Iran says they will destroy Tel Aviv in 10 minutes

Iran says they will destroy Tel Aviv in 10 minutes

Iran says they will destroy Tel Aviv in 10 minutes




Arutz Sheva 7
– A senior figure in the Iranian Revolutionary Guards, Mujtabi Du Al-Nour,

threatened on Saturday that Iran will destroy Tel Aviv in ten minutes if Israel “makes a mistake” and strikes the Islamic regime’s nuclear facilities. Al-Nour, who is a representative of

Iranian Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei, in a talk with journalists responded to Foreign Minister Avigdor Liberman’s (Yisrael Beytenu) comments from Friday, when he said Israel

should stop talking and start acting by striking the facilities said to be developing nuclear weapons. “If the Zionists were sure that they would win in war they would already have initiated it, but they don’t have the strength to do that – so they just threatened,” blustered

Al-Nour. According to the Revolutionary Guards leader, Iran has rockets that can reach the heart of Tel Aviv within six or seven minutes, “even before the rockets of the Zionists reach

us.” The threat, coming as it does during Iran’s efforts to increase its nuclear output capability by 19-fold and feasibly obtain the ability to equip nuclear warheads on the rockets Al-Nour

claims the country possesses, gives extra urgency to Prime Minister Binyamin Netanyahu’s warnings against a bad nuclear deal. Netanyahu is posed to address the US Congress on March

3 about the Iranian nuclear problem in a speech that has raised uproar among the left in Israel and the US, given its proximity to March 17 Knesset elections. The speech is meant to warn

against leaving Iran with nuclear capabilities as talks between world powers and Iran approach a March 31 deadline, with Netanyahu warning the deal in its current formation would leave

Iran a nuclear threshold state, and a state which has threatened to destroy Israel as Al-Nour reiterated on Saturday.
source.Iran says they will destroy Tel Aviv in 10 minutes

Naona unapakua kiporo, hao waajemi sound sana waliwahi kushinda vita gani ?
 
Umeisoma wapi?Au ndio unataka jiintroduce kuwa ulipata scolarhip za kwenda jifunza ugaidi?Un aharaka kwelikweli ili uanze badili thread..ila sijui km itakusaidia nini km TZ yenyewe huijui ingawa upo hapo.

tatizo hueleweki,unakosea sp mno inaonekana unaandika kama umrepaniki ama unafukuzwa.
 
Umeisoma wapi?Au ndio unataka jiintroduce kuwa ulipata scolarhip za kwenda jifunza ugaidi?Un aharaka kwelikweli ili uanze badili thread..ila sijui km itakusaidia nini km TZ yenyewe huijui ingawa upo hapo.

Mlevi wa pombe za kienyeji unatuchafulia uzi nenda kalalwe.
Unaongea Upuuzk mtupu usio eleweka
 
tatizo hueleweki,unakosea sp mno inaonekana unaandika kama umrepaniki ama unafukuzwa.
Utaelewa wapi km kinauma sana....kwanza hata tz hujawahi ielewa na km umeenda huko kwa akili zenu za Mohamed said....utaenda ishia kuamini site tours zinazoongozwa na guides waliotoka usalama wa Iran mafundi wa propaganda kuliko shivji,kitila na haroub othman..au bashiru...watakaoumbia ushujaa wa Mkwawa na kujishangaza kwanini hawajaweka ktk list ya mashujaa wa dunia.Kumbe ni wauza watumwa na vibaraka wa waarabu ktk jihadi dhidi ya wamisonary na kusika na kuuza watumwa
 
Mlevi wa pombe za kienyeji unatuchafulia uzi nenda kalalwe. Unaongea Upuuzk mtupu usio eleweka
Mara nyingi pigo kubwa hutokea waovu wanapotegemea ushindi mkubwa na hivyo kuweka rehani sehemu kubwa.Iran itarudishwa zama za mawe..wakitupa bomu la kwanza la nuclear n akutawaliwa for life km japan,german etc.Iran watakachofanywa watakula kiapo cha kuachana na vita na kuanza fanya kazi kwa bidii kuliko.
 
Mara nyingi pigo kubwa hutokea waovu wanapotegemea ushindi mkubwa na hivyo kuweka rehani sehemu kubwa.Iran itarudishwa zama za mawe..wakitupa bomu la kwanza la nuclear n akutawaliwa for life km japan,german etc.Iran watakachofanywa watakula kiapo cha kuachana na vita na kuanza fanya kazi kwa bidii kuliko.

Wapigwe wauwane wanyongane inanisaidi nini Mtanzania.
We mbona nyodo sana mlevi?

Wacha kunywa pombe za mia hamsini utachoma maini

mi nakushauri Uache pombe we unaleta habari za mashoga kwapiga vilemba vyeusi. Wacha watwangane tu. Na nyie Chadema Mtapigwa tu mkeleta ngebe zenu.
Ntambaff we!
 
Sasa unaona wivu majibu yangu,au hujui unaenda wapi..mbona hainisaidii,mara mbona una nyodo..design mtoto w akiswahili fulani..mambo ya kusutana..mambo ya kujigonga gonga kwa watu..
 
