Iran Army gains capability to intercept, redirect enemy missiles: Cmdr.

Mkuu kwani ni taifa gani la kwanza kufanikisha uhudwaji wa ICBM, taifa gani la kwanza duniani kurusha artificial satellite kwenda kwenye outer space, taifa gani la kwanza kumpeleka binadamu katika outer space, taifa gani la kwanza lilifanikisha kupeleka chombo cha kuzunguka mwezi na kupiga picha kwa mara ya kwanza upande wa pili wa mwezi ambao auonekani ukiwa duniani, ni taifa gani lililo wahi kutengeneza kwa mara ya kwanza Nuclear Reactor kwa ajili ya kuzalishia umeme, taifa gani la kwanza duniani lililofanikisha kutengeneza a Thermonuclear bomb yenye payload ya ku-yield an equivalent ya 50MT za TNT (actually walitaka iwe 100MT lakini Dr. Adrei Shakhalov akawakatalia kwa kusema madhala yake kwenye aridhi, vyanzio vya maji na mvua itakayo nyesha ikiwa na nuclear fallout yatakuwa makubwa sana kwa binadamu).

Edward Teller (USA) ambaye ndiye alikuwa baba wa Hydrogen Bomb (Thermonuclear) alishangazwa sana na wana sayansi wa Kirusi walivyo weza kufanikisha kulipua bomb lenye magnitude kiasi hicho, mpaka leo hii hakuna taifa lolote duniani limefanikiwa kutengeneza bomb moja lenye nguvu kuzidi Czar la-Bomba, mark you that was in 1960s.

Tukirudi tena kuzungumzia ICBM, ni taifa gani lililo hunda kwa mara ya kwanza an ICBM yeye uwezo wa kubeba multiple nuclear warheads ambazo zina uwezo wa kulipua independently targets zote ambazo zilikuwa pre-programmed zifanye kazi baada ya missile ku-re-enter atmosphere ikitokea anga za juu! Mkuu ninacho taka kuonyesha hapa ni kwamba sikweli kwamba URUSI ina lag behind USA katika nyanja za ICBMs (Wa Merikani ni bingwa sana katika propaganda na kutunga stori-kumbuka WMD za Iraq - Cheney na Rumsfield walimtia aibu sana Coln Collins Powel kwa kutunga hadithi za kufikilika kuhusu WMD).

Wanasayansi wengi duniani ambao hawana itikadi ya ku-support blindly Taifa lolote wanajuwa umahili wa Warusi katika uhundaji wa ICBMs, actually Merikani wali-copy mambo mengi kutoka kwa Warusi kuhusu fani hii, vile vile Mjerumani Dr. Wener Von Braun naye ali-play a major role katika hili ingawa yeye alikuwa yuko interested na mambo ya safari za kwenda mwezini kuliko kutengeneza zana za kivita.

Nimalizie kwa kuzungumzia IRANI, nashangaa kuona watu wanamponda commander wa Iran Mr. Khatam al-Anbiya. Jeshi la anga la IRAN siyo nyoronyoro kama dunia inavyo wafikilia, kuna wasomi wengi kule wenye uwezo kiufundi na kuandika programmes za kuogozea zana za kivita na kulinda anga ya nchi yao, tusifikili Wairan hawajui vema high level language inayotumika kuongozea Drones, Cruise Missiles na Ballistic Missiles - wasomi wa nyanja za control wanajua high level language inayotumiwa na Wamerikani/Uingereza katika kuongoza zana zao za kivita inajulikana kama ADA, kama mswahili anaweza kufundishwa kwenye vyuo vikuu vya Merikani au Uingereza jinsi ya ku-programme kwa kutumia ADA, je Wairan si ndiyo balaa kabisa. Msione Wamerikani wame-put up a brave face, lakini kufanikiwa kwa jeshi la anga la IRAN ku-intercept DRONE ya Kimerikani kwa kutumia mbinu za kui-deflect kutoka kwenye flight path yake na kuiongoza ikatua salama (intact) imewashtua sana Wamerikani, kama siyo kupigwa picha wangekataa kabisa au wengesema ilitua kwa tatizo la kiufundi, hiyo si kweli. Ni Wairan hawa hawa wali wahi kuwapatia wapiganaji wa mgambo nchini Iraq very sophisticated silaha , wakazitumia kwa mafanikio makubwa kulipuwa magari ya deraya na vifaru vya Merikani vilivyo kuwa vimetengenezwa mahususi kuhimili milipuko ya aina zote lakini kwa silaha za Iran wagari ya deraya na vifaru avikufua dafu - viliteketezwa! Merikani ili lalamikia sana Iran kuhusu tukio hilo.
MKUU-kama nani wa kwanza kugundua ICBM ni UJERUMANI(the third reich)kipind cha operation america-then baadaya hapo kila nchi ikawa na project zake tofauti za kutengeneza ICBM(HUKU WAKIFWATA TECHOLOGY YA MJERUMAN-COZ WALE WALIOKUWA UNDER HITLER WENGI WALIENDA USA)-ila USSR ndo wakwanza kwenye kulaunch successful ICBM.
Kwenye space race waliongoza USSR kuanzia kwenye kulauch,kutuma mbwa,mtu na mambo mengine-Ila USA walikuja baadae vyema wakawapita USSR-hadi USSR akajitoa kwenye hio ligi
Kwenye swala la MIRV USA ndo waliogundua hili na wapo mbele-
KAMA ILE DRONE WALIYOSHIKA IRAN ILIKUWA INTACT-KWA NINI WALIIZIBA KWA CHINI-
PILI NCHI NYINGI ZA KIARAB ZINAWEZA SANA KUZUNGUMZA KULIKO KU-ACT-HIO TECHNOLOGY HAWANA-KAMA WANAYO WANGESHA AGGRESS WABAYA WAO ILI NAO WAMJIBU THEN YEYE AJICHUKULIE USHINDI KIULAINI
 
MKUU-kama nani wa kwanza kugundua ICBM ni UJERUMANI(the third reich)kipind cha operation america-then baadaya hapo kila nchi ikawa na project zake tofauti za kutengeneza ICBM(HUKU WAKIFWATA TECHOLOGY YA MJERUMAN-COZ WALE WALIOKUWA UNDER HITLER WENGI WALIENDA USA)-ila USSR ndo wakwanza kwenye kulaunch successful ICBM.
Kwenye space race waliongoza USSR kuanzia kwenye kulauch,kutuma mbwa,mtu na mambo mengine-Ila USA walikuja baadae vyema wakawapita USSR-hadi USSR akajitoa kwenye hio ligi
Kwenye swala la MIRV USA ndo waliogundua hili na wapo mbele-
KAMA ILE DRONE WALIYOSHIKA IRAN ILIKUWA INTACT-KWA NINI WALIIZIBA KWA CHINI-
PILI NCHI NYINGI ZA KIARAB ZINAWEZA SANA KUZUNGUMZA KULIKO KU-ACT-HIO TECHNOLOGY HAWANA-KAMA WANAYO WANGESHA AGGRESS WABAYA WAO ILI NAO WAMJIBU THEN YEYE AJICHUKULIE USHINDI KIULAINI

Mkuu wa Rusi ni noma kwa Ma ICBM
77b72_russianicbm.jpg


2480176606_92a46a10cb_o.jpg

v01_18914699.jpg
 
mzigo kama huo usikutishe-tunaangalia payload-kama ni single war head hakuna kitu hapo


Type
Intercontinental ballistic missile
Place of origin
RUSSIA
Service history
In service
1990 - Present
Used by
Russian Strategic Rocket Forces
Production history
Manufacturer
Yuzhny Machine-Building Plant
Specifications
Weight
209,600 kg (462,000 lb)
Length
32.2 m (106 ft)
Diameter
3.05 m (10.0 ft)

Warhead
Three stage fission-fusion-fission, over 20 Mt of TNT
Detonation
mechanism
Airburst

Engine
Two-stage liquid propellant
Operational
range
10,200–16,000 km (depending on R-36M missile variants)
Speed
up to 7.9 km/s
Guidance
system
Inertial, autonomous
Accuracy
220–700 m CEP (depending on R-36M missile variants)
Launch
platform
 
Minuteman3launch.jpg
Type Intercontinental ballistic missile

Place of origin USA Service history In service 1962 (Minuteman I), 1965 (Minuteman II), 1970 (Minuteman III)
Used by
C:%5CUsers%5CWilson%5CAppData%5CLocal%5CTemp%5Cmsohtmlclip1%5C01%5Cclip_image002.gif
United States

Production history
Manufacturer Boeing
Unit cost $7,000,000 Specifications
Weight 78,000 lb (35,300 kg)
Length 59 ft 9.5 in (18.2 m)
Diameter 5 ft 6 in (1.7 m) (1st stage)

Warhead a Nuclear warhead W62, W78, or (2006–) W87
Detonation
mechanism Air Burst


Engine Three solid-propellant rocket motors; first stage – Thiokol TU-122 (M-55); second stage – Aerojet-General SR-19-AJ-1; third stage – Aerojet/Thiokol SR73-AJ/TC-1

Operational range 8,100 (Exact is Classified) miles (13,000 km)

Flight altitude 700 miles (1,120 kilometers) Speed Approximately 15,000 mph (Mach 23, or 24,100 km/h, or 7 km/s) (terminal phase)
Guidance system- Inertial
Accuracy 200 m CEP
Launch platform Missile Silo(MLCC)

minuteman 111.png
Minuteman III MIRV launch sequence: 1. The missile launches out of its silo by firing its first stage boost motor (A). 2. About 60 seconds after launch, the 1st stage drops off and the second stage motor (B) ignites. The missile shroud (E) is ejected. 3. About 120 seconds after launch, the third stage motor (C) ignites and separates from the 2nd stage. 4. About 180 seconds after launch, third stage thrust terminates and the Post-Boost Vehicle (D) separates from the rocket. 5. The Post-Boost Vehicle maneuvers itself and prepares for re-entry vehicle (RV) deployment. 6. While the Post-Boost Vehicle backs away, the RVs, decoys, and chaff are deployed (although the figure shows this happening during descent, this may occur during ascent instead). 7. The RVs and chaff re-enter the atmosphere at high speeds and are armed in flight. 8. The nuclear warheads detonate, either as air bursts or ground bursts.
 
kama bado huamini hutaweza kuamini-

hivi karibuni nilitembelea Sweden na televisheni ya Serikali ilionyesha kipindi kuhusu hiyo safari ya mwezini na kwenye hiyo documentary waliwafanyia interview akina Henry Kissinger nao walithibitisha kuwa hiyo kitu ilikuwa fake na ile filamu waliyoionyesha kuwa walikwenda mwezini ilitengenezwa na kampuni moja ya Uingereza

Waliotengeneza ile filamu walilipwa mapesa mengi lakini mwisho wakaanza kufariki mmoja mmoja katika mazingara ya ajabu. Alibakia myahudi mmoja tu ambaye alikimbilia underworld yeye na familia yake na ndiye alizitoa baadhui ya hizi ripoti

kwenye website ya hiyo tv wameiondosha hiyo video na wameandika kwa kiswedish kuwa haki ya kuonyesha hiyo video imemalizika

[video]http://svtplay.se/t/113446/manlandningen_40_ar[/video]

check hii
 
hivi karibuni nilitembelea sweden na televisheni ya serikali ilionyesha kipindi kuhusu hiyo safari ya mwezini na kwenye hiyo documentary waliwafanyia interview akina henry kissinger nao walithibitisha kuwa hiyo kitu ilikuwa fake na ile filamu waliyoionyesha kuwa walikwenda mwezini ilitengenezwa na kampuni moja ya uingereza

waliotengeneza ile filamu walilipwa mapesa mengi lakini mwisho wakaanza kufariki mmoja mmoja katika mazingara ya ajabu. Alibakia myahudi mmoja tu ambaye alikimbilia underworld yeye na familia yake na ndiye alizitoa baadhui ya hizi ripoti

naitafuta hiyo documentary , apendapo mola nikiipata nitakuwekea
inshalah shehe-nikiipata nitashukuru
btw nataka kukuuliza-ina maana wewe hadi leo hii unaamini hakuna mtu anayeweza kwenda huko mwezini?
 
