Walipita Tariq Aziz waliokuwaga na matamko mazito mazito enzi hizo, Hezbolaah kitu gani? Halafu sisi dunia ya giza tuache kujadili mambo mazito ya ulimwengu wa kwanza nyuma ya keyboards, level yetu ni Kibiti na Mkulima Stern.Kishamaliza,kwanza Marekani wameambiwa waondoe wanajeshi wao kutoka Iraq,then Kiranja wa Hezbollah kasema USA amekuwa chanzo cha chaos hapo middle east,na kifo cha Kassim Suleiman hakitapita bure.
Naijua vzr hata Iran analijua kuwa hawezi kupgana na NatoUnajua sheria ya nato?
Nato mmoja akishambuliwa nato wote wanaenda vita
Sent using Jamii Forums mobile app
UmemnchekeshaHahaaa! Namwona Trump na mdomo wake na nywele zake akipokea breifing ya mpango kazi wa vita. Wakishambulia usiku kesho yake Alfajili tu anaamkia tweeter
Wew jaribu kumu ashumia yuko kwenye chumba halafu Generali anaonyesha mpango kazi ukutani kwa kutumia projector huku anachora chora na marker pen maeneo yatakayoshambuliwa usiku huo. Ashume Trump anakuwa na muonekano gani? HahahahaaUmemnchekesha
Kasome hotuba ya Mwalimu wakati wa vita vya Kagera inaitwa "Moyo kabla ya silaha" utajua kwenye vita kuna mambo mengi sana,ikiwemo jiografia kwa mfano ili Marekani iweze kuishambulia Iran inahitaji base,na je Iran imezungukwa na maadui au washirika? Kama ni washirika Marekani itapata wapi base,manake haiwezi kushambulia kutokea Marekani lazima kuwe na kituo kwa ajili infantry ili kuteka miji nk mashambulizi ya anga peke yake hayatoshi kuiangusha nchi,kama yangeweza leo tusingekuwa na Houthi pamoja na Bashar Al Assad
Siyo suala la dini ingekuwa dini Marekani asingekuwa na base hata moja mashariki ya kati,kingine msichokijua waislam wa sunni walio wengi wako pamoja na Marekani
Hahaha! Yaani Saudia ili wawe na akili waungane na Iran?Yaani kina Saudi wangekuwa na akili walitakiwa waungane na Iran
Bora ya mwarabu kuliko mwafrica😂Siku zote usiwaamini waarabu ni wanafiki sana
Hahaha eti Trump anaropoka ropoka.. Yani USA president aropoke ropoke ??? Kweli hii nchi haiishiwi vituko ....Hakuna lolote ndo maana USA Trump anaropoka ropoka tu,Iran wanamsoma tu.Ila tuombe amani.Fikiria raia wa Iraq ,Afghastan wanavyoishi.Kila binadamu anadeserve maisha katika sehemu yenye amani.
Kasome historia ya mgogoro wa US na Iran kuanzia enzi za wakina Jimmy Carter.Na vikwazo vyote hivyo vya uchumi.Ila Iran lazima atalipa tu tena kupitia Hezbollah au alshabaab,atawapiga marekan popote pale,tena nahisi anataka patulie tu kwanza.
Nimesoma kuanzia mgogoro wao tangia 1953.Kumbuka Vita Iraq vs USA. Iran alikuwa upande wa USA. Saddam Hussein alikuwa supported na Sunni. You can tell why Iran alikuwa pro USA kipindi hiki. Hawa wanakuwa off,on inategemea na USA yupo Rafiki na Sunni au Shia kwa kipindi hicho. Now Iraq viongozi ni Shia hivyo wapo na Iran. Sasa USA yupo rafiki na Sunni kina Saudia tena.Kasome historia ya mgogoro wa US na Iran kuanzia enzi za wakina Jimmy Carter.
Sent using Jamii Forums mobile app
Time will tell.Hahaha eti Trump anaropoka ropoka.. Yani USA president aropoke ropoke ??? Kweli hii nchi haiishiwi vituko ....
Mpaka Sasa Trump ameshaua Kiongizi wa ISIS ( Baghdad) na Iran General ( Suleiman Quarem) ... Wewe kaa hapo upige Domo tu...
Yani nchi ambayo imespend takriban trillion 2 Dola kwenye vifaa vya kijeshi ulinganishe na hao Persians... Siongei Kama nashabikia Vita maana hivi Vita vina madhara duniani maana tangu kifo Cha Huyu general mpaka sasa Bei ya mafuta imepanda kwa 3%
Ila Iran hana uwezo wa kupambana na USA View attachment 1313291
Sent using Jamii Forums mobile app
Huwa namuona mtu ni mjinga anapojadili vitu vipya na kuvihusianisha na historia ya zamani!Marekani hawezi enda vitani peke yake bila UK na wengine,Iran akiungana na mataifa mengine hapo middle east,USA ni zero tu.Aliondoka Vietnam mwenyewe bila kupenda.USA alone is zero zero.
Sasa ndugu yangu hivi unafikiri marekani ana base ngapi middle east?Kasome hotuba ya Mwalimu wakati wa vita vya Kagera inaitwa "Moyo kabla ya silaha" utajua kwenye vita kuna mambo mengi sana,ikiwemo jiografia kwa mfano ili Marekani iweze kuishambulia Iran inahitaji base,na je Iran imezungukwa na maadui au washirika? Kama ni washirika Marekani itapata wapi base,manake haiwezi kushambulia kutokea Marekani lazima kuwe na kituo kwa ajili infantry ili kuteka miji nk mashambulizi ya anga peke yake hayatoshi kuiangusha nchi,kama yangeweza leo tusingekuwa na Houthi pamoja na Bashar Al Assad
Duuh, aisee...nadhan umechanganya Iran na Iraq mkuu, huijui Iran vizuri mkuuUnajua kuna mambo yanachekesha hv unajua kwamba USA silaha zao zote huwa wanazitengeneza wenyewe kuanzia vifaru.ndege.meli .risasi .mabomu na nuclear weapon tena kwa bahat mbaya hata hizi simu tunazozishobokea android na iphone data zake zote zipo US internet ipo US in short kateka mawasiliano ya dunia sasa uyo iran kila kitu mpaka apewe msaada waseme tu km wanataka nchi yao iwe jangwa waseme mapema