PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 1,059
- 1,133
kweli kabisa mkuu umeongea kitu kizuri sanaHilo ni suala la msingi katika mijadala,majibizano yenye afya ndio mwanzo wa kujua ukweli,tuendelee
kweli kabisa mkuu umeongea kitu kizuri sanaHilo ni suala la msingi katika mijadala,majibizano yenye afya ndio mwanzo wa kujua ukweli,tuendelee
eeeehhhheee !!!!!! kweli mambo magumu kafulila kaamua aje mwenye haya karibuwakuu! mnanikumbuka lkn? naomba hii kazi muiacche Mara moja nitawalipua mmoja baada ya mwingine achaneni na huu upuuzi wa kutetea wezi wa rasilimali zetu ni hayo tu ila kama hamtaacha nitakuja hapa JF kuueleza umma wa watanzania juu ya kutumika kwenu
ahahaaaaa!!!!!!!!!!! wachaaa wewe !!! wewe kumbe unasubiri maandamo wenzako tupo landmark tushaandamanaMuda mfupi nchi na taifa kwa ujumla watawajua mpaka majina yenu kamili na mlipo na mnachopata kwa siku kuwachafua watu kwa maslahi ya singasinga! Na wapambe wake, najua mioyo mlipo inawadunda sana jasho litawatoka na ikiwezekana watanzania kwa Mara ya kwanza tutaandamana nchi nzima kuwasaka popote mlipo ili iwe fundisho kwa vijana wajinga kama nyie kusaliti nchi yao kwa vijisenti vya sambussa
Wewe ni kibarua tu kwenye hili saga naomba tena ufunge kopo lako hilo soon nakuja na Id yangu halisi niwakaange! Siwezi kufumbia macho ujinga kama huu najua unanijua vizuri wala sibahatishi kwenye jambo hili. Soon umma utajua nani mjinga na mwelevu kwa maslahi mapana ya nchi yake
Kafulila siku zote hanaga uvumilivu ndo maana huko nyuma aliwahi kuitwa sisimizi... Yaweza kuwa wanamjua vizuri huyu jamaa, sasa jasho lazima limtoke.Asanteee
Kafulila siku zote hanaga uvumilivu ndo maana huko nyuma aliwahi kuitwa sisimizi mara tumbili.... Yaweza kuwa wanamjua vizuri huyu jamaa, sasa jasho lazima limtoke kwa ujinga wake na tamaa zake.Taarifa zaidi kuhusiana na suala hilo la IPTL, zinasema kwamba kesi hiyo ilishatolewa hukumu yake tangu 2001, ambapo Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa kibiashara ICSID iliagiza IPTL ishushe gharama zake kutoka dola milioni 4.2 hadi dola milioni 2.6 kwa mwezi.
Taarifa zinasema baada ya kumalizika kwa kesi hiyo, ndipo kukazuka mgogoro mwingine wa kimaslahi baina ya waliokuwa wabia wa IPTL, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar ya nchini Malaysia uliopelekea VIP kuomba kampuni ifilisiwe na isilipwe hata thumni na TANESCO.
Kutokana na maombi hayo ya kampuni ya VIP, Mahakama Kuu iliamriwa kufunguliwa kwa akaunti maalumu itakayokuwa inatunza fedha zinazolipwa na TANESCO kwa ajili ya huduma ya umeme inayotumia.
Kwahiyo IPTL/PAP,hawana kesi na TANESCO na wanashangazwa na taarifa zinazotolewa na bahadhi ya wabunge huku wakijua ukweli ulivyo.
wakuu! mnanikumbuka lkn? naomba hii kazi muiacche Mara moja nitawalipua mmoja baada ya mwingine achaneni na huu upuuzi wa kutetea wezi wa rasilimali zetu ni hayo tu ila kama hamtaacha nitakuja hapa JF kuueleza umma wa watanzania juu ya kutumika kwenu
Kafulila amefeli kutofautisha Kampuni ya IPTL iliyotokana na Muungano wa kampuni ya Mechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwa kampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyo kitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwa kuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP na kuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
KAMPUNI ya kufua umeme IPTL/PAP sasa imezidi kufahamika kuwa haina kesi au mgogoro wowote mahakamani baina yake na Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), imefahamika.
Hali hiyo imekuja wakati kukiwepo na habari katika mitandao na baadhi ya vyombo vya habari(isipokuwa gazeti hili) kuwa IPTL/PAP haikustahili kulipwa malipo ya ESCROW kwa kuwa kuna kesi mahakamani.
Taarifa zaidi zinaeleza kesi hiyo inadaiwa imefunguliwa na TANESCO kuhusiana na ukubwa wa gharama za uendeshaji Capacity charge unaofanywa na Kampuni ya IPTL.
Hata hivyo, taarifa zaidi kuhusiana na suala hilo, zinasema kwamba kesi hiyo ilishatolewa hukumu yake tangu 2001, ambapo Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa kibiashara ICSID iliagiza IPTL ishushe gharama zake kutoka dola milioni 4.2 hadi dola milioni 2.6 kwa mwezi.
Taarifa zilisema baada ya kumalizika kwa kesi hiyo, ndipo kukazuka mgogoro mwingine wa kimaslahi baina ya waliokuwa wabia wa IPTL, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar ya nchini Malaysia uliopelekea VIP kuomba kampuni ifilisiwe na isilipwe hata thumni na TANESCO.
Kutokana na maombi hayo ya kampuni ya VIP, Mahakama Kuu iliamriwa kufunguliwa kwa akaunti maalumu itakayokuwa inatunza fedha zinazolipwa na TANESCO kwa ajili ya huduma ya umeme inayotumia.
Katibu na Mwanasheria wa Kampuni ya IPTL, PAP, Joseph Makandege alisema hawana kesi na TANESCO na anashangazwa na taarifa zinazotolewa.
Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,alisema.
Aliongeza; VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa kukemewa,.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na benki ya Standard Chartered ya Hongkong inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar ya Malaysia.
Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu wetu kwa Watanzania na tutapambana mahakamani,alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika la Umma.
CHANZO: Majira
Kafulila amefeli kutofautisha Kampuni ya IPTL iliyotokana na Muungano wa kampuni ya Mechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwa kampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyo kitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwa kuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP na kuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.
Tumia akili kufikiri na si tumbo!
Subiri Kikao cha Bunge utapata majibu kupitia taarifa ya CAG badala ya kubwabwaja na hawa waandishi makangaja wa baadhi ya magazeti ambao kwa mtumbo kwanza kuliko kazi husika ya kutoa taarifa iliyochambuliwa/utafiti.
Kafulila amefeli kutofautisha Kampuni ya IPTL iliyotokana na Muungano wa kampuni ya Mechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwa kampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyo kitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwa kuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP na kuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa
kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na
mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO
iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW
ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,alisema.
Aliongeza; VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa
ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL
kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa
kukemewa,.
Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa
ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na
benki ya Standard Chartered ya Hongkong
inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar
ya Malaysia.
Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP
haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO
watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu
wetu kwa Watanzania na tutapambana
mahakamani,alisema Makandege kwa kujiamini.
Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL
imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa
ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda
waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika
la Umma.
Kafulila amefeli kutofautisha Kampuni ya IPTL iliyotokana na Muungano wa kampuni ya Mechmar (Malaysia) Berhard (70%) na VIP(30%), na kampuni ya PAP/IPTL iliyoundwa baada ya kununuliwa kampuni kwa kampuni hizo hapo juu,hivyo kitendo cha kuzungumzia utendaji kazi wa kampuni ya IPTL(CHINI YA PAP) kwa kuihusisha na kampuni ya IPTL chini ya Mechmar na VIP ni kuionea PAP na kuikosea kampuni hii ya PAP/IPTL.Kampuni ya kufua umeme ya Independet Power Tanzania
Limited (IPTL) na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kama wakala
wa Escrow kuwa yalikuwa ni makubaliano ya kisheria.
Makubaliano hayo yalilenga kumaliza mgogoro wa kimaslahi
baina ya wabia, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar
kutoka nchini Malaysia, ambapo VIP ilikuwa inamlalamikia
mbia mwenzake kuhusu thamani ya hisa zake.
Kweli hatuna haja ya kubishana na mtu asiejielewa nini anachotaka
kwa taarifa yako sijawahi kuweka ushahidi wa raia mwema hapa, tangu lini raia mwema limekuwa gazeti linaloandikwa kwa kiingereza? Na wafadhili kukataa kutoa trilioni moja pamoja na edward hosea kutamka hadharani kwamba wahusika wa mgao wa pesa za wizi wote warudishe pesa mara moja na watapandishwa kizimbani huo nao haukotoshi? Na serikali kuamua kufreeze bank account ya rugemarila kule netherlands yenye $65 million bado tu huridhiki?
mpumbavu ana tabia ya kushupaa na mjinga
ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni mjinga...somo
kubwa sana 2014...prof kabudi.
kweli kabisaHapana kafulila hajafeli kutofautisha kati ya hayo makampuni, anajua fika kila kitu shida ni kuwa ameamua kwa makusudi kuchafua taswira ya IPTL baada ya PAP/IPTL kukataa kumpa fedha aliyoiomba kwao eti ili afunge mdomo,sasa kinachofuata IPTL wameamua sharia itawale wamempeleka mahakamani na watapeleka ushahidi wa jinsi alivyoomba fedha ili anyamaze, na bilioni 300 atawalipa IPTL, ILI LIWE FUNZO KWA WABUNGE WENYE UCHU WA FEDHA ZA HARAKA HARAKA..
sasa kama kafulila alikuwa na uelewa finyu,mbona cag na pccb waliagizwa kufanya uchunguzi ina maana na wao wanauelewa finyu?na aliyewaagiza naye anauelewa finyu au wewe ndiyo mwenye uelewa finyu alafu ninyi watu kama wewe inaelekea mimba yako ilitungwa gesti za tandale au kwenye magari mabovu.
kwani mimba yako wewe ilitungwa kupitia tigo au?
hata hivyo sio mbaya kuweka ushahidi wa raia mwema mkuu, we kama unao weka
Tumia akili kufikiri na si tumbo!
Subiri Kikao cha Bunge utapata majibu kupitia taarifa ya CAG badala ya kubwabwaja na hawa waandishi makangaja wa baadhi ya magazeti ambao kwa mtumbo kwanza kuliko kazi husika ya kutoa taarifa iliyochambuliwa/utafiti.