OSEFUKANY
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 2,437
- 3,906
Na kweli Mwamba alisema ataishangaza dunia. Kobaz et al walitegemea kurushiwa vimondo vitakavyotua Tehran kumbe Mwamba kaja kivingine. Tusubiri yajayo kwani mpaka sasa dunia haijashangaa bado.waache longo longo warushe vimondo hapo Tehran kama wanaweza.
Haya mambo ya kuhack ni uoga uliopitiliza!