IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

Mkuu Mani Hizo pesa ni bora tu wasizitoe maana kuna wizi mtakatifu utakaofanywa 2015 mkubwa kuliko hata wa EPA na ESCROW combined ili kufinance kampeni za MACCM na wengine kujichukulia pensheni yao mapema na wale vilaza watatu pale wizara ya fedha wizi huo utafanyika kirahisi sana.
yan wewe mkaka ndoo hapo unaponichanganya mbona utuli kwenye hoja moja !!!!!!!!!!!!
Ona sasa ushaamisha hoja kwenye chaguzi za 2015
 
Mkuu Mani Hizo pesa ni bora tu wasizitoe maana kuna wizi mtakatifu utakaofanywa 2015 mkubwa kuliko hata wa EPA na ESCROW combined ili kufinance kampeni za MACCM na wengine kujichukulia pensheni yao mapema na wale vilaza watatu pale wizara ya fedha wizi huo utafanyika kirahisi sana.
kwani wew mkaka mani unalipwa bei gani maana unanyo paniki mpaka unanitisha
 
Rudi shule ukajiendeleze kielimu ili uelewe kwenye kiswahili hakuna neno "kiraza" wala neno "jazima" badala ya kupoteza muda hapa kutaka kuwapotosha Watanzania.

Asante mkuu kwa ushauri wako kwanza nimefurai ujanitukana maana uchelewi wewe
Labda nikujuze tu kwa faida yako kiraza ni mtu mbulula that is the meaning na sio kama nimekosea
ila mkuu huo ndo ukweli ukubali ukatae
 
Kwi kwi kwi kwi kwi lol!!! Division 5 elimu MULUGO....kuandika ni mgogoro mkubwa maskini!


yan wewe mkaka ndoo hapo unaponichanganya mbona utuli kwenye hoja moja !!!!!!!!!!!!
Ona sasa ushaamisha hoja kwenye chaguzi za 2015
 
Rudi shule ukajiendeleze kielimu ili uelewe kwenye kiswahili hakuna neno "kiraza" wala neno "jazima" badala ya kupoteza muda hapa kutaka kuwapotosha Watanzania.
Kweli wewe mbulula tena kirambati usiyejua ata lugha yako mimi nakuomba uje arusha then ujifunze kichuga
maana hapa utanichosha bure
Ila nimeamini pia wewe ni mbayuwayu wa kwanza tz
Ila kumbaka kwenye kutype kuna typng error sasa unajifanya kama ujawai kukosea vile
Acha ujuha wewe mbulula wa porini
jua wazi mi ni binadamu na co mashine
 
Typo twice within few minutes!!!! Division 5 elimu MULUGO unaambiwa kabisa hili neno kwenye Kiswahili hakuna unarudia kosa lile lile!! Wacha uokotwe na hao mafisi na mapanya ili uje uvuruge mjadala. Haya wewe mpumbavu chonga IDs bado hujafikisha 10,000 pumbaf mkubwa wee.


Kweli wewe mbulula tena kirambati usiyejua ata lugha yako mimi nakuomba uje arusha then ujifunze kichuga
maana hapa utanichosha bure
Ila nimeamini pia wewe ni mbayuwayu wa kwanza tz
Ila kumbaka kwenye kutype kuna typng error sasa unajifanya kama ujawai kukosea vile
Acha ujuha wewe mbulula wa porini
jua wazi mi ni binadamu na co mashine
 
Typo twice within few minutes!!!! Division 5 elimu MULUGO unaambiwa kabisa hili neno kwenye Kiswahili hakuna unarudia kosa lile lile!! Wacha uokotwe na hao mafisi na mapanya ili uje uvuruge mjadala. Haya wewe mpumbavu chonga IDs bado hujafikisha 10,000 pumbaf mkubwa wee.

Acha matusi wewe, weka hoja na sio kuvamia watu ovyo, Mod si partner wako mwambie azifungie eboo!
 
Kwi kwi kwi lo!!!! sina undugu na mamburula mie watetezi wa mafisadi. Kwa ujira mdogo unaosababishwa na ulafi wenu mkubwa mko tayari kufanya lolote kusaliti nhi yenu na Watanzania wenzenu. Wafadhili wamelivalia njuga hili lazima mtaumbuka tu.

