Kuna habari zipo na zinaweza kuwa veryfied...Kila vita ikipaganwa sio siri Saudi Arabia hushirikishwa na kukubali kuongeza mafuta..Sasa hii inahitaji uchambuzi gani?Na linapokuja suala la kuikabili Iran Saudi wapo na Israel,wanaweza tofautiana timing na jinsi ya kutatua issue.Sasa hili nalo linahitaji vipi kumiliki silaha.Linapokuja suala la Virus,imewekwa ktk mitandani na Iran wakatangaza hasira yao na kusema kuwa baada ya miezi kadhaa wameweza safisha computer zao na kutengeanisha Iran na internet kabisa,kwa stayl ambayo inathibitisha vyote vilivyosemwa upande wa pili ila wao wanaongeza tuu chumvi kwamba tumekabiliana nazo.Sasa haya yanahitaji nini kuwa na silaha.Iraq ikivamiwa walikwenda jamaa wa Un muda is mrefu wakamtoa sadam,sasa Iran wamekubali dili hku wakipiga kelele kuwa wanaua cha kufanya jamaa wakiwa freak ,huku israeli wkailia uongo kuwa wanachukia hiyo dili..wakati wamarekani huwajumlisha wayahudi km wataalamu wao ktk nchi ambayo hawaruhusiwi kuingia...na hii unahitaji silaha kuona?Wakati urusi na Ufaransa wakiteteta ,kuna wataalam na makampuni yao ndie yemepewa contract ya kufanya hizo kazi..na muda huuu hazijaisha nani atapiga vita raia wa wengine,tena marafiki na maspy wao kabla hawajalipwa?na hii nayo inahitaji kuwa na silaha...Kipindi Syria imetangazwa kuwa ngege za israel zimeonekana zikienda kaskazini,mida ya asubuhi...syria wakasema tumefukuza ndege za Maadui wa kizayuni,Israeli wakasem tumekuwa tukifanya mazoezi ya kawaida tuu....ktk anga n ahatukwaruzana na watu(Yaani walifanikiwa-bila kikwazo),baadae UN wakasema kuna Jengo linawaka,Assad akasema ni jengo godown bovu limelipuliwa,Israel wakasema hawana taarifa,UN wakasema wameona ktk satelite udogo unabebwa na malori huku ukipakiwa na vijiko...mwenye akili ana haja ya kuwa bunduki kujua kuwa Israel wameshamaliza mtambo ,na wameingi ana kutoka ndege zao zikatoka fasta,na Assad kala hasara,na anakimbiza udongo kwa vile anajua UN wakienda pima watakuta sumu za mabomu.Na nani alimwambia aseme kuwa si jengo la maana limepigwa wakati israel wanasema hawajui..ili jamaa wajiseme wenyewe.Kunahitaji nini kuisoma Iran?