IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

3. Sethi alitumia fedha za Escrow ambazo ni za umma kufanya malipo ya asilimia 90 ya manunuzi yote ya IPTL (rejea barua ya Rugemalila ya Desemba 5, 2013).

hiyo hapo juu ni hoja ya kafulila kwenye press release yake,sasa kama fedha za escrow ni zao wabia waliokuwa wanagombana juu ya mgawanyo wa fedha za iptl,kama mbia mmoja akaamua kutumia mgao wa fedha zao walizokuwa wanatunziwa na BOT ili kumnunua mwenzake,ni upumbavu wao wenyewe maana fedha ni mali yao na kuhusu matumizi ya fedha zao haituhusu hata kidogo,kama wametapeliana ni wao wenyewe kafulila asilazimishe watanzania kujadili mambo binafsi ya kampuni binafsi
 


3. Sethi alitumia fedha za Escrow ambazo ni za umma kufanya malipo ya asilimia 90 ya manunuzi yote ya IPTL (rejea barua ya Rugemalila ya Desemba 5, 2013).

Tarehe 19 Agosti, 2013, RITA aliwakutanisha VIP na kampuni ya Pan Africa Power Solutions (T) Limited (PAP) kuzungumzia uwezekano wa VIP kuuza hisa na haki zake katika IPTL kwa PAP. Kufuatia kikao hicho, VIP ilikubali kuuza hisa zake kwa PAP kwa thamani ya dola za Marekani milioni 75. Baada ya makubaliano hayo, iliwasilisha makubaliano hayo katika Mahakama Kuu ikiiomba Mahakama hiyo iridhie kufutwa kwa shauri lake ililolifungua Mahakamani kupitia Misc. Civil Application No. 49/2002 & Misc. Civil Application No. 254/2003
 
CHANCES are that the Government of Tanzania will have to part with hundreds of billions of shillings in favour of the Standard Chartered Bank of Hong Hong (SCB-HK) following a judgment and demand note delivered by the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID), a world renowned tribunal based in the US capital of Washington, DC!

While the formal debtor in the case is the state power monopoly TanESCo (Tanzania Electric Supply Co. Ltd), the matter has all along been handled by top organs of the central government, namely the Ministry of Energy & Minerals, the Ministry of Finance, the Bank of Tanzania (BoT) and the Attorney-General's Chambers.

As it happens, all of these institutions were involved in one way or another in sanctioning the transfer of funds held in escrow at BoT – the central bank and banker to the Government – in respect of a highly controversial power purchase deal involving the now liquidated Independent Power Tanzania Ltd (IPTL).

The funds, amounting to US$122m (roughly Tsh201bn), were transfered to the account of another power firm, Pan-Africa Power Solutions (PAP), which purchased IPTL following the latter's liquidation!



[h=3]IPTL YANG'AA,MAHAKAMA KUU YAAMURU ISIBUGHUZIWE[/h]




MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya ufuaji umeme ya Harbinder Singh Sethi iliyopo Tegeta, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi ya msingi.
Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions Limited (PAP) zilifungua kesi kwa kuhoji uhalali wa maamuzi ya Kituo cha Kimataifa cha Kutatua Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) dhidi ya Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCB-HK) na Martha Renju (anayedaiwa kuwa msimamizi wa mali zake), iliyotolewa katika kesi ya ICSD namba ARB / 10/20.
Katika hukumu hiyo iliyoandikwa na Jaji Dk. Fauz Twaib na kusomwa kwa niaba yake na Jaji Amri Msumi Hamisi, Jaji Twaib aliamuru Tanesco kutofanya biashara yoyote na SCB-HK au Martha Renju kwa niaba ya IPTL / PAP bila ya idhini ya kimaandishi kutoka IPTL / PAP.
“Wadaiwa kwa pamoja wanazuiliwa kufanya utekelezaji wa maamuzi iliyotolewa katika chombo cha kimataifa ya ICSD yenye namba ARB / 10/20 na kusambazwa kwa wahusika Februari 12, 2014, kwa namna yoyote ile, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya mdai, ” ilisomeka sehemu ya hukumu hiyo.
Tanesco pia imezuiwa kutolipa kwa SCB-HK na Martha Renju malipo yoyote wanayostahili IPTL / PAP bila ya idhini ya maandishi kutoka kwa IPTL / PAP.
Mahakama pia imeizuia Tanesco kutotekeleza au kukubaliana na au kuyatekeleza maamuzi ya ICSID, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi.
Pia mahakama hiyo ilitupilia mbali hoja ya mwanasheria wa SCB-HK, Charles Morrison, ambaye alisema Mahakama Kuu ya Tanzania haipaswi kusikiliza na kutoa maamuzi juu ya ombi hilo sababu Tanzania ni mwanachama wa ICSID ambayo pia inajulikana kama Washington Convention au ICSID .
Kwa mujibu wa Jaji Twaib, Wakili Morrison alionya kuwa kama Tanzania haitotii wajibu huo, itajiweka sehemu mbaya katika nyanja ya kimataifa.
SOURCE:TANZANIA DAIMA 02,OCTOBER,2014

http://habarihuru.blogspot.com/2014/10/iptl-yangaamahakama-kuu-yaamuru.html

iptl yaibuka kidedea.JPG
 
CHANCES are that the Government of Tanzania will have to part with hundreds of billions of shillings in favour of the Standard Chartered Bank of Hong Hong (SCB-HK) following a judgment and demand note delivered by the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID), a world renowned tribunal based in the US capital of Washington, DC!

While the formal debtor in the case is the state power monopoly TanESCo (Tanzania Electric Supply Co. Ltd), the matter has all along been handled by top organs of the central government, namely the Ministry of Energy & Minerals, the Ministry of Finance, the Bank of Tanzania (BoT) and the Attorney-General's Chambers.

As it happens, all of these institutions were involved in one way or another in sanctioning the transfer of funds held in escrow at BoT – the central bank and banker to the Government – in respect of a highly controversial power purchase deal involving the now liquidated Independent Power Tanzania Ltd (IPTL).

The funds, amounting to US$122m (roughly Tsh201bn), were transfered to the account of another power firm, Pan-Africa Power Solutions (PAP), which purchased IPTL following the latter's liquidation!


Achaa kupotosha umma wewe
 
2.5 Maamuzi ya Mahakama Kuhusu Ufilisi Kutokana na makubaliano kati ya VIP na PAP chini ya usuluhishi wa Mfilisi, VIP aliwasilisha makubaliano katika Mahakama Kuu na kusajiliwa tarehe 19 Agosti, 2013. Tarehe 5 Septemba, 2013, Mahakama Kuu ya Tanzania (Utamwa, J) ilitoa uamuzi kuhusiana na ombi la VIP lililokuwa limewasilishwa katika mahakama hiyo mwaka 2010 ikiomba IPTL kufilisiwa. Mahakama ilikubaliana na maombi yote ya VIP na kuelekeza Nanukuu: "That VIP has sold all of its shares in IPTL to PAP and the former conveys to the latter its 30 percent shares and rights, title and interest in IPTL, and any other interest connected to the shares including monies or part thereof, which VIP is entitled in the Tegeta ESCROW Account (the Escrow Account) kept with the BOT"
 
Achaa kupotosha umma wewe

2.5 Maamuzi ya Mahakama Kuhusu Ufilisi Kutokana na makubaliano kati ya VIP na PAP chini ya usuluhishi wa Mfilisi, VIP aliwasilisha makubaliano katika Mahakama Kuu na kusajiliwa tarehe 19 Agosti, 2013. Tarehe 5 Septemba, 2013, Mahakama Kuu ya Tanzania (Utamwa, J) ilitoa uamuzi kuhusiana na ombi la VIP lililokuwa limewasilishwa katika mahakama hiyo mwaka 2010 ikiomba IPTL kufilisiwa. Mahakama ilikubaliana na maombi yote ya VIP na kuelekeza Nanukuu: "That VIP has sold all of its shares in IPTL to PAP and the former conveys to the latter its 30 percent shares and rights, title and interest in IPTL, and any other interest connected to the shares including monies or part thereof, which VIP is entitled in the Tegeta ESCROW Account (the Escrow Account) kept with the BOT".
 
CHANCES are that the Government of Tanzania will have to part with hundreds of billions of shillings in favour of the Standard Chartered Bank of Hong Hong (SCB-HK) following a judgment and demand note delivered by the International Centre for Settlement of Investment Disputes (ICSID), a world renowned tribunal based in the US capital of Washington, DC!

While the formal debtor in the case is the state power monopoly TanESCo (Tanzania Electric Supply Co. Ltd), the matter has all along been handled by top organs of the central government, namely the Ministry of Energy & Minerals, the Ministry of Finance, the Bank of Tanzania (BoT) and the Attorney-General's Chambers.

As it happens, all of these institutions were involved in one way or another in sanctioning the transfer of funds held in escrow at BoT – the central bank and banker to the Government – in respect of a highly controversial power purchase deal involving the now liquidated Independent Power Tanzania Ltd (IPTL).

The funds, amounting to US$122m (roughly Tsh201bn), were transfered to the account of another power firm, Pan-Africa Power Solutions (PAP), which purchased IPTL following the latter's liquidation!


