Iran: Israel itafutwa kwenye ramani ya dunia

Iran: Israel itafutwa kwenye ramani ya dunia

Status
Not open for further replies.
Nyundo Kipozeo hizo ni sera za waarabu dhidi ya Israel ili kuwafanya watu wenye utindio wa ubongo kama wewe wawasaidie kueneza chuki hizo,mara nyingi sana nchi hizo zimekuwa ziki-laani nchi za ulaya na marekani wakisema kuwa ni za kishetani leo hii angalia kwenye TV utaona watu wengi sana kutoka maifa ya waarabu wanaangamia kwa maelfu kwenye maji ya bahari wakikimbilia nchi za ulaya na marekani mpaka sasa hivi ninapoandika waarabu wengi sana wamefia baharini katika harakati za kuingia ulaya ambako kwa wenye ugonjwa wa Utindio wa ubongo kama Nyundo Kipozeo wanawaita shetani.Haikuishia hapo leo hii nchi za kiarabu hakuna Amani Iraq Syria Libya Yemen Tunisia kote huko pamechimbika na watu wa nchi hizo wanatafuta hifadhi kwenye nchi ambazo kwao wanaziita kwa majina mabaya mabaya Nyundo Kipozeo unapouliza rafiki wa Israel harafu unajijibu mwenyewe kwa kutoa jibu inaonyesha wazi kuwa waarabu wamekulainisha sana kama ni mti basi umebakizwa KUKATWA tu.kuhusu kusaidiwa Bajeti hata sisi Tanzania kwenye Bajeti yetu tunasaidiwa kila mwaka sijui hapo utatuambia nini,wewe unamsahau Shetani anayewamaliza waarabu huko mashariki ya kati?????waarabu wanachinjana wao kwa wao miji yao imeachwa magofu hayo huwezi kuyaona maana wanauana waarabu kwa waarabu.Hivyo ni ndoto za mchana Kuifuta Israel katika ulimwengu huu na hata ujao,Hitler alibahatisha lakini kwa sasa hakuna atakaye weza pamoja na kubwabwaja kwenu kote.

Umeandika vyema kabisa mkuu na inaonesha wazi kuwa kichwani upo vizuri. Big up bro
 
Last edited by a moderator:
Teh teh teh.
I love you too pal.
See! If you want to use the Language of your slave masters use it in a proper manners!

Moreover did you know the calendar you follow belongs to the Pagans?
Even the so called Jesus date of Birth originated frm Pagan god of sun.?
You guys Know nothing about you faith, absolutely zero!

Do you know why there always easter chocolate eggs for sale in all supermarkets on EASTER Holidays with the Shape of A RABBIT? do you?
I guess not! Cause most of you have eyes but still blind.RABBIT

Go find out what Egg and Rabbit represents what! Is it realy the birth of Jesus?
Whats the Birth of Jesus got to do with Eggs and RABBITS?

Please Wake up galatian. The Hell fire in not a good place at all.

I follow Jesus and Honour him. But you pretend to follow him but the truth is You Follow SATAN the Lucifier.

My God, we Christians aren't Lucifer's followers nor do we believe in satan by following satanic verses.
Beside, I admire moderate Muslims whose faith believe in peace, love and prosperity. These Muslims coulf be found in Saudia, Turkey, Palestine State and Lebanon.
You seem to be like those guys trying to create IS....
 
My God, we Christians aren't Lucifer's followers nor do we believe in satan by following satanic verses.
Beside, I admire moderate Muslims whose faith believe in peace, love and prosperity. These Muslims coulf be found in Saudia, Turkey, Palestine State and Lebanon.
You seem to be like those guys trying to create IS....

Denial doesn't mean Not Guilty.

Lucifier told you to Worship Idols and white man's Picture but BIBLE says "
Do not worship any other gods besides me.” Do not make idols of any kind, whether in the shape of birds or animals or fish. You must never worship or bow down to them, for I, the LORD your God, am a jealous God who will not share your affection with any other god! (Exodus 20:3-5 NLT)

HELL FIRE for Idol Worshipers
 
Nyundo Kipozeo Islam religion of peace.jpg
 
Last edited by a moderator:
Arab Israel War....................Oyaa Magufuli kaahidi kutupeleka Israel eti.:doh::doh: aaaargh napita tuuu nilikuwa nimetoka usingizini
 
We calls for destruction of a state of israel coming soon
 
echolima hapa umepakimbia pole

Wewe mjinga nimekimbia wapi mimi toka jana jioni naomboleza kilio cha watu zaidi ya 100 waliouwawa na jamaa wanaojiita Dini ya Amani walikuwa wanashetehekea kumaliza mfungo wa Ramadhan hivyo waliamua kuua watu hao ili kukamilisha funga yao.Kwa hiyo kuanzia jana na leo mimi niko kwenye maombolezo hutaniona kwenye mada kama hii,hata hivyo wewe huna ubavu wa kuleta hoja kidooooogo Kifyatu naweza kumfikiria ingawaje naye amejaa mambo ya kukaririshwa kama kasuku ila wewe na Nyundo kipozea mpaka muende shule kwanza maana mara nyingi sana mmekosa hoja na mnaendekeza Ushabiki.
 
