fazaa
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 2,984
- 1,026
Hahah sasa wewe una hesabu US kuwaua Osama and Saddam kuwa ndoawanaume, wakati umesahau wanajeshi wangapi wakimarekani wamekufa kule iraq...afu mbona wamekimbia we soma fact na reason ilio mfanya mmarekani kukimbia Iraq...hivi wewe unadhani mmarekani kashinda vita iraq?Kwani wamepigana mara ngapi mpk useme toka lini? Unaongea utafikiri inakuhusu vile manake mpk mapovu na machozi yanatoka. Mimi najua Vita moja tu ya mashariki ya kati ambayo imesababisha mpk leo milima ya Golan inakaliwa na Israel na kifo cha Anwar Sadat.
Kumbe unajua USA ni mume eeh? (Hata Osama na Saddam wanajua)
Au kule afghanstan ndo usiseme...hahaha kweli akili mali, mmarekani anakimbia kila anapo ingia vita....anatafuta kila njia kutoka Afghanstan.