2.5 Maamuzi ya Mahakama Kuhusu Ufilisi Kutokana na makubaliano kati ya VIP na PAP chini ya usuluhishi wa Mfilisi, VIP aliwasilisha makubaliano katika Mahakama Kuu na kusajiliwa tarehe 19 Agosti, 2013. Tarehe 5 Septemba, 2013, Mahakama Kuu ya Tanzania (Utamwa, J) ilitoa uamuzi kuhusiana na ombi la VIP lililokuwa limewasilishwa katika mahakama hiyo mwaka 2010 ikiomba IPTL kufilisiwa. Mahakama ilikubaliana na maombi yote ya VIP na kuelekeza Nanukuu: “That VIP has sold all of its shares in IPTL to PAP and the former conveys to the latter its 30 percent shares and rights, title and interest in IPTL, and any other interest connected to the shares including monies or part thereof, which VIP is entitled in the Tegeta ESCROW Account (the Escrow Account) kept with the BOT”
 
[h=3]IPTL YANG'AA,MAHAKAMA KUU YAAMURU ISIBUGHUZIWE[/h]




MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeiamuru Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCBHK) na Shirika la Usambazaji Umeme Tanzania (Tanesco) kuacha kuingilia utulivu, umiliki, usimamizi na utawala wa mitambo ya ufuaji umeme ya Harbinder Singh Sethi iliyopo Tegeta, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi ya msingi.
Kampuni ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Pan African Power Solutions Limited (PAP) zilifungua kesi kwa kuhoji uhalali wa maamuzi ya Kituo cha Kimataifa cha Kutatua Migogoro ya Uwekezaji (ICSID) dhidi ya Benki ya Standard Chartered ya Hong Kong (SCB-HK) na Martha Renju (anayedaiwa kuwa msimamizi wa mali zake), iliyotolewa katika kesi ya ICSD namba ARB / 10/20.
Katika hukumu hiyo iliyoandikwa na Jaji Dk. Fauz Twaib na kusomwa kwa niaba yake na Jaji Amri Msumi Hamisi, Jaji Twaib aliamuru Tanesco kutofanya biashara yoyote na SCB-HK au Martha Renju kwa niaba ya IPTL / PAP bila ya idhini ya kimaandishi kutoka IPTL / PAP.
“Wadaiwa kwa pamoja wanazuiliwa kufanya utekelezaji wa maamuzi iliyotolewa katika chombo cha kimataifa ya ICSD yenye namba ARB / 10/20 na kusambazwa kwa wahusika Februari 12, 2014, kwa namna yoyote ile, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya mdai, ” ilisomeka sehemu ya hukumu hiyo.
Tanesco pia imezuiwa kutolipa kwa SCB-HK na Martha Renju malipo yoyote wanayostahili IPTL / PAP bila ya idhini ya maandishi kutoka kwa IPTL / PAP.
Mahakama pia imeizuia Tanesco kutotekeleza au kukubaliana na au kuyatekeleza maamuzi ya ICSID, na kusubiri uamuzi wa mwisho wa kesi yao ya msingi.
Pia mahakama hiyo ilitupilia mbali hoja ya mwanasheria wa SCB-HK, Charles Morrison, ambaye alisema Mahakama Kuu ya Tanzania haipaswi kusikiliza na kutoa maamuzi juu ya ombi hilo sababu Tanzania ni mwanachama wa ICSID ambayo pia inajulikana kama Washington Convention au ICSID .
Kwa mujibu wa Jaji Twaib, Wakili Morrison alionya kuwa kama Tanzania haitotii wajibu huo, itajiweka sehemu mbaya katika nyanja ya kimataifa.
SOURCE:TANZANIA DAIMA 02,OCTOBER,2014

http://habarihuru.blogspot.com/2014/10/iptl-yangaamahakama-kuu-yaamuru.html

View attachment 191132

Kafulila pole sana mkuu utaumbuka sana
 
jasho litamtoka kwa lipi haswa...mbona mnafanya siasa cheap
mkuu kwa hapo jasho litamtoka kwakuwa yeye kwa kutumika kwake kwa baadhi ya wafanyabiashara wakubwa ndo kutamtia kasoro maana hii issue ya iptl ni ugomvi wa kibiashara kati ya wafanyabiashara wakubwa asa yeye anaivalia njuga kwa kupeleka kisiasa na kutafuta kiki ktk halakati zake za kisiasa
 
mkuu kwa hapo jasho litamtoka kwakuwa yeye kwa kutumika kwake kwa baadhi ya wafanyabiashara wakubwa ndo kutamtia kasoro maana hii issue ya iptl ni ugomvi wa kibiashara kati ya wafanyabiashara wakubwa asa yeye anaivalia njuga kwa kupeleka kisiasa na kutafuta kiki ktk halakati zake za kisiasa

jasho litamtoka hasa, hatuwezi kuacha mbunge wetu apokee bil.1.3 toka kwa mafisadi ili avuruge nchi yetu tukufu
 
mkuu kwa hapo jasho litamtoka kwakuwa yeye kwa kutumika kwake kwa baadhi ya wafanyabiashara wakubwa ndo kutamtia kasoro maana hii issue ya iptl ni ugomvi wa kibiashara kati ya wafanyabiashara wakubwa asa yeye anaivalia njuga kwa kupeleka kisiasa na kutafuta kiki ktk halakati zake za kisiasa

kweli mkuu anajichafua sana kwa kutumika na watu hawa mafisadi wenye chuki binafsi na wazalendo wa nchi hii kama muhongo na Maswi,waliofunga mirija yao ya ulaji
 
Back
Top Bottom