AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Shelui hapa tuna maji safi na salama tangia mwaka 1948, tunalima Alizeti, tunakula wali wetu watoto dwanasoma basi ndio maisha haya kwani wewe mwenye billion 2 hongera zako!
Cha mtu Sumu heri Mia Moja uliyoipata kwa halali kuliko billion 2 za maneno kwahiyo tunaridhika na tulichonacho!
Kwa uelewa wangu hakuna mnyiramba mwenye mawazo mabovu kama wewe, uwe mbwaneeeee.