mzigo kama huo usikutishe-tunaangalia payload-kama ni single war head hakuna kitu hapo

Mkuu mbona unielewi nimezungumzia mambo ya 1960s, kama Warusi waliweza ku-muster a single warhead ya 50MT in 1960s watashindwaje kuwa na a multiple warheads of the same punch each, half a centuary later! - hapa tunatumia a simple logic mkuu. Nyie mnazungumzia a mere 450KT per single warhead.

Alafu niliona mwana JF anasema Wajerumani ndiyo waligundua ICBM! Hiyo siyo kweli mkuu, mbona Warusi walikuwa na Katyusha(Stalin Organ) tofauti zake zilikuwa kwenye fuel yaani: Katyusha ilikuwa inatumai solid fuel na V-2 ya Kijerumani ilikuwa inatumia liquid hydrogen na Oxygen kama rocket fuel yake.

Wajerumani walicho hunda ni Short Range Missile aina ya V-2 rocket (retaliation weapon 2) na ilikuwa ni single stage na sio ICBM, range ya V-2 ilikuwa azidi maili 300 na illikuwa na rudimentary control system ndio maana ilikuwa inaleta madhara makubwa kwa raia wasio na hatia, badala ya ku-target military infrastructure ilikuwa ina anguka tu popote; in fact Wajerumani watumia rocket hizi kuwatisha raia, walijua kabisa haiwezi kuwasaidia kushinda vita vya WW2. Alafu roketi hizi zilikuwa zinarushwa na Wajerumani kutoka pwani pwani ya English Channel na North Sea hili ziweza kufika Uingereza - please remember England na Ujerumani ziko kwenye same Continent.

Nadhani tunachozungumzia humu ni Missile zenye range ya kufikia 3,000Km+ yaani zenye uwezo wa kurushwa kutoka say Continent la Europe kwenda mpaka Merikana and vice versa na hii ndiyo maana halisi ya term ICBM, mara nyingi rocket za aina hii propulsion zake ziko in three stages na kila stage inatumia rocket fuel tofauti.
 
inshalah shehe-nikiipata nitashukuru
btw nataka kukuuliza-ina maana wewe hadi leo hii unaamini hakuna mtu anayeweza kwenda huko mwezini?


Nimejaribu sana kuitafuta dii doc. lakini mpaka sasa sijaiona katika mitandao hata hivyo nitajaribu zaidi .

Kwenye ile video Henry Kissinger wakati ule ni Secratary of State kama sikosei alisema kuwa walishtushwa na hatua ya Mrusi kuweza kufika mwezini kwa wakati ule , ingawa hakupeleka mtu. kwa hivyo ili kuthibitisha kwamba Marekani ina uwezo zaidi ilibidi wafanye njia za haraka wafike huko na wapeleke mtu. lakini ilikuwa inahitaji muda na fedha nyingi. Mwisho wakasuggest ni lazima watengeneze hiyo filamu. na ikawa ni kuitafuta kampuni iliyokuwa nzuri ya kutengeneza filamu feki.

Mimi binafsi miaka yote nilikuwa naamini kuwa Mmarekani alifika huko lakini baada ya kuona hii Doc. nilifahamu kuwa hawa jamaa ni wahuni wa hali ya juu

Mimi naamini binadamu anaweza kufika huko lakini costs ndio kipingamizi
 
Nimejaribu sana kuitafuta dii doc. lakini mpaka sasa sijaiona katika mitandao hata hivyo nitajaribu zaidi .

Kwenye ile video Henry Kissinger wakati ule ni Secratary of State kama sikosei alisema kuwa walishtushwa na hatua ya Mrusi kuweza kufika mwezini kwa wakati ule , ingawa hakupeleka mtu. kwa hivyo ili kuthibitisha kwamba Marekani ina uwezo zaidi ilibidi wafanye njia za haraka wafike huko na wapeleke mtu. lakini ilikuwa inahitaji muda na fedha nyingi. Mwisho wakasuggest ni lazima watengeneze hiyo filamu. na ikawa ni kuitafuta kampuni iliyokuwa nzuri ya kutengeneza filamu feki.

