maneno roberts
Senior Member
- Jan 17, 2014
- 124
- 36
Thubutuu!!! Israel aingie Irani? Labda hawajipendi, labda waingie kaka zake America nk. Peke yake hata Egypt haiwezi.
Hujui unachosema..! Na wala hujui chcht kuhusu Israel
Thubutuu!!! Israel aingie Irani? Labda hawajipendi, labda waingie kaka zake America nk. Peke yake hata Egypt haiwezi.
Israel ana nini zaidi ya kuomba omba msada wa USA. Juzi juzi kusukumiwa Scud 50 na Hamas hakuweza kuziangusha isipokuwa tano tu.Hujui unachosema..! Na wala hujui chcht kuhusu Israel
mkuu unazo taarifa zozote kuhuzu uwezo wa Israel katika utengezaji wa silaha za neclear na mambo yanayohusu tiba? nako ni tegemezi? kuna mkono wa nchi gani ya nje hapo. marekeni? unahitaji kiwanda kikubwa kiasi gani chini ya ardhi kutengeza nuclear war head?
kama wana vipaji vya kufikiri sasa si waitafute?usipuuzie maoni hayo ndugu. hawa watu wana vipaji vya kufikiri vya ziada. unaweza ukute ni kweli. ndege haiwezi kujificha bila kufichwa. ingekuwa ajali ndege ingeshaonekana
Sikuwa na maana ya kudharau uwezo wa isarel bali post yangu mara ya kwanza kabisa ilikuwa ni kumkumbusha yule aliyesema kuwa Isareli haina uwezo wa kupigana na Misri. Katika kukumbusha kuwa Isralei iliwahi kuipiga Misri tena siyo mara moja tu nikagusia kuwa baada ya kuwekeana mkataba wa amani, jeshi la Misri na Isarei limekuwa linapata msaada wa kijeshi mkubwa sana kutoka Marekani ambamo wanapewa silaha na fedha. Sasa huyu alinikurupukia kudai kuwa waisraeli hawaitegemei marekani kwa silaha bali marekani ndio wanaoitegemea israeli kwa wanasayansi nikmwona ni mpuuzi wa kupita kiasi hivyo nikamsahihisha.
Baada ya kumsahihsisha naona na wewe unakuja na deflection nyingine tena isiyohusika. Sijasema waisraeli hawana viwanda, ninachosema ni kuwa hawana viwanda vya silaha kali za kivita, hasa ndege, vifaru, manowari na magari ya deraya. Sikusema kuwa hawajui kutengeneza madawa wala kalamu, hapana wanajua kutengeza vitu vingi sana lakini siyo silha hizo. Kama una uhakika nimabie ni vifaru gani vinatengenzwa isareli kama siyo wao kuwekea armour tu. Ni kweli wana mabomu ya nyuklia waliyojengewa na wafaransa, lakini vita ya siku hizi haipiganwi kwa mabomua nyuklia, na wala usitegemee taifa lenye akili likitumia bomu la nyuklia dhidi ya taifa jingine unless taifa hilo halina interest na kulinda nchi yao wenyewe. Watu wanakuwa nayo kuonyeshana ubabe tu; woga mkubwa ni pale yatakapoingia mikononi mwa terrorists ambao hawana nchi ye kutetea bali wako tayari kuunguza kila kitu pamoja na wao wenyewe.!
kambi za kijeshi za nchi zilizoendelea hazipo naked kama za hapa kwetu to the extent that unawezo kufanya surveillance kutokea angani...kunakuwaga na anti-satellite shield hivyo ni vigumu sana aisee!
Kwa hiyo kumbe hata founding fathers walikuwa Wayahudi eeh? Na baada ya wao kuandika katiba ya Marekani (ambayo kwa kweli ni timeless) ndo Marekani ikaanza kuwa bonge la taifa?
Halafu, hao Wayahudi na hizo akili zao ilikuwaje Hitler akawakaanga namna hiyo hadi wengine wakakimbilia Marekani? Hawakuwa na akili za kumdhibiti au....?
Hapo mkuu umetoka nje ya topic, kumbuka ulikuwa unaongelea NASA.
Sisemi kwamba wayahudi wana akili sana hapana, isipokuwa marekani ni mchanganyiko wa mataifa mbalimbali including wayahudi, na wao kama mataifa mengine wanamchango wao kwenye technolojia ambazo zimo marekani.
Hitler aliwasumbua ni kweli na walikimbilia marekani ili waweze kumtengeneza vizuri. Huyu jamaa Wernher von Braun na timu yake baada ya kuja marekani ndio walio design na ku modify silaha zilizomng'oa Hittler.
Hao founders wamepewa nchi na wafaransa, walishindwa kuitwaa nchi kutoka kwa waingereza na timu yake baada ya kuasi.
Hao founders wenyewe asili yao sio marekani.
naona hitler aliwalia tu timingi...kila binadamu ana flaw mkuu; hata akiwa na akili kiasi gani.
Aliwalia timing wengi hivyo? Na badala ya kubaki wamdhibiti na hizo so called akili zao wakakimbilia nje.
They are way overrated.
1)Huh? Nani walishindwa kuitwaa nchi?
2)Marekani ni nani ambaye asili yake ni Marekani? Mi ninachojua Marekani tokea miaka ya 1600 ni Nation of Immigrants.....
1)Hao unaowaita wamarekani ndio walioshindwa kuitwaa America baada ya kumuasi bosi wao Muingereza, mpaka walipokopa ufaransa nakusaidiwa na ufaransa na deni hawakulipa. Hivyi unafahamu tofauti ya uhuru wa marekani na uhuru wa nchi kama yetu ya Tanzania? Kwa jinsi ulivyouliza inawezekana haujui historia ya mapigano ya kuwaasi waingereza.
2)Hivyo ndivyo unavyotakiwa kufahamu kwamba marekani ni taifa la wahamiaji.
propaganda za kipuuzi aisee
Mkuu, ukifanikiwa kufika mji wa viwanda Rehovot, Israel utaona kiwanda kinachofanya tafiti ya kutengeneza ndege zisizo na rubani, robot ni. Pia, Iron Domes za kisasa wanatengeneza wenyewe na ni Very expensive.Wewe ni mpuuzi tu ukiwa unaongea porojo bila kuwa na uhakika bali imani na hisia zao zinavyokutuma:
(1) Utashangaa sana utakapogundua kuwa maprofesa wengi maarufu katika engineering kwenye vyuo vingi vya Marekani ama ni Wahindi, au Wachina au Wairani; siyo waisrael.
(2) Silaha nyingi sana kubwa kubwa huko zinatoka Marekani; juzi juzi walijengewa missile defence system iliyoitwa iron dome ili kukabiliana na makombora ya hamas. Ndege zote za kivita za jeshi la Israel ama ni za kimarekani au ni za kifaransa. Hawana kiwanda cha ndege hata kimoja, hata kiwanda cha gari hawana ingawa wanategeneza body za magari zinazohimili milipuko (armoured vehicle body). Viwanda vyao vikubwa vya kijeshi ni vya mizinga tu, hiyo ni kweli lakini vita haipiganwi kwa mizinga tu, wanahitaji vifauru na magari ya kivita kutoka Marekani.
(3) Karibu nchi zote kubwa kubwa zinategeneza bunduki zao wenyewe, hiyo ikiwa ni pamoja na Israel, Misri na hata Iran; kwa hiyo sidhani unahesabu bunduki kama silaha kwa vile hakuna ushindani mkubwa sana katika utengezaji wa bunduki leo hii.
Tuwekee wewe Ukweli unao ujua zaidi ya Taarifa hii si busara kufanya haraka kupinga kila jambo bila ya kutafakari.
Kumbuka Iran ni sponsor wa makundi ya kigaidi kama Hamas, Hezbollah, CUF, uamsho, ... lolote linawezekana.