Kinambeu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 906
- 454
Chama cha Mapinduzi wilaya za Iramba na Igunga zimepata Viti vya awali kabla ya uchaguzi wenyewe tarehe 14 December na kufanya zaidi ya 50% ya vitongoji na vijiji kupita bila kupingwa!
Kwa Iramba jumla ya vitongoji 256 Kati ya vitongoji 392 tayari CCM imeshatangaza ushindi na vijiji 26 Kati ya vijiji 70 tayari kazi imekwisha! Igunga jumla ya vitongoji 426 Kati ya 628 tayari CCM imeshatangaza ushindi!
Kwa Hali hii inafanya katika wilaya hizi kazi kuwa rahisi sana na kufanya mbunge wa Iramba Mh Mwigulu kuwa na Hali nzuri Mara dufu kisiasa kuliko watu wanavyofikiria!
Hongera CCM hongereni Iramba na Igunga.
Kwa Iramba jumla ya vitongoji 256 Kati ya vitongoji 392 tayari CCM imeshatangaza ushindi na vijiji 26 Kati ya vijiji 70 tayari kazi imekwisha! Igunga jumla ya vitongoji 426 Kati ya 628 tayari CCM imeshatangaza ushindi!
Kwa Hali hii inafanya katika wilaya hizi kazi kuwa rahisi sana na kufanya mbunge wa Iramba Mh Mwigulu kuwa na Hali nzuri Mara dufu kisiasa kuliko watu wanavyofikiria!
Hongera CCM hongereni Iramba na Igunga.