Wakati najiunga Jf miaka kadhaa nyuma nilikuta watu akili zinachemka humu, kulikua na balaa ilifikia hatua hata darasa la saba aliyepo jf alipata masters yake humu humu ,..
Lakini hii jf ya sasa kwa jicho la tatu ila VICHWA MCHUNGA wengi saanaaa hivi mtu anaona kwa mfano ingawa sijajua ni kweli au laa " Israel yakudukua mifumo muhimu ya kiusalama Iran" kichwa mchunga anakuja mbio kukoment " yaani kudukua taarifa za siri ndo kulipa kishaaasi warushe mabomu waone " yani mtu anashindws kufikri kidogo tu kuwa mtu akishapata taarifa zako na mipango yako na kujua udhaifu na uimara wa kila sehemu umeshaisha wao wanakimbilia kombora
Mfano; katika moja ya taarifa iliyoibwa ikawa ni sehemu zote zenye makombora hatari je zikiwahiws hizo kuna jambo hapo?
Au ni ushabiki na udini unawapunguzia watu uwezo wa kufikiri