Mimi binafsi miaka yote nilikuwa naamini kuwa Mmarekani alifika huko lakini baada ya kuona hii Doc. nilifahamu kuwa hawa jamaa ni wahuni wa hali ya juu

Mimi naamini binadamu anaweza kufika huko lakini costs ndio kipingamizi

Mkuu Warusi walituma chombo kilicho kwenda mwezini kikasomba mchanga kidogo na mawe kikajipakia automatically na kurudi tena duniani na MZIGO! Ni mara chache kusikia Warusi wanajisifia au kuwa na majigambo, hawasambazi magazeti diniani yenye stori za kutunga tu na kufikilika. Wanajua matendo yao ndio yana-count.
 
Nimejaribu sana kuitafuta dii doc. lakini mpaka sasa sijaiona katika mitandao hata hivyo nitajaribu zaidi .

Kwenye ile video Henry Kissinger wakati ule ni Secratary of State kama sikosei alisema kuwa walishtushwa na hatua ya Mrusi kuweza kufika mwezini kwa wakati ule , ingawa hakupeleka mtu. kwa hivyo ili kuthibitisha kwamba Marekani ina uwezo zaidi ilibidi wafanye njia za haraka wafike huko na wapeleke mtu. lakini ilikuwa inahitaji muda na fedha nyingi. Mwisho wakasuggest ni lazima watengeneze hiyo filamu. na ikawa ni kuitafuta kampuni iliyokuwa nzuri ya kutengeneza filamu feki.

Mimi binafsi miaka yote nilikuwa naamini kuwa Mmarekani alifika huko lakini baada ya kuona hii Doc. nilifahamu kuwa hawa jamaa ni wahuni wa hali ya juu

Mimi naamini binadamu anaweza kufika huko lakini costs ndio kipingamizi

Kwa sasa nadhan kwenda mwezini si ajabu tena kama wameweza tuma vyombo mpaka mars zaidi ya vitatu kwa sasa si ajabu.
Wakati huo walidanganya lakini later waliweza na ndo maana ubishi unabaki kuwa wakati ule sio later maana later na kwa sasa hivi si jambo la ajabu sana binadamu kwenda mwezini
Kwakuwa inaonesha kuna mission 3
Ya 1969 ambayo ndiyo hiyo ambayo ni fake
ya 1972 tena mara mbili hii sijaskia sehemu yoyte wakidai ni fake na
1973 walizunguka mwezi baada ya appolo 13 kupata hitilafu ambayo kidogo isababishe vifo vyao wanahanga
 
mkuu warusi walituma chombo kilicho kwenda mwezini kikasomba mchanga kidogo na mawe kikajipakia automatically na kurudi tena duniani na mzigo! Ni mara chache kusikia warusi wanajisifia au kuwa na majigambo, hawasambazi magazeti diniani yenye stori za kutunga tu na kufikilika. Wanajua matendo yao ndio yana-count.

unajua west ni biashara , magazeti, ma-tv bila news hata za uongo, NA NDIO UKAONA HAYO MAJISIFU NA MAJIGAMBO MENGI hawawezi kuishi imekuwa ni life na watu wao wameshazoea kudanganywa
 
Ebu acheni kupambazwa na waarab jamani, wao ni watu wa huu yaani mdomo sana.
Ndo hivi Sadam alisema sana, akaja Osama akseama sana, akafatia Ghadaffi akapiga huu sanaaaaa........!

Jamaa hawa ni watu wa Qur'an zaidi na si technolojia kivileee ingawaje sipingi kuwa irani hawana kitu.
Play with FBI but not with CIA
 
Nimejaribu sana kuitafuta dii doc. lakini mpaka sasa sijaiona katika mitandao hata hivyo nitajaribu zaidi .

