sababu zinaweza kuwa nyingi. kazi maalum sawa, lakini mojawapo inaweza kuwa kuiba teknolojia ya ndege. iran inahitaji technical know how ya west ambayo pengine inakosekana. na ndege za kisasa zina vikorombwezo vingi sana ambavyo pamoja na kujtumika uraiani vinaweza kugeuzwa malengo vikawa vya kijeshi.
katika kichwa cha wairan kinachowaziwa ni ugomvi, vita na kumwaga damu za watu 24/7. hii ndege inaweza kuchukuliwa kwa ajili ya kubomoa vifaa fulani vya kisasa vitengezwe copy kuvitumia kivita.
Wachina waliwahi kuiba teknolojia ya Ndege za kivita kutoka Marekani kwa njia kama hiyo huko nyuma, ingawa haikuwa kwa njia ya utekaji. Kama nakumbuka vizuri walipitia katika mojawapo ya nchi za kiarabu kujifanya inanunua hiyo Fighter aircraft kutoka marekani. Ilipotua tu hapo Arabuni--nadhani ilikuwa Yemen, siku hiyohiyo iliondoloewa na kupelekwa China ikabomolewa fastafasta yote na kusomwa. Wakaanza kutengeza copies.