Naona uko na mdogo wako BAK mnaendeleza mjadala
 
Mkuu Mani Hizo pesa ni bora tu wasizitoe maana kuna wizi mtakatifu utakaofanywa 2015 mkubwa kuliko hata wa EPA na ESCROW combined ili kufinance kampeni za MACCM na wengine kujichukulia pensheni yao mapema na wale vilaza watatu pale wizara ya fedha wizi huo utafanyika kirahisi sana.

Always kichwa chako kimetawaliwa na negative thoughts,hakuna kiongozi wa ccm hata mmoja mjinga eti achukue pensheni kutoka fedha za umma, labda chadema ni msingi ambako slaa alipga 200 mil.
 
Kwi kwi kwi lo!!!! sina undugu na mamburula mie watetezi wa mafisadi. Kwa ujira mdogo unaosababishwa na ulafi wenu mkubwa mko tayari kufanya lolote kusaliti nhi yenu na Watanzania wenzenu. Wafadhili wamelivalia njuga hili lazima mtaumbuka tu.

Hatuongozwi na fikra tegemezi kama wewe, na mtu wa kwanza kuumbuka ni wewe ni suala la muda tu
 
Mafisadi na mimi mbali mbali kamwe siwezi kuwa na positive thoughts inapokuja kwenye swala la mafisadi. Wewe mlafi na walafi wenzio ndio walambeni mpaka viatu vyao ili wawatumie mifupa mtafune.

Always kichwa chako kimetawaliwa na negative thoughts,hakuna kiongozi wa ccm hata mmoja mjinga eti achukue pensheni kutoka fedha za umma, labda chadema ni msingi ambako slaa alipga 200 mil.
 
Unaongozwa na nani mwenye fikra za maana? Angekuwa na fikra za maana aneshindwa kujibu swali kwa nini Watanzania wengi ni maskini? asingeitwa msanii au dhaifu. Yeye mwenyewe mchafu ndio maana uongozi wa nchi umemshinda. Wafadhili wanasubiri ripoti ya CAG leo wiki ya tatu hajamteua CAG mpya. Haoni umuhumiu wa nchi kupatiwa hizo Trilioni moja vinginevyo angeshamteua CAG mpya wiki ya kwanza tu ya Utouh kustaafu.

Hatuongozwi na fikra tegemezi kama wewe, na mtu wa kwanza kuumbuka ni wewe ni suala la muda tu
 
Mafisadi na mimi mbali mbali kamwe siwezi kuwa na positive thoughts inapokuja kwenye swala la mafisadi. Wewe mlafi na walafi wenzio ndio walambeni mpaka viatu vyao ili wawatumie mifupa mtafune.

Yaani useless kabisa!, walafi hao wenzako wa kigoma waliogawana bil 1.3 na hawajakupa hata kumi, na unashnda hapa kuwatetea, pole sana mjomba
 
Utajiju mpumbavu wewe uliyeamua kukimbia umande sasa unatumika kama ndom kutetea wezi huku ukiisaliti nchi yako. Mwenyewe unajiona mjuaji sana kumbe taahira tu mchumia tumbo. Mxciuuuuuuuu.

Umekuwa mwalimu wa lugha kweli ni shida
 
Sina shida ya pesa wewe!!! Ila nachukia mafisadi ambao ufisadi wao unawaumiza Watanzania zaidi ya 44 million kukosa matibabu bora, kukosa elimu bora, kukosa maji safi, umeme na huduma nyingine muhimu huku nchi ikiwa na utajiri mkubwa sana. Ningekuwa na shida ya pesa si ningeuangana na nyinyi mataahira hapa ili kutetea wizi wanirushie na mimi mifupa nitafune walichobakisha. Acha ujuha wewe mchumia tumbo kudhani kwamba kila mtu yuko hapa kutafuta mgao kama mchumia tumbo wewe na wachumia tumbo wenzio.


Yaani useless kabisa!, walafi hao wenzako wa kigoma waliogawana bil 1.3 na hawajakupa hata kumi, na unashnda hapa kuwatetea, pole sana mjomba
 
Utajiju mpumbavu wewe uliyeamua kukimbia umande sasa unatumika kama ndom kutetea wezi huku ukiisaliti nchi yako. Mwenyewe unajiona mjuaji sana kumbe taahira tu mchumia tumbo. Mxciuuuuuuuu.

Panick tu msomi, sasa mimi niliyