kamati ya ufundi
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 416
- 441
Kafulila anazungumziaje tuhuma za yeye kupokea
milioni tisini kutoka kwa wafanyabiashara wakubwa
walioathirika na kitendo cha waziri mpya wa nishati na
madini sospeter muhongo kufunga mirija ya kifisadi
waliyokuwa wanatumia kujinufaisha na kuifilisi nchi
(rostam,mengi,mkono) ili awachafue na kuwakomoa muhongo
na katibu wake maswi?
Mahakama Kuu iliamriwa kufunguliwa kwa akaunti
maalumu itakayokuwa inatunza fedha zinazolipwa
na TANESCO kwa ajili ya huduma ya umeme
inayotumia.
Katibu na Mwanasheria wa Kampuni ya IPTL, PAP,
Joseph Makandege alisema hawana kesi na
TANESCO na anashangazwa na taarifa
zinazotolewa.
Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006.