MIMI SIJASOMESHWA NIMEJISOMEA SOMEA HAPA NA PALE KWAAJILI YAKU ONDOA KIÙ CHA KNOWLEDGE!!Mkuu, vp! Duh hiyo shule uliyosoma noma sana.
10 + 3x2 =26 Magazijuto
Njia ndeeefu...lakin jibu lake sasaObviously its 20
View attachment 692166
Yes..closed!Jibu ni 30. Thread closed
Asante aise nimeona, mwanzoni sikuikuza picha, duh!10+(3x2) =16
Hiyo 5 ya binadamu ilijumlisha na filimbi ambayo hapo mwishoni haipo shingoni.
Nafikiri kosa langu ni hapo chini kuzidisha mkuu.ambapo itakuwa 16.Bado umekosa. Kuna filimbi moja ya chini haipo pair. Pia kuna mtu mmoja hajavaa filimbi. Ukizingatia hayo utapata.
Urefu ni ili ku-elaborate mtiririko. Jibu ndio hilo, suala la kusema mtu hajavaa filimbi shingoni wakati hujui kama hajavaa pair ya rubber za viatu ni upunguani.Njia ndeeefu...lakin jibu lake sasa
Ivo ni vitu vinavyoonekana.. na unaviconsiderUrefu ni ili ku-elaborate mtiririko. Jibu ndio hilo, suala la kusema mtu hajavaa filimbi shingoni wakati hujui kama hajavaa pair ya rubber za viatu ni upunguani.
Sheria ya magazijuto inafuata hivi vituMIMI SIJASOMESHWA NIMEJISOMEA SOMEA HAPA NA PALE KWAAJILI YAKU ONDOA KIÙ CHA KNOWLEDGE!!
13X2= 26 13X1=13
Kwani huyo refa haonekani? Ushawahi kuona refa anachezesha mechi peku? Elewa hili ni swali la hisabati na si la kupima magonjwa ya macho kwa kuweka kafilimbi kadogo shingoni ili watu wasione ilihali filimbi zingine ni kubwa na zinaonekana. Nikikwambia hiyo aliyovaa shingoni ni tai na sio filimbi utabisha?Ivo ni vitu vinavyoonekana.. na unaviconsider