Last edited by a moderator:
Wewe mjinga nimekimbia wapi mimi toka jana jioni naomboleza kilio cha watu zaidi ya 100 waliouwawa na jamaa wanaojiita Dini ya Amani walikuwa wanashetehekea kumaliza mfungo wa Ramadhan hivyo waliamua kuua watu hao ili kukamilisha funga yao.Kwa hiyo kuanzia jana na leo mimi niko kwenye maombolezo hutaniona kwenye mada kama hii,hata hivyo wewe huna ubavu wa kuleta hoja kidooooogo Kifyatu naweza kumfikiria ingawaje naye amejaa mambo ya kukaririshwa kama kasuku ila wewe na Nyundo kipozea mpaka muende shule kwanza maana mara nyingi sana mmekosa hoja na mnaendekeza Ushabiki.


Mkuu, nakukaribisha unijaribu ufahamu wangu. Utapwelea.
 
alijaribu hitler kuifuta israel..! Kiko wapi?

acha kudanganya watu ww inaonekana huna akili kbs ya kuwaza na kujielewa
rudi shuleni ukasome cio upuuz wako ulondika hapa wakat wa hitler halikuwepo taifa la israel
jifunze na sio kukoment upuuzi
 
Yusomwasha ndiyo maana huwa nakwambia kila mara kuwa wewe na Mwenzio Nyundo Kipozeo kuwa ninyi ni ma-BOZONGO hamjui kitu hamjui kujibu mtu kwa kutumia hoja zenye nguvu,Badala yake mnabwatuka ili kumtisha mnayemjibu ili asiendelee kuwahoji u-BOZONGO wenu acheni hizo,sasa kama wewe unajua kitu si ungemweleza basi kuwa wakati huo wayahudi walikuwa wapi,sasa unavyobwatuka hivyo kwani nani AMEKUKATA?????.
acha kudanganya watu ww inaonekana huna akili kbs ya kuwaza na kujielewa
rudi shuleni ukasome cio upuuz wako ulondika hapa wakat wa hitler halikuwepo taifa la israel
jifunze na sio kukoment upuuzi
 
Last edited by a moderator:
Yusomwasha ndiyo maana huwa nakwambia kila mara kuwa wewe na Mwenzio Nyundo Kipozeo kuwa ninyi ni ma-BOZONGO hamjui kitu hamjui kujibu mtu kwa kutumia hoja zenye nguvu,Badala yake mnabwatuka ili kumtisha mnayemjibu ili asiendelee kuwahoji u-BOZONGO wenu acheni hizo,sasa kama wewe unajua kitu si ungemweleza basi kuwa wakati huo wayahudi walikuwa wapi,sasa unavyobwatuka hivyo kwani nani AMEKUKATA?????.

Tatzo unadakia halaf c unajua cwafagilii machoko kaa wew
 
Last edited by a moderator:
Hitler was greatly influence by Charles Darwin and his Theory of Evolution. Hitler believed that the German people were the most advanced race of people, and all others were inferior. For Darwin's theory of survival of the fittest to be true, all other inferior species had to die. Hitler was making sure the inferiors would die off rapidly, so his MASTER RACE would rule faster.

Hitler picked mainly on the Jews first, because the world didn't like them, and he thought he could wipe them out with no opposition. He also virtually wiped out the Gypsies and other small groups.

Hitler was greatly influenced by Darwin's evolution and survival of the fittest theories

Haya wewe uliyesoma, unafahamu hata Jewish people ni kina nan..!?

 
Tena umeandika English Yusomwasha umemuacha patupu hataelewa bora ungeandika kiswahili hapo labda angejaribu lakini kwenye ung`eng`e umwemwacha mlango wazi.
Hitler was greatly influence by Charles Darwin and his Theory of Evolution. Hitler believed that the German people were the most advanced race of people, and all others were inferior. For Darwin's theory of survival of the fittest to be true, all other inferior species had to die. Hitler was making sure the inferiors would die off rapidly, so his MASTER RACE would rule faster.

Hitler picked mainly on the Jews first, because the world didn't like them, and he thought he could wipe them out with no opposition. He also virtually wiped out the Gypsies and other small groups.

Hitler was greatly influenced by Darwin's evolution and survival of the fittest theories

Haya wewe uliyesoma, unafahamu hata Jewish people ni kina nan..!?

 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom