Iran threatens to destroy Israel within a week

Iran threatens to destroy Israel within a week

Status
Not open for further replies.
Mbona wadau mnashabikia as if ni vijimambo vya mchezo mchezo tu! Acheni hizo kizuka vita Kati ya Israel na Nchi za kiarabu afu marekani aingie na let sey RAssia labda awe kwa waarabu jua kwamba haitashia midle east tu hata huku tunaweza pigwa.....Ni bora tumuombe Mungu aepushe kuliko kashabikia shabikia!!!!
 
Yani wewe unadhani kuandika Misri au Masri au kuna tofauti? kuna watu wanaweza kuandika india wengine wakandika hindustan.

Kuna watu wanaweza kuandika cairo hivi kairo au cairro siouni kosa unless uwe mjinga ndo uta urge na useless point.

:biggrin:


Kiazi unakurupuka sana... na hapa chini "hindustani" au "india"? au ni "eghpt"!! hahah your "eghpt" doesn't fit in any existing language.

Kwanza wewe unataka kujionyesha msome kwa kuhiighlighted neno la eghpt kama nimekosea kuandika hahaha...huo ni ujinga mana sioni kama kuna kosa nikiweka Y mwishoni.

Sasa turudi kwenye point, unasema eghpt anategema msada kuotka america toka mwaka 1979 ungekuwa na akili kidogo tu ungejuwa pale mmarekani anahonga ili eghpt asiwe anamsumbua muisreal....ngojeni muone kipigo atakacho kipata karibuni kutoka kwa Iran ndo mtajua hana kitu huyo...landa atumie nuclear bom na hapa akitumia ujuwe ndo mwisho wake hauko mbal..iHizo nuclear atabaki tu kazishikilia lakini hawezi kuzitumia kwenye vita

That was only one comment, with more than ten typing errors. Should I waste my time to argue with a nappy-head like you? Kabla hujatuambia habari za Egypt na Israel ulizosikia gengeni, kajifunze kuandika.
 
Kiazi unakurupuka sana... na hapa chini "hindustani" au "india"? au ni "eghpt"!! hahah your "eghpt" doesn't fit in any existing language.



That was only one comment, with more than ten typing errors. Should I waste my time to argue with a nappy-head like you? Kabla hujatuambia habari za Egypt na Israel ulizosikia gengeni, kajifunze kuandika.
Sawa dogo sikujua kama hapa tunaongelea typing errors...yani hii thread imeisha kuwa yakukosoa typing errors :biggrin:
 
Inasikitisha kuona Iran ikiwatafutia watu wa magharibi sababu za kuwaangamiza. Statements kama hizi zinaweza chochea vikwazo zaidi na hata sababu za kushambuliwa nchi yao kwa vigezo kwamba ni taifa tishio kwa majirani zake na ulimwengu. Siijui falsafa ya hawa wanasiasa wa Iran kujishebedua hivyo, lakini naamini ni kelele za kufukuza ndege wasitue kwenye shamba la mpunga. Kama ni nyuklia mbona wenye nazo hawatambi na wanafanya mambo yao kimyakimya? Mbona hatuwasikii China wakijinadi hivyo? wala India, Pakistan na hata warusi waliowawapa uwezo huo? Au nyuklia za Iran ni tofautina zote zilizoko duniani? Nawashangaa wa Iran kuwaacha viongozi wao vichaa wahatarishe maisha yao wakiwatazama hivihivi bila ya kuwachukulia hatua. Haya ndiyo madhara ya kuwa na viongozi wahuni kama Ahmednijad.
 
haya ni mambo ya kula ugali kwa kulumangia picha ya samaki!
 
IRAN inao uwezo wa kuimaliza ISRAIL mkitaka msitake mbona mnaleta Ubishi wa Simba na Yanga? Wenyewe Wa IRAN wameshasema hivyo wana uwezo wa kuimaliza ISRAIL kwa muda wa wiki moja tu ngojeeni kinachoendelea jamani.
Wengi walishasema kama inavyosema Iran lakini matokeo hayakuwa kama walivyosema. Binafsi siamini kama Iran imejipanga kushinda vita vinavyotarajia hata kama itaunda bomu la nyuklia, maana nyuklia yao bado itakuwa dhaifu sana kulinganisha na ile ya USA. Kama Iran inaongozwa na watu wenye upeo basi hata kama vita ikipiganwa hawatathubutu kutumia nyuklia maana wanajua matokeo yake kwa wairan. Nikiangalia sioni kama Iran ina marafiki wa kufa na kuzikana kama ilivyo kwa Israel. China na Russia sio mataifa yaliyotayari kujitumbukiza motoni ili kuiokoa Iran.
 
