Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

Tetesi: Iran: Israel inajiandaa kutushambulia

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
72,947
Reaction score
102,722
Viongozi wa Kijeshi nchini Iran wamesema kuwa wanaona Israel ikijiandaa kuishambulia.
Iran imesema itahakikisha inalipiza kisasi mapema kuliko na ndani ya Msaa 48 Israel haitokuwepo.

Zaidi ya ndege 6 za kubeba mizigo za Kirusi zimetua katika Kambi kubwa ya kijeshi na kushusha silaha mbali mbali

Balozi za Uingeleza, Ujerumani na Uswisi zimefungwa
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
 
Japo sipingani na wewe kuhusu kichapo ilichotoa Iran kwa Israel, lakini napingana na wewe katika hili swala la tetesi za Israel kuishambulia Iran.

Kiufupi hilo shambulio haliwezi kufanyika kwa sasa, unless kama ule msemo wa sikio la kufa halisikii dawa uwe unataka kujidhihirisha kupitia kwa Israel.

Netanyahu na Trump wake wanafahamu madhara makubwa waliyoyapata mwezi mmoja tu uliyopita ambapo mpaka sasa hasara yake haihesabiki. Hivyo hawatokuwa tayari kuingia katika hasara nyingine ambayo pengine safari hii inaweza kugharimu maisha ya Shetaninyahu (Netanyahu) mwenyewe.

Hapo alipo anatembea na sumu mwilini inayosemekana aliwekewa kwenye chakula na watu wenye akili kumshinda yeye na genge lake. Sasa hilo halijaisha unafikiri ataanzisha lingine?

Kinachofanyika kwa sasa ni kuanzisha taarifa hizi za taharuki, ili kujaribu kuhamisha upepo wa maandamano yanayofanyika nchini kwake, ambapo waisrael wenyewe wameshamchoka kutokana na kupenda kutumia vita kama kichaka cha kuficha ufisadi wake, na ushetani wake.

Lakini kwa Israel hii ya sasa kuishambulia Iran tena, sahau mkuu. Hakuna mtu alietegemea kile kilichotokea kwanza kingetokea. Hivyo washajifunza.
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
Ile issue kwa uhalisia Israel alijua na akaiacha ili apate sababu ya kuondoa adui wa karibu kabla hajamfata Iran.
Israel kamwe asingeivamia Iran wakati Hamas, Hezbollah na Houthis wako vizuri.
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
Urusi iliwahi kuishauri Iran kwamba ijihami na ADF kukoka Russia lakini for some reason Iran ilipuuzia ushauri huo!!
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa

Hawakufeli, Wayahudi wangeshambuliwa kwanza wangepata support kubwa ya kijeshi kutoka uingereza, ujerumani, Ufaransa,Japan etc. Wangejiportray kama victims na wangeweza kusababisha damage kubwa mno kwa Iran, Lebanon na Yemen.
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
sasa huoni aibu makobazi yote mnamchangia myahudi na anawapa kibano kila mmoja kwa muda wake kwanini kobazi msisitishe hili zoezi la kumfuta myahudi maana halifanikiwi zaidi mnabaki kulia inauawa wanawake na watoto na Allah mwenyewe hata hawasaidi mnabaki magofu

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Middle east walifeli sana kimkakati ilipaswa oktoba 7 ilipotokea basi hapo hapo Hezollah, Iran, Houthi wangefanya ambush sio kumuacha mmoja mmoja ndio apigane mwenyewe. It was pure weakness.

Ila kongole kwa Iran kwenda toe to toe na Israel aliyekua supported directly na ndege na meli jeshi za USA, UK na France licha ya kuwa peke yake. Naamini akiomba support ya Russia, N.Korea na China tungekua tunaongea mengine kwa sasa
wangejaribu kufanya hivyo ndio wangekuwa na hali mbaya zaidi.
 
Ile issue kwa uhalisia Israel alijua na akaiacha ili apate sababu ya kuondoa adui wa karibu kabla hajamfata Iran.
Israel kamwe asingeivamia Iran wakati Hamas, Hezbollah na Houthis wako vizuri.
Ndio nasema iliapaswa wote wavamie kwa offensive moja yaani ile Hamas inavamia basi hapo hapo houthi irushe missiles na kublock meli za marekani, same time Iran ingeshusha makombora ikiwa supported na ground forces za Irann huko Syria.

At least attack ingekua na uzito wake kama malengo yao yalikua kutaka Palestine wapewe fair treatment
 
Back
Top Bottom