Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,207
- 32,701
Unaandika uharo mwengi sana wasome mabwana zako huko walipoIran haina uwezo wa kivita ndani tu ya Iran wanawake walimkabili huyo Ayatollah kupinga kuvaa hijabu hadharani baada ya kifo cha msichana Mahsa Amin aliyeuawa kwa kupiga picha akiwa hajavaa hijabu
Maandamano ya kupinga kuvaa hijabu yalikuwa makubwa nchi nzima ya Iran huku waandamaji wakitoa matusi ya nguoni kwa Ayatollah na kutaka aondolewe madarakani na utawala wake wa kidini huku wakichoma majengo ya umma na kushambulia Asklari wa dini na kuchoma magari yao.Ayatollah kuona anataka kupinduliwa akaondoa askari wote wa dini wa kusimamia sharia mitaani wasisumbue wanawake tena Sasa hivi hawako kabisa.
Sasa hivi Iran hadi Tehran penyewe kuvaa hijabu hiari wanawake wengi wanatembea vichwa na vifua wazi na nguo za vimini bila hijabu ba hakuna wa kuwagusa.Ayatollah kaufyata kwa wanawake na hakuna sijui cha mwanamke akitaka kutoka nuwa lazima aambatane na mwanaume haipo huyo wanatoka kivyao kwenda popote .Ayatollah kaufyata.
Huyo ndiye aweza pigana na Israel huyo imamu wa msikitini dhidi ya Israel? Akiyeshindwa na wanawake wa Iran tu?
Anasubiriwa tu alianzishe dhidi ya Israel na Israel waanzishe mashambulizi dhidi ya Iran ili kuwapa motisha wapinzani wa Ayatollah walioko ndani ya Irani waanzishe vita ya ndani ya Iran wamtoe huyo Ayatollah na midevu yake wauondoe huo utawala wa kidini msumbufu ambao wairani wengi hawautaki.Ushahidi ni kuwa wanawake tu wakimtikisa kuwa hawataki kulazimishwa kuvaa hijabu na akaufyata akaondoa askari wasimamia sharia mitaani
Huyo Ayatollah hapendwi ndani ya Iran wa Iran wanasubiria t8 mtu aliwashe Iran na wao waliwashe ndani ya Iran
Aanze tu Israel wala hamuogopi Iran
Ila Iran ndio anamuogopa Israel ndio maana hata vita ya Gaza aligoma kujitosa akiogopa kuwa akihangaika kushambulia Israel huku nyuma Wa Iran watampindua
Mwambieni huyo Ayatollah aache maneno apige Israel aone muziki wake wapenda Iran mje kuanza kulia lia hunu kuwa anaua wanawake na vitoto vichanga vya Iran na raia wasio na hatia kama mnavyolia Gaza wakati Hamas ndio walichokoza
Israel inamsubiri Iran kwa hamu sana aingie kwenye anga zao.Wamekuwa wakimsubiri muda mrefu ili wamuonyeshe cha mtema kuni
Mavi yangango Pambas.
🚨 Muda mfupi uliopita, IOF iliamua rasmi kuwaita askari wa akiba kwa ajili ya mifumo ya ulinzi wa anga "kutokana na hali ya usalama.">>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
Kwa saa kadhaa, jeshi la anga na ulinzi wa IOF vimekuwa katika hali ya tahadhari na tayari kabisa, wakihofia jibu la Iran kwa shambulio la IOF la ubalozi mdogo wa Damascus, kulingana na vyombo vya habari vya Kizayuni. Wakati huo huo, Waziri wa Vita Gallant alitoa hotuba akisema operesheni itaongezeka upande wa kaskazini.
Kwa kuzingatia hofu hii ya majibu au vita vilivyopanuliwa, benki kuu ya "Israel" inaomba benki kuhifadhi kiasi kikubwa cha fedha, kutokana na ongezeko la uwezekano wa mahitaji kupitia ATM.
Zaidi ya hayo, vyanzo vya ndani katika #AlQuds viliripoti kwamba shule zitabadilika na kutumia masomo ya mbali mwishoni mwa Ramadhani kwa angalau mwezi mmoja, sanjari na hali ya hatari ili kuzihamisha shule hizo na kuzigeuza kuwa makazi ya walowezi waliohamishwa kutoka kaskazini.
🚨 Moments ago, the IOF officially decided to call up reserve soldiers for air defense systems "due to the security situation.">>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>
For several hours, the IOF's air force and defenses have been on high alert and full readiness, fearing an Iranian response to the IOF's bombing of the Damascus consulate, according to Zionist media. Simultaneously, War Minister Gallant made a speech stating the operations will increase on the northern front.
In light of this fear of a response or an expanded war, the central bank of "Israel" is requesting banks to stock up on large amounts of cash, due to a potential increase in demand through ATMs.
Additionally, local sources in #AlQuds reported that schools will switch to remote learning at the end of Ramadan for at least a month, coinciding with a state of emergency to evacuate the schools and turn them into shelters for displaced settlers coming from the north.
Archive img.