Iran inder INTENSE cyber-attack. ALL critical infrastructure affected

Iran inder INTENSE cyber-attack. ALL critical infrastructure affected

MAJINI HUWA HAYA SAIDII MKIWA VITANI?

Wanatukuza mapepo, lakini sijui huwa yanawasaidiaje kuwalinda kwenye majanga kama haya.

Vaeni vipedo na kobaz twende vitani.
Muulize yesu ndiyo anayajua vizuri, aliyatoa sana kipindi chake,na wengine wanaendelea kuyatoa kanisani
 
Wakati najiunga Jf miaka kadhaa nyuma nilikuta watu akili zinachemka humu, kulikua na balaa ilifikia hatua hata darasa la saba aliyepo jf alipata masters yake humu humu ,..

Lakini hii jf ya sasa kwa jicho la tatu ila VICHWA MCHUNGA wengi saanaaa hivi mtu anaona kwa mfano ingawa sijajua ni kweli au laa " Israel yakudukua mifumo muhimu ya kiusalama Iran" kichwa mchunga anakuja mbio kukoment " yaani kudukua taarifa za siri ndo kulipa kishaaasi warushe mabomu waone " yani mtu anashindws kufikri kidogo tu kuwa mtu akishapata taarifa zako na mipango yako na kujua udhaifu na uimara wa kila sehemu umeshaisha wao wanakimbilia kombora
Mfano; katika moja ya taarifa iliyoibwa ikawa ni sehemu zote zenye makombora hatari je zikiwahiws hizo kuna jambo hapo?
Au ni ushabiki na udini unawapunguzia watu uwezo wa kufikiri
 
Sisi Iran tunatafuta sababu ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia kwahiyo tunasubiri watushambulie ili tupate sababu, hizo propaganda za Cyber attack ni propaganda tu za kuionyesha dunia kuwa nao kuna kitu wamejibu ila ni uongo mtupu.

Sisi tunasubiri Netanyahu ajichanganye ili Israel yote tuifanye kama tulivyoifanya Nevatim base kwenye tukio la juzi
Operation true promise II
 
Urusi kwa teknolojia ni underdog tu kwa wayhudi, yeye labda ni kwa wingi wa vifaru chakavu tu.
Unaelewa unachozungumza? Unaijua timu ya kim wa North Korea wale maprofesional ambao Marekani wameingiia na kutoka na nyaraka muhimu mpaka us wametangaza dau? Wanashirikiana na warus
 
Kama ni kweli MOSAD amefanya yake, basi yajayo yanafurahisha zaidi kwani Israel iliapa kulipiza kisasi kwa ukali wa kiwango cha juu na kitakachoishangaza dunia. Hadi hapo ujue data nyeti kwenye maeneo yaliyoathirika zimeshachukuliwa na Mwamba. Kilichobaki wanasubiri kibali cha Neta "OK au Wait a bit "
Hakika Jews ni watu hatari na pengine kiwango cha ulipaji kisasi kilichokusudiwa kwa mujibu wa kiapo kilikuwa kikubwa mno kiasi kwamba ilibidi Marekani aingilie kati kupunguza makali yaliyokusudiwa. Don't ever mess-up with the Jews.They will kick or chop ur balls.
Unajua kwanini USA anaingilia kati mkuu!?
 
Mpaka hapo taarifa mhimu zimeshachukuliwa
yap, wanachofanya wanaingia, wakitoka washajua hadi location ya vinu vyako, locations za bunker ulipojificha wewe ayatola na kila kitu. kitakachofuata ni kukupiga ganzi ili wanaporuka hewani ushindwe kuwadungua kirahisi.
 
Lisemwalo lipo, haijapata kutokea taifa lenye mapandikiza ya MOSAD kama Iran, na ndio maana hawana wanaloweza kupanga wayahudi wa mchongo wasitambue.

