dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 24,809
- 61,681
si mlikuwa mnanadi hivyo ? mnakana sa ivi ? Fattahs zaidi ya 1000 ziko njiani, zinatumwa kwa mafunguKwamba inaweza zuia makombora 100?
WAache wauane hao n nduguTuone itakuaje
Aise Iran ni mbabe sana tuache masihara.Namuaminia Iran ila vyombo viko njiani mda mrefu sana kila nikiangalia updates sioni vimefika afu vinapiga kelele balaa, binafsi nataka israel apigwe achakae
Ila nasikia vikikaribia kufika anaamsha yale madude ya dk 6 to Israel, wakipambana na drones vyuma vinatua
hahaha videos umeziona lakini ?Tayari. Lakini vinanaswa
Wavinase tu, vikipita vyuma vitatu vinatosha. Nchi yenyewe kama kiganja cha mkono wa King Kong!Tayari. Lakini vinanaswa
Vitu vinatua sio mchezo afu Israel wanasema wa Iran wanatuambia hio ni mwanzo tu bado hawajaona kituAise kwakweli Israel na mabwana zake wana haki ya kuhaha kumhofia Iran maana hakuna mfumo wa anga wa Israel uliofanikiwa kuzuia mzigo kutua.
Sio Iron dome, THAAD wala Arrows 3 iliyoweza kuzuia.
Naona safari hii Iran anakung'uta hadi miundombinu ya kiraia hachahui pakupiga mamaee.
waagize THAAD nyingine kabla hakujawa majivuVitu vinatua sio mchezo afu Israel wanasema wa Iran wanatuambia hio ni mwanzo tu bado hawajaona kitu
Alichofanywa kamanda wenu jana alikuwa chooni anakunya kachapwa liveWakae tu huko kwenye MABANKA, kukikucha watafanya kazi ya kufukua vifusi ili watoke!!!
Huyo nafasi yake imeshazibwa mapema sana!Alichofanywa kamanda wenu jana alikuwa chooni anakunya kachapwa live
Hakuna kupiga usiku kama mwizi