Kwenye ile video Henry Kissinger wakati ule ni Secratary of State kama sikosei alisema kuwa walishtushwa na hatua ya Mrusi kuweza kufika mwezini kwa wakati ule , ingawa hakupeleka mtu. kwa hivyo ili kuthibitisha kwamba Marekani ina uwezo zaidi ilibidi wafanye njia za haraka wafike huko na wapeleke mtu. lakini ilikuwa inahitaji muda na fedha nyingi. Mwisho wakasuggest ni lazima watengeneze hiyo filamu. na ikawa ni kuitafuta kampuni iliyokuwa nzuri ya kutengeneza filamu feki.

Mimi binafsi miaka yote nilikuwa naamini kuwa Mmarekani alifika huko lakini baada ya kuona hii Doc. nilifahamu kuwa hawa jamaa ni wahuni wa hali ya juu

Mimi naamini binadamu anaweza kufika huko lakini costs ndio kipingamizi
BASI NIKUTAARIFI TU KUWA WALIFIKA NA BADO ANAENDA HUKO-SWALA LA COST US WANAWEZA KULIMUDU-LIKIWAZIDI HUWA WANAPUNGUZA BAADHI YA PROJECTS
KWENYE SPACE RACE NA ICBM USA WALISHTUKIA TU WENZAO WAMEFANYA-RAIS WAO NA KILA KIONGOZI WA USA ALIKUBALI KUWA USSR WAMEWAZID-HATA IKAFIKIA WAKATI RICHARD NIXON(VP)ALIJISIFIA KWA Khrushchev KUWA THOUGH WAMEWAPITA KWA MAROKET-ILA HAWANA COLOUR TV-SO ILIBID WAINGIE KWENYE RACE ILI KUWEZA KWENDA NAO SAWA.YAAN MAMBO NI MENGI-KAMA HUTAONA TABU DOWNLOAD HII MAMBO HAPA-MIMI NINAYO-ITAKUPA INSIGHT NZURI-MAANA HAYA MAMBO YALIKUWA JUU SANA KIPINDI CHA COLD WAR COLD WAR [documentary] (download torrent) - TPB



Wewe unajua humo kuna nini?
SIJAJUA KAMA KUNA WAR HEADS NGAPI-KAMA UNAJUA WEKA DATA HAPA

Mkuu Warusi walituma chombo kilicho kwenda mwezini kikasomba mchanga kidogo na mawe kikajipakia automatically na kurudi tena duniani na MZIGO! Ni mara chache kusikia Warusi wanajisifia au kuwa na majigambo, hawasambazi magazeti diniani yenye stori za kutunga tu na kufikilika. Wanajua matendo yao ndio yana-count.
WARUS WANAJISIFIA-SEMA KWA SASA KWA MEDIA NA MAMBO MENGINE-ZA WEST ZIME-ENGULF HIZO NYINGINE-JARIBU KUWA UNAANGALIA VIPINDI VYA RT UTAONA KAMA HAWAJISIFII
 
50 Years after John Glenn's flight, US needs new space ride [h=2]US now depends on Russia to transport American astronauts to and from low-Earth orbit

Fifty years after it first launched an astronaut on a trip around the Earth, NASA finds itself in need of a new generation of spaceships.[/h]On Feb. 20, 1962, John Glenn made the United States' first orbital spaceflight, zipping around our planet three times in his Friendship 7 capsule before splashing down safely in the Atlantic Ocean. The mission put the nation on even footing with the Soviet Union, which had first pulled off the feat in April 1961.
As it celebrates the 50th anniversary of Glenn's historic flight, which helped propel NASA toward unprecedented accomplishments in human spaceflight, the agency lacks the ability to replicate his achievement.

Since NASA's space shuttle fleet retired in July 2011, the U.S. now depends on Russia - its former space race rival - to transport American astronauts to and from low-Earth orbit. It's an irony that is not lost on Glenn.
"Now we have to contract with the Russians, unseemly though it may be for the world's greatest spacefaring nation," Glenn said Friday (Feb. 17) during a NASA event commemorating his flight. "I think it's too bad." [ Photos: John Glenn's Historic Flight ]
Glenn's flight and that of Scott Carpenter, who launched on his own orbital mission in May 1962, brought NASA key momentum after several years of Soviet space dominance.
The Soviets had launched the world's first artificial satellite, Sputnik 1, in 1957. Then came cosmonaut Yuri Gagarin's successful orbital mission on April 12, 1961.
 
50 Years after John Glenn's flight, US needs new space ride US now depends on Russia to transport American astronauts to and from low-Earth orbit

Fifty years after it first launched an astronaut on a trip around the Earth, NASA finds itself in need of a new generation of spaceships.


On Feb. 20, 1962, John Glenn made the United States' first orbital spaceflight, zipping around our planet three times in his Friendship 7 capsule before splashing down safely in the Atlantic Ocean. The mission put the nation on even footing with the Soviet Union, which had first pulled off the feat in April 1961.
As it celebrates the 50th anniversary of Glenn's historic flight, which helped propel NASA toward unprecedented accomplishments in human spaceflight, the agency lacks the ability to replicate his achievement.

Since NASA's space shuttle fleet retired in July 2011, the U.S. now depends on Russia - its former space race rival - to transport American astronauts to and from low-Earth orbit. It's an irony that is not lost on Glenn.
"Now we have to contract with the Russians, unseemly though it may be for the world's greatest spacefaring nation," Glenn said Friday (Feb. 17) during a NASA event commemorating his flight. "I think it's too bad." [ Photos: John Glenn's Historic Flight ]
Glenn's flight and that of Scott Carpenter, who launched on his own orbital mission in May 1962, brought NASA key momentum after several years of Soviet space dominance.
The Soviets had launched the world's first artificial satellite, Sputnik 1, in 1957. Then came cosmonaut Yuri Gagarin's successful orbital mission on April 12, 1961.

NAZANI HUJAJUA SABABU KWA NINI IMEKUWA HIVI-SOMA HAPA UPATE KUFAHAMU


Obama Scrubs NASA's Manned Moon Missions


If U.S. astronauts land on the moon again before 2020, it won't be aboard a NASA spacecraft.
The space agency's 2011 budget, released today, reveals plans to scrap the Constellation program, including the rockets and spacecraft that NASA has been developing over the past four years to replace its aging space shuttle fleet.


Constellation's demise would mean that NASA will have no plans for manned space flight beyond the final shuttle launch in fall 2010. Instead the U.S. will have to rely on other governments, such as existing Russian craft, to ferry people to the International Space Station.

The news has actually been expected since last September, when an independent panel known as the Augustine Committee determined that Constellation would require large budget increases to land even a handful of astronauts back on the moon before 2020.
U.S. President Barack Obama's decision to scrap the program is based on Constellation being "over budget, behind schedule, and lacking in innovation due to a failure to invest in critical new technologies," according to a statement posted on the White House Office of Management and Budget Web site.

No Moon Mission, But More Money for NASA
When former U.S. President George W. Bush announced the Constellation program in 2005, the plan included designs for a new launch vehicle and crew capsule, a new moon rover, and eventual construction of a moon base at one of the lunar poles. (See pictures of the planned Constellation spacecraft.)

MORE INFORMATION HAPA-Obama Scrubs NASA's Manned Moon Missions


After Space Shuttle, Does U.S. Have a Future in Space?

NASA to rely on Russians and businesses to ferry astronauts.

Friday's launch of the space shuttle Atlantis (pictures) marksthe end of the 30-year shuttle program, and NASA is under increasing pressure to unveil the next innovation in U.S. spaceflight.
(Video: Watch the final space shuttle launch [2:33].)

But with the collapse of the Constellation program to put humans back on the moon, the U.S. is on the brink of a "space gap"-perhaps five years during which the nation will have no craft of its own capable of sending humans into space. (See "Obama Scrubs Manned Moon Missions.")

During this gap, U.S. astronauts will be able to reach the International Space Station (ISS) only by buying seats on Russian Soyuz spacecraft at U.S. $51 to $63 million each, round trip.

HABARI ZAID HAPA After Space Shuttle, Does U.S. Have a Future in Space?
 
Back
Top Bottom