Kitu muhimu wanachopaswa kifanya ni kujichunguza upya ili kupunguza ama kuondoa kabisa mapandikizi ya MOSAD katika serikali na mitaa yao
 
yap, wanachofanya wanaingia, wakitoka washajua hadi location ya vinu vyako, locations za bunker ulipojificha wewe ayatola na kila kitu. kitakachofuata ni kukupiga ganzi ili wanaporuka hewani ushindwe kuwadungua kirahisi.
Hv unaweza kutengeneza kinu cha nuclear kisijulikane?vinu vinajulikana vilipo Hila ukivishambulia direct missiles from tel Aviv hayo Majibu mtakayopewa mara elf 1 ya shambulio la October 1
 
Sisi Iran tunatafuta sababu ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia kwahiyo tunasubiri watushambulie ili tupate sababu, hizo propaganda za Cyber attack ni propaganda tu za kuionyesha dunia kuwa nao kuna kitu wamejibu ila ni uongo mtupu.

Sisi tunasubiri Netanyahu ajichanganye ili Israel yote tuifanye kama tulivyoifanya Nevatim base kwenye tukio la juzi
Operation true promise II
Ndugu!

Usirudie tena kula tikiti maji huku ukishushia na Coca-Cola utakuja kufa bila tarifa
 
Vimondo wameachiwa akina ayotollah warushe mia tatu madhara 0.01
Huku hasara ya mabillion

Waisrael wanafikiria mbele km maelfu
Wanaweza kujam hiyo Mifumo ya vimondo na nuclear ijilipukie tu huko Iran
Mbona hawakutumia teknolojia kuzuia makombora yasitue kwenye ardhi yao?

Yaani nchi zaidi ya tano zimejitahidi kuzuia makombora ya Iran yasifike Israel lakini imeshindikana hadi mzigo ukatua maeneo lengwa.

Endelea kudanganywa na propaganda za mashog,a wakati dunia sasahivi kila kitu kinaonekana na sio kuhadithiwa.
 
Wewe unaumwa
Kuna vitu viwili hapo kwenye hizo link zilizo tolewa
1. Reports claiming hapa hata hajulikani huyo anae claim ni nani?
2. Has not been an official confirmation hapa sio Israel wala Iran alizungumzia hili jambo

HITIMISHO: sasa sijui mgonjwa ni nani ,Mimi ninae subiri taarifa rasmi au wewe unae amini kwenye tetesi ?
 
Sisi Iran tunatafuta sababu ya kuifuta Israel kwenye ramani ya dunia kwahiyo tunasubiri watushambulie ili tupate sababu, hizo propaganda za Cyber attack ni propaganda tu za kuionyesha dunia kuwa nao kuna kitu wamejibu ila ni uongo mtupu.

Sisi tunasubiri Netanyahu ajichanganye ili Israel yote tuifanye kama tulivyoifanya Nevatim base kwenye tukio la juzi
Operation true promise II
Uzuri Iran hana ahadi feki akikuahidi anatekeleza bila kuchelewa.

Hawa Mazayuni midomo mirefu lakini vitendo sifuri. Wametwangwa mara mbili bila majibu hadi leo wamebaki na propaganda za cyber attack kuwadanganya manyumbu waliyozoea kuyadanganya.
 
Kuna vitu viwili hapo kwenye hizo link zilizo tolewa
1. Reports claiming hapa hata hajulikani huyo anae claim ni nani?
2. Has not been an official confirmation hapa sio Israel wala Iran alizungumzia hili jambo

HITIMISHO: sasa sijui mgonjwa ni nani ,Mimi ninae subiri taarifa rasmi au wewe unae amini kwenye tetesi ?
Mkuu Mazayuni weusi wa Nanyumbu huwaelezi kitu kuhusu taifa la kishog,a wao walichoaminishwa hawataki kabisa kuwa free minded ili kufikiri nje ya boksi.
 
Back
Top Bottom