EXCLUSIVE: Sultan Qaboos bin Said, Omans reclusive leader and intermediary on Iran, speaks with Fox News correspondent Judith Miller

Oman's ruler, Sultan Qaboos bin Said, a longtime, discreet intermediary with Iran, says that Iran is seriously seeking a way out of American-led sanctions over its nuclear program and urges the United States to re-engage the regime on a variety of issues, not just its nuclear program.

No one in the world can live on his own in todays world, the sultan said, referring to Iran.

They dont want to bring upon themselves more trouble. They know they are mistrusted and must convince the world of their peaceful intentions.

Specifically, the sultan added, Iran understands that this means working more closely with the International Atomic Energy Agency to increase international nuclear inspections of its nuclear program and returning to talks with the U.S. and key Security Council members, Britain, France, Russia, China, as well as Germany, known as the P-5 plus 1. Last Thursday, Iranian President Mahmoud Ahmadinejad proposed such talks
013112_THEWAYOUT_20120131_104739.jpg
 
Iran akiwa mjanja aingie vitani right now, na hasisubiri the right time ya mmarekani, kwasababu sasahivi US ndo wanatengeneza bunker buster bombs ambazo zina uwezo wa kupenetrate Iranian bunkers system.
Kwasasa hawana na wamekiri hilo, Israel pia hawana.
Pia hao wakaguzi ni wapelelezi tu before vita.
 
Iran akiwa mjanja aingie vitani right now, na hasisubiri the right time ya mmarekani, kwasababu sasahivi US ndo wanatengeneza bunker buster bombs ambazo zina uwezo wa kupenetrate Iranian bunkers system.
Kwasasa hawana na wamekiri hilo, Israel pia hawana.
Pia hao wakaguzi ni wapelelezi tu before vita.

Mkuu kumbuka policy za Iran za kiulinzi zinalenga katika Deterrence technology. Nina imani unachokiongea hapa Iran imeishakifanyia/inakifanyia kazi. Na kukuonyesha sera yao inafanya kazi waweza kujikumbusha US dron trapping ya hivi majuzi.
 
Trust me Iran can do it. Nguvu ya Israel ipo Marekani na ndio maana Israel nchi ya Asia imejumuishwa Europe kumlinda. Middle East yote ina history ya Kidini, zote ni nchi ya Mungu. Anwar Saadat Hakushindwa bali walimbetray otherwise hali ya Israel leo ingekuwa tofauti. Hezbollah kikundi ndogo sana kilimpa tabu sana Israel itakuwa Iran. What they are doing right now is protecting Israel by breaking down countries sorrounding Israel kama Iraq, Syria, Palestine, Turkey (By including him in EU) etc. Israel peke yake hawezi kufanya chochote.
 
Trust me Iran can do it. Nguvu ya Israel ipo Marekani na ndio maana Israel nchi ya Asia imejumuishwa Europe kumlinda. Middle East yote ina history ya Kidini, zote ni nchi ya Mungu. Anwar Saadat Hakushindwa bali walimbetray otherwise hali ya Israel leo ingekuwa tofauti. Hezbollah kikundi ndogo sana kilimpa tabu sana Israel itakuwa Iran. What they are doing right now is protecting Israel by breaking down countries sorrounding Israel kama Iraq, Syria, Palestine, Turkey (By including him in EU) etc. Israel peke yake hawezi kufanya chochote.

anwar sadat kama waliweza kumbetray inamaanisha alikuwa na msaada kutoka mataifa mengine. nao taifa takatifu la israel ikipewa msaada inazua tetesi.
 
Iran is powerfull than most people think. Israel peke yake hawezi vita. America yupo weak sasahivi ndio maana vikwazo vingi. Media ndio adui number 1 controlled by freemason owned by Israels. Wameshanjua Israel whats his doing, hes next move thats why Iran hababaiki.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom