Iran Hiding Flight MH370 Boeing--Israeli Security Expert

Iran Hiding Flight MH370 Boeing--Israeli Security Expert

Yani hawa waIsrael sijui wanafikiria kwakutumia mi------! Assumption gani za kupuuzi na kijinga kiasi hiki eti inawezekana waIran wakawa wameiteka na kuipeleka sehemu isiyojulikana au ipo IRAN hivi ktk ulimwengu wa leo ni wapi pasipojulikana? Au hoyp ndege ilikua na fuel kiasi gani chakusafiri hadi Iran bila kuongeza mafuta popote pale? Hivi hao waIran walikua na silaha gani ambazo hazikuonekana kwenye scanner za uwanja wa ndege? Hivi masetelaiti ya nchi zilizoendelea hazipo au hii nayo ni conspiracy kmya sep 11...

ndiyo hapo sasa....
 
Hii ni Zionist propaganda za kutimiza majukumu yao ya kuitafutia Marekani na Ulaya mafuta huko Iran. ... Hii sio ndege ya kwanza kupotea kutoka angani.


he...kumbe! mi sikujua kuna ndege zingine zilishawahi kupotea kwa mtindo huu. labda niombe kujuzwa sasa: kumbe ni ndege gani ilishawahi kupotea kwa zaidi ya siku 10 isijulikane imeenda wapi? Ilikuwa ya taifa gani? na hilo lilitokea lini?
 
Na vipi kama hiyo military base ipo kisiwani ambapo hakuna anayeishi zaidi ya kuwepo na militär installations?

Out of 100 hundred sheep, there is at least One black sheep.

Just as an interesting aspect and another detail for understanding the complexity of modern aviation, if you have never seen the radar maps of current flights it is astonishing to see how many planes are in the air around the world at any given time:

Flightradar24.com - Live flight tracker!
 
Inawezekana uko sahihi ila historia inaonyesha sababu ya kifo cha ghafla cha Nasser ilikuwa ni kipigo cha kijeshi kutoka Israel, na hata mojawapo ya sababu za Anwaar Sadaat kuafikiana amani na Israel ilikuwa baada ya kugundua kuwa atakuwa anasimama kwenye loosing side. Ulimwengu wa miaka ya sabini haupo tena leo ila dynamics za nchi nyingi bado ni zile zile, nchi moja inapoendelea, hasidi wake naye anaendelea. Majeshi ya Misri na Israeli yanategemea sana silaha za Marekani wanazopewa kutokana na makubalianao yao ya amani, na kuanzia hapo sote tunakuwa hatujui wanapata silaha zenye uwezo gani na wanaziboresha kivipi wakishazipata.

Una uhakika Israel inategemea silaha toka marekani????? Nakushauri usome vizuri kuhusu silaha za Israel na marekani ndo utajua utofauti pamoja na technology zao...anzia kwenye vifaru kwanza. Isitoshe uliza au fuatilia wataalam wa kivita wa marekani pamoja na wanasayansi kama wa kule NASA na wataalam wa maswala ya ulinzi, madaktari na maprofesa waliobobea pamoja na ma lecturer wa vyuo wengi wao ni kina nani au wana asili ya wapi ndo utachoka zaidi kama siyo kabisa! Achana na hilo taifa teule!
 
Ndege itapatikana na abiria woote wapo salama. T.B joshua aanze kuandaa uongo wa kudanganya wafuasi wake
 
Una uhakika Israel inategemea silaha toka marekani????? Nakushauri usome vizuri kuhusu silaha za Israel na marekani ndo utajua utofauti pamoja na technology zao...anzia kwenye vifaru kwanza. Isitoshe uliza au fuatilia wataalam wa kivita wa marekani pamoja na wanasayansi kama wa kule NASA na wataalam wa maswala ya ulinzi, madaktari na maprofesa waliobobea pamoja na ma lecturer wa vyuo wengi wao ni kina nani au wana asili ya wapi ndo utachoka zaidi kama siyo kabisa! Achana na hilo taifa teule!

Wewe ni mpuuzi tu ukiwa unaongea porojo bila kuwa na uhakika bali imani na hisia zao zinavyokutuma:

(1) Utashangaa sana utakapogundua kuwa maprofesa wengi maarufu katika engineering kwenye vyuo vingi vya Marekani ama ni Wahindi, au Wachina au Wairani; siyo waisrael.

(2) Silaha nyingi sana kubwa kubwa huko zinatoka Marekani; juzi juzi walijengewa missile defence system iliyoitwa iron dome ili kukabiliana na makombora ya hamas. Ndege zote za kivita za jeshi la Israel ama ni za kimarekani au ni za kifaransa. Hawana kiwanda cha ndege hata kimoja, hata kiwanda cha gari hawana ingawa wanategeneza body za magari zinazohimili milipuko (armoured vehicle body). Viwanda vyao vikubwa vya kijeshi ni vya mizinga tu, hiyo ni kweli lakini vita haipiganwi kwa mizinga tu, wanahitaji vifauru na magari ya kivita kutoka Marekani.

(3) Karibu nchi zote kubwa kubwa zinategeneza bunduki zao wenyewe, hiyo ikiwa ni pamoja na Israel, Misri na hata Iran; kwa hiyo sidhani unahesabu bunduki kama silaha kwa vile hakuna ushindani mkubwa sana katika utengezaji wa bunduki leo hii.
 
Una uhakika Israel inategemea silaha toka marekani????? Nakushauri usome vizuri kuhusu silaha za Israel na marekani ndo utajua utofauti pamoja na technology zao...anzia kwenye vifaru kwanza. Isitoshe uliza au fuatilia wataalam wa kivita wa marekani pamoja na wanasayansi kama wa kule NASA na wataalam wa maswala ya ulinzi, madaktari na maprofesa waliobobea pamoja na ma lecturer wa vyuo wengi wao ni kina nani au wana asili ya wapi ndo utachoka zaidi kama siyo kabisa! Achana na hilo taifa teule!

Acha ku argue mambo kwa kutumia hisia za udini. Hakuna Israel bila Marekani wewe.

Hiyo NASA, kabla ya hapo ilikuwa inaitwa NACA ilikuwepo kabla hata hiyo Israel haijawa taifa rasmi.

Duniani hapa kuna super power moja tu: The United States of America.

Period, end of story.
 
Acha ku argue mambo kwa kutumia hisia za udini. Hakuna Israel bila Marekani wewe.

Hiyo NASA, kabla ya hapo ilikuwa inaitwa NACA ilikuwepo kabla hata hiyo Israel haijawa taifa rasmi.

Duniani hapa kuna super power moja tu: The United States of America.

Period, end of story.

Ni kweli kabisa hakuna Israel bila marekani.
Lakini hao NACA/NASA hawakuwahi kuwa na mafanikio kabla ya Wernher Von Braun kuingia pale. Huyu jamaa alikuwa ni Mjerumani mwenye asili ya Uyahudi, baada ya kuona Hitler anawaua wayahudi akahisi na yeye siku moja watamshtukia kuwa ana asili ya uyahudi hivyo akawahi kujisalimisha na kukimbilia kwa wamarekani.

Wernher von Braun, Rocket Pioneer: Biography & Quotes | Space.com


[FONT=microstile, arial][h=3][/h][/FONT]
 
Ni kweli kabisa hakuna Israel bila marekani.
Lakini hao NACA/NASA hawakuwahi kuwa na mafanikio kabla ya Wernher Von Braun kuingia pale. Huyu jamaa alikuwa ni Mjerumani mwenye asili ya Uyahudi, baada ya kuona Hitler anawaua wayahudi akahisi na yeye siku moja watamshtukia kuwa ana asili ya uyahudi hivyo akawahi kujisalimisha na kukimbilia kwa wamarekani.

Wernher von Braun, Rocket Pioneer: Biography & Quotes | Space.com

Kwa hiyo kumbe hata founding fathers walikuwa Wayahudi eeh? Na baada ya wao kuandika katiba ya Marekani (ambayo kwa kweli ni timeless) ndo Marekani ikaanza kuwa bonge la taifa?

Halafu, hao Wayahudi na hizo akili zao ilikuwaje Hitler akawakaanga namna hiyo hadi wengine wakakimbilia Marekani? Hawakuwa na akili za kumdhibiti au....?
 
Out of 100 hundred sheep, there is at least One black sheep.

Just as an interesting aspect and another detail for understanding the complexity of modern aviation, if you have never seen the radar maps of current flights it is astonishing to see how many planes are in the air around the world at any given time:

Flightradar24.com - Live flight tracker!

kambi za kijeshi za nchi zilizoendelea hazipo naked kama za hapa kwetu to the extent that unawezo kufanya surveillance kutokea angani...kunakuwaga na anti-satellite shield hivyo ni vigumu sana aisee!
 
Wewe ni mpuuzi tu ukiwa unaongea porojo bila kuwa na uhakika bali imani na hisia zao zinavyokutuma:

(1) Utashangaa sana utakapogundua kuwa maprofesa wengi maarufu katika engineering kwenye vyuo vingi vya Marekani ama ni Wahindi, au Wachina au Wairani; siyo waisrael.

(2) Silaha nyingi sana kubwa kubwa huko zinatoka Marekani; juzi juzi walijengewa missile defence system iliyoitwa iron dome ili kukabiliana na makombora ya hamas. Ndege zote za kivita za jeshi la Israel ama ni za kimarekani au ni za kifaransa. Hawana kiwanda cha ndege hata kimoja, hata kiwanda cha gari hawana ingawa wanategeneza body za magari zinazohimili milipuko (armoured vehicle body). Viwanda vyao vikubwa vya kijeshi ni vya mizinga tu, hiyo ni kweli lakini vita haipiganwi kwa mizinga tu, wanahitaji vifauru na magari ya kivita kutoka Marekani.

(3) Karibu nchi zote kubwa kubwa zinategeneza bunduki zao wenyewe, hiyo ikiwa ni pamoja na Israel, Misri na hata Iran; kwa hiyo sidhani unahesabu bunduki kama silaha kwa vile hakuna ushindani mkubwa sana katika utengezaji wa bunduki leo hii.

mkuu unazo taarifa zozote kuhuzu uwezo wa Israel katika utengezaji wa silaha za neclear na mambo yanayohusu tiba? nako ni tegemezi? kuna mkono wa nchi gani ya nje hapo. marekeni? unahitaji kiwanda kikubwa kiasi gani chini ya ardhi kutengeza nuclear war head?
 
Kwa hiyo kumbe hata founding fathers walikuwa Wayahudi eeh? Na baada ya wao kuandika katiba ya Marekani (ambayo kwa kweli ni timeless) ndo Marekani ikaanza kuwa bonge la taifa?

Halafu, hao Wayahudi na hizo akili zao ilikuwaje Hitler akawakaanga namna hiyo hadi wengine wakakimbilia Marekani? Hawakuwa na akili za kumdhibiti au....?


naona hitler aliwalia tu timingi...kila binadamu ana flaw mkuu; hata akiwa na akili kiasi gani.
 
Back
Top Bottom