shadow recruit
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 1,844
- 384
USISUMBUKE NA HAWA WAPO JF kwa kazi maalumu, hawashuguluki na uzi zaidi ya huu wao ni kafulila mwanzo mwisho ,utafikiri ni kafulila pekee aliyeongelea ilo swala wala usipoteze muda wako
Nikweli mkuu kila mtu anainterest zake JF mfano mimi yangu nikumuanika DAVID KAFULILA kwa vile alivyo, anatumika TUMBILI kwa maslahi ya wachache.