Tatizo ni kwamba una wivu sana na kuumizwa roho na chochote ulichowahi fanya ktk jeshi...halafu unaona raia wanajua analyse issue kuliko wewe.SItaki kuambia kila unayemwona hapa ni hajapita jeshini.MAra nyingi sana watu waliopitia msoto hata walimu huwa hawapendi sana wanapoona wanafunikwa wasiopitia hizo njia.Pole sana....usichojua tena ni kwamba kuna vitu vinajulikana na vipo true kwa raia,na true kwa wanajeshi....so blaha,,,na hasira za kususa kwako hazina msaada.

Hahah sawasawa mtaalam wa jeshi, unadhan mambo ya kijeshi ni kama porojo za siasa zenu za CCM na CHADEMA eeh, haya endelea kutudadavulia mtaalam wa jeshi.
 
Hahah sawasawa mtaalam wa jeshi, unadhan mambo ya kijeshi ni kama porojo za siasa zenu za CCM na CHADEMA eeh, haya endelea kutudadavulia mtaalam wa jeshi.
As if bomu kulipuka linachagua raia na jeshi, as if kifo kinachagua raia na jeshi, as if wanajesh nao akili zao ni tofauti..kaulize kwanini majeshi mengine yanashinda vita si kwa mafunzo wala nini ila kwa kutumia silaha maalumu km ndege au kutomia manuwari kutuma mambomu mbali kwa vile nao pia wanakula kichapo toka kwa raia ktk mazingira mengine.Ndio maana baadhi ya silaha wananyimwa raia wasiwe nazo kwa vile wakiwa level na Jeshi wanaweza shinda au kuleta madhara ambayo ilkipigwa round ingine wanajeshi wanaweza nyoosha mikono au kufanya ukora .Kitakuuma sana km ulidhani njia uliyopita na wengine lazima wapite na wewe upate pa kuwapimia nini cha kujua...utaumia sana.Kwa taarifa yako si kwamba sijaona sana issue za military academy...kwa taarifa yako wanajeshi wengi sana ni manual ktk na wanakuwa opearated km robot..wanafuata instructions kwa kiongozi wao ktk kila move.
 
As if bomu kulipuka linachagua raia na jeshi, as if kifo kinachagua raia na jeshi, as if wanajesh nao akili zao ni tofauti..kaulize kwanini majeshi mengine yanashinda vita si kwa mafunzo wala nini ila kwa kutumia silaha maalumu km ndege au kutomia manuwari kutuma mambomu mbali kwa vile nao pia wanakula kichapo toka kwa raia ktk mazingira mengine.Ndio maana baadhi ya silaha wananyimwa raia wasiwe nazo kwa vile wakiwa level na Jeshi wanaweza shinda au kuleta madhara ambayo ilkipigwa round ingine wanajeshi wanaweza nyoosha mikono au kufanya ukora .Kitakuuma sana km ulidhani njia uliyopita na wengine lazima wapite na wewe upate pa kuwapimia nini cha kujua...utaumia sana.Kwa taarifa yako si kwamba sijaona sana issue za military academy...kwa taarifa yako wanajeshi wengi sana ni manual ktk na wanakuwa opearated km robot..wanafuata instructions kwa kiongozi wao ktk kila move.

Hahah hata unachoandika sikielewi sijui unaongelea marobot, au military academic au mabomu au manowari au silaha Maalumu au ukora au silaha walizonazo wanajeshi, jipange uandike vizur hueleweki kabisaa.
 
Hahah hata unachoandika sikielewi sijui unaongelea marobot, au military academic au mabomu au manowari au silaha Maalumu au ukora au silaha walizonazo wanajeshi, jipange uandike vizur hueleweki kabisaa.

kumbe nawe umeona,huyu member mwenzetu haeleeweki anaongea nini,sijui tatizo nini
 
viroba vinaharibu sana taifa hili,sijui kwanini havipigwi marufuku.
leo nichorlas wa kuongea kama zezeta?.
ama kweli hujafa hujaumbika jamani.
 
Huyu Mpuuzi mwarabu koko sijui kala maharage ya wapi huyu........
Huwezi kupambana na Israel wala kuifuta Israel! Hiyo ni ndoto ya mchana!
Kila silaha itakayofanyika dhidi ya Israel haitofanikiwa! Whether anaamini au haamini it's there!

Ha ha ha Gwajima kawaharibu sana.Eti sijui amekula Maharage ya wapi huyu?
 
Huyu Mpuuzi mwarabu koko sijui kala maharage ya wapi huyu........
Huwezi kupambana na Israel wala kuifuta Israel! Hiyo ni ndoto ya mchana!
Kila silaha itakayofanyika dhidi ya Israel haitofanikiwa! Whether anaamini au haamini it's there!

Tatizo unaongea kwa hisia na imani za kidini kuliko akili. Na pia unasahau kuwa Israel haiamini katika Mungu namna moja na ninyi wakristo. Unahitaji akili timanu tu kulifahamu hili. Wala sio ufunuo wa roho mtakatifu wala macho ya rohoni.
 
israel hata ale maharage ya wp hawezi kwa iran
hahahahaha netanyahu sijui kala maharage ya wp
kampumzike Bibi netanyahu
kalale bibi
umechoka bibi
hufai bibi
umepuuzwa bibi
kamlambe usa na saudia bibi
kalee wajukuu bibi
uzee
kalale bibi
huna jipya na lolote
cjui ume2mwa na nan pale israel kunywa damu za wapalestna ama
ushindwe na ulegee netanyahu
kaogeeeeh!
 
Back
Top Bottom