Hawa waliishawahi kuitawala Dunia.
Hawa ndio waliwapiga Israel na kulivunja hekalu kabla halijajengwa Upya (kabla ya Kuja kwa Bwana Yesu).
Ni watu wa Vita. Vita yao huwa haiishi mpaka wamepigika kwelikweli. 1980 -1990 walikuwa busy kupigana na Iraq. Miaka kumi! Na baada ya kuchoka kupigana (mshindi hakupatikana) wakaamua kugeukia kupigana na mataifa mengine. Iraq akimchokoza Marekani na Iran akianzisha vikundi vya kigaidi.
Makundi yote makubwa ya Kigaidi mfadhili wao ni Iran.

Migogoro ya Kidini.
Iran ni Taifa adui na nchi nyingi za kiislam. Mojawapo ni Saudi Arabia. Aina ya uislam ulioko Iran ni Shia. Hawa wanaaminika ni 10% tu ya waislam wote. Hawa ndio wale imani kali. Saudia ni Sunni. Hawa wapole. Kwa hiyo popote ukisikia Waislam wenye msimamo mkali jua ni Shia kutokea Iran. Ndio maana usishangae SAUDI ARABIA NA JORDAN kuwa upande wa Israel.

Ni taifa adui wa Uislam
Kuna kitu cha ajabu kuhusu Iran. Mataifa yasiyotaka dini au kuamini katika Mungu ndio marafiki wakubwa wa Iran. Korea Kaskazini, China, Urussi hawaamini katika Mungu. Utengenezaji wa silaha zake unapata usaidizi kutoka kwa hawa wapagani. HUWEZI SIKIA TAIFA LA KIISLAM LIKIMSAIDIA IRAN TOFAUTI NA VIKUNDI VYA KIGAIDI! Hivyo yawezekana ndio maana Shia wa Iran wanaongoza kwa kuua Waislam wenzao.
Kumbe na Afganistan ipo Ulaya mashairiki. Nchi hii haiishi maajabu.
 
Safari hii mtakuja na kila ngonjera baada ya kupata kipigo kitatatifu toka kwa Ayatollah,

Bado hujaijua historia ya Dunia,nenda kaisome uielewe kisha njoo tena,haya matapishi uliyoyamwaga hapa,pelekea mazuzu wenzako,

Dunia ya propaganda haipo tena,kila kitu kipo wazi.
 
Lengo la Israel ni kutaka kutengeneza fitina ndani ya Iran ili kutengeneza mazingira ya utawala wa sasa kupinduliwa.

Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy na Idd Amin). Kabla mwaka 1953 Marekani na ulaya walisaidia mapinduzi yaliyo uweka utawala wa kifalme. Hivyo kabla ya 1979 Iran haikuwa Taifa la Kiislam kama sasa.

Ndio maana Israel haui raia wala hashambulii makazi ya raia. Ndio maana wachambuzi wengi wanafikiri Israel anapigwa. Hapana, Israel anataka kuwatumia watu wa Iran kama mtaji wake wa kuitoa serikali ya sasa madarakani.

IRAN KWENYE BIBLIA.
Wanaitwa Waajemi. Hapa ndipo Haran na Mesopotamia. Ndipo nyumbani kwa Ibrahim. Lakini Mungu alimuondoa Hapa Ibrahim na kumpeleka Kanaan (Palestine).
  • Daniel, Nehemiah , Esther walikuwa hapa uhamishoni. Ndipo vitabu vyao viliandikwa.
  • Nebkadneza, Belshaza na Dario ndio wafalme wa hapa.
  • Meshak Shedrak na Abednego walitupiwa tanuruni wakiwa hapa!
Kiufupi Iran ni miongoni mwa mataifa maarufu ndani ya Biblia.
Nakukumbusha IRAN SIO WAARAB BALI NI WAAJEMI. Wanachukua asili ya Ulaya mashariki (wana mfanano na waturuki). Nyongeza: Ukiona nchi za Ulaya Mashariki zinaishia na Neno "Stan" mwisho hao ni waajemi (mfano afghani-Stan).

UWEZO WAO WA KIVITA
Hawa waliishawahi kuitawala Dunia.
Hawa ndio waliwapiga Israel na kulivunja hekalu kabla halijajengwa Upya (kabla ya Kuja kwa Bwana Yesu).
Ni watu wa Vita. Vita yao huwa haiishi mpaka wamepigika kwelikweli. 1980 -1990 walikuwa busy kupigana na Iraq. Miaka kumi! Na baada ya kuchoka kupigana (mshindi hakupatikana) wakaamua kugeukia kupigana na mataifa mengine. Iraq akimchokoza Marekani na Iran akianzisha vikundi vya kigaidi.
Makundi yote makubwa ya Kigaidi mfadhili wao ni Iran.

Migogoro ya Kidini.
Iran ni Taifa adui na nchi nyingi za kiislam. Mojawapo ni Saudi Arabia. Aina ya uislam ulioko Iran ni Shia. Hawa wanaaminika ni 10% tu ya waislam wote. Hawa ndio wale imani kali. Saudia ni Sunni. Hawa wapole. Kwa hiyo popote ukisikia Waislam wenye msimamo mkali jua ni Shia kutokea Iran. Ndio maana usishangae SAUDI ARABIA NA JORDAN kuwa upande wa Israel.

Ni taifa adui wa Uislam
Kuna kitu cha ajabu kuhusu Iran. Mataifa yasiyotaka dini au kuamini katika Mungu ndio marafiki wakubwa wa Iran. Korea Kaskazini, China, Urussi hawaamini katika Mungu. Utengenezaji wa silaha zake unapata usaidizi kutoka kwa hawa wapagani. HUWEZI SIKIA TAIFA LA KIISLAM LIKIMSAIDIA IRAN TOFAUTI NA VIKUNDI VYA KIGAIDI! Hivyo yawezekana ndio maana Shia wa Iran wanaongoza kwa kuua Waislam wenzao.
So what?
 
Unasemaje kua Iran wamejitafutia matatizo? Kwani wao ndio walioenda kuvamia nchi nyingine na kuipiga? Au wewe ulitaka wapigwe ila wao waangalie tu sio?

Kichwa chako ni mzigo mzito sana kwa miguu.
 
Lengo la Israel ni kutaka kutengeneza fitina ndani ya Iran ili kutengeneza mazingira ya utawala wa sasa kupinduliwa.

Utawala huu wa Kiislam uliingia kwa mapinduzi ya 1979 (wakati sisi tuko busy na Idd Amin). Kabla mwaka 1953 Marekani na ulaya walisaidia mapinduzi yaliyo uweka utawala wa kifalme. Hivyo kabla ya 1979 Iran haikuwa Taifa la Kiislam kama sasa.

Ndio maana Israel haui raia wala hashambulii makazi ya raia. Ndio maana wachambuzi wengi wanafikiri Israel anapigwa. Hapana, Israel anataka kuwatumia watu wa Iran kama mtaji wake wa kuitoa serikali ya sasa madarakani.

IRAN KWENYE BIBLIA.
Wanaitwa Waajemi. Hapa ndipo Haran na Mesopotamia. Ndipo nyumbani kwa Ibrahim. Lakini Mungu alimuondoa Hapa Ibrahim na kumpeleka Kanaan (Palestine).
  • Daniel, Nehemiah , Esther walikuwa hapa uhamishoni. Ndipo vitabu vyao viliandikwa.
  • Nebkadneza, Belshaza na Dario ndio wafalme wa hapa.
  • Meshak Shedrak na Abednego walitupiwa tanuruni wakiwa hapa!
Kiufupi Iran ni miongoni mwa mataifa maarufu ndani ya Biblia.
Nakukumbusha IRAN SIO WAARAB BALI NI WAAJEMI. Wanachukua asili ya Ulaya mashariki (wana mfanano na waturuki). Nyongeza: Ukiona nchi za Ulaya Mashariki zinaishia na Neno "Stan" mwisho hao ni waajemi (mfano afghani-Stan).

UWEZO WAO WA KIVITA
Hawa waliishawahi kuitawala Dunia.
Hawa ndio waliwapiga Israel na kulivunja hekalu kabla halijajengwa Upya (kabla ya Kuja kwa Bwana Yesu).
Ni watu wa Vita. Vita yao huwa haiishi mpaka wamepigika kwelikweli. 1980 -1990 walikuwa busy kupigana na Iraq. Miaka kumi! Na baada ya kuchoka kupigana (mshindi hakupatikana) wakaamua kugeukia kupigana na mataifa mengine. Iraq akimchokoza Marekani na Iran akianzisha vikundi vya kigaidi.
Makundi yote makubwa ya Kigaidi mfadhili wao ni Iran.

Migogoro ya Kidini.
Iran ni Taifa adui na nchi nyingi za kiislam. Mojawapo ni Saudi Arabia. Aina ya uislam ulioko Iran ni Shia. Hawa wanaaminika ni 10% tu ya waislam wote. Hawa ndio wale imani kali. Saudia ni Sunni. Hawa wapole. Kwa hiyo popote ukisikia Waislam wenye msimamo mkali jua ni Shia kutokea Iran. Ndio maana usishangae SAUDI ARABIA NA JORDAN kuwa upande wa Israel.

Ni taifa adui wa Uislam
Kuna kitu cha ajabu kuhusu Iran. Mataifa yasiyotaka dini au kuamini katika Mungu ndio marafiki wakubwa wa Iran. Korea Kaskazini, China, Urussi hawaamini katika Mungu. Utengenezaji wa silaha zake unapata usaidizi kutoka kwa hawa wapagani. HUWEZI SIKIA TAIFA LA KIISLAM LIKIMSAIDIA IRAN TOFAUTI NA VIKUNDI VYA KIGAIDI! Hivyo yawezekana ndio maana Shia wa Iran wanaongoza kwa kuua Waislam wenzao.
Mkuu umemsikiliza lakini Trump alivyosema jana na wakuu wa NATO? Alikiri vyuma alivyoshushiwa Israel kutoka Iran vilikuwa vizito sanaa. Sasa kama Israel ana ubavu wakabalishe huo utawala wa Iran
 
Wewe pimbi hua huna point yeyote hapa JF zaidi ya kuja kutingisha kalio zako hapa kila unapoona mada inayoongelea Nchi za kiislamu,pambana upunguze umasikini wako.
sheikh usipate taabu unisomapo humu, niweke kwenye orodha yako ya ignore ili usione ninacho comment. Naona unateseka sana mwanakobazi mpevu
 
Kwa kifupi iran kachapika vya kutosha, imebaki propaganda tu kusema imeshinda vita
 
Kwa kifupi iran kachapika vya kutosha, imebaki propaganda tu kusema imeshinda vita
Hii nchi haishi wajinga. Trump kwenye kakiri kwamba kichapo alichopewa Muyahudi SI ya kitoto halafu wewe unakuja na upimbi wako. Trump mwenyewe kakiri kwamba vyumba alivyoshusha Muajemi hakuwahi kuviona kabla halafu wewe unakuja na uharo wako hapa.
 
sheikh usipate taabu unisomapo humu, niweke kwenye orodha yako ya ignore ili usione ninacho comment. Naona unateseka sana mwanakobazi mpev
Wewe Pimbi ulishageuka kituko humu JF ila hujajishtukia tu,

Rais wa US amekubali kua Israel kachapika hasa,halafu wewe Pimbi unakuja na ngonjera hapa! Kwa hiyo wewe una taarifa zaidi kuliko Trump?

Sometimes jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
 
Hii nchi haishi wajinga. Trump kwenye kakiri kwamba kichapo alichopewa Muyahudi SI ya kitoto halafu wewe unakuja na upimbi wako. Trump mwenyewe kakiri kwamba vyumba alivyoshusha Muajemi hakuwahi kuviona kabla halafu wewe unakuja na uharo wako hapa.
ushaambiwa ile kauli aliyoitoa ni kejeli kwa iran. Unasema nini we kobazi wa kibongo hapo manyema na kwa mtoro? Kobazi mna akili ndogo sana kudanganyika kirahisi
 
ushaambiwa ile kauli aliyoitoa ni kejeli kwa iran. Unasema nini we kobazi wa kibongo hapo manyema na kwa mtoro? Kobazi mna akili ndogo sana kudanganyika kirahisi
Nani amesema kua ile kauli ni kejeli? Mumeo ndio kakudanganya hivyo sio?

Hivi una umri gani wewe? Mbona una ujinga uliopitiliza?
 
Acha Ujinga, Wewe hayo unayozungumzia ya kuvunja hekalu sijui vitu gani vilifanywa na utawala wa Babylon/Babeli siyo Uajemi.

Infact ni Uajemi chini ya mfalme Cyrus ndiyo iiliyoipiga babylon. hatimae kuwaokoa wayahudi kwa kuwatoa utumwani na kuwasaidia kulijenga upya hekalu.

Hivi nyie wafia dini, siasa kali mbona mnapenda ushabiki wa mambo bila kuyajua vizuri?
Sahihi kabisa. Hata chanzo cha ugomvi wa Wayahudi na Wairan/Waajemi ni hiki; Waajemi waliwasaidia Wayahudi kurudi nyumbani kwao baada ya kutekwa na kufanywa watumwa na Babylon (leo ndio Iraq), baada ya kurudi kwao na kutulia, hawakuwahi hata kutoa neno ASANTE kwa mfalme wa Uajemi/Iran wa wakati huo, kuanzia hapo ndipo ilipo mea chuki kati ya hawa watu. Remember hakukua na Ukristo wala Uislam those years
 
Wewe Pimbi ulishageuka kituko humu JF ila hujajishtukia tu,

Rais wa US amekubali kua Israel kachapika hasa,halafu wewe Pimbi unakuja na ngonjera hapa! Kwa hiyo wewe una taarifa zaidi kuliko Trump?

Sometimes jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
I don't care what are you talking about ignorant seem to me. kwa hiyo mnaniona mimi tu humu ndio mjuaji, hao wengine hawajui? mnanipa sifa za ajabu sana ambazo sina. Mmeambiwa Trump kaikejeli iran kuwa imeipiga vema israel na nyie koboza wa mchambawima mnakenua tu kuwa kobazi mkuu duniani kaibonda israel. Someni saikolojia za matamshi na kauli za watu mtaelewa wanachomaanisha
 
Wewe Pimbi ulishageuka kituko humu JF ila hujajishtukia tu,

Rais wa US amekubali kua Israel kachapika hasa,halafu wewe Pimbi unakuja na ngonjera hapa! Kwa hiyo wewe una taarifa zaidi kuliko Trump?

Sometimes jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
I don't care what are you talking about ignorant seem to me. kwa hiyo mnaniona mimi tu humu ndio mjuaji, hao wengine hawajui? mnanipa sifa za ajabu sana ambazo sina. Mmeambiwa Trump kaikejeli iran kuwa imeipiga vema israel na nyie koboza wa mchambawima mnakenua tu kuwa kobazi mkuu duniani kaibonda israel. Someni saikolojia za matamshi na kauli za watu mtaelewa wanachomaanisha
 
Wewe Pimbi ulishageuka kituko humu JF ila hujajishtukia tu,

Rais wa US amekubali kua Israel kachapika hasa,halafu wewe Pimbi unakuja na ngonjera hapa! Kwa hiyo wewe una taarifa zaidi kuliko Trump?

Sometimes jaribu kuficha ujinga wako kwa kukaa kimya.
I don't care what are you talking about ignorant seem to me. kwa hiyo mnaniona mimi tu humu ndio mjuaji, hao wengine hawajui? mnanipa sifa za ajabu sana ambazo sina. Mmeambiwa Trump kaikejeli iran kuwa imeipiga vema israel na nyie koboza wa mchambawima mnakenua tu kuwa kobazi mkuu duniani kaibonda israel. Someni saikolojia za matamshi na kauli za watu mtaelewa wanachomaanisha
 
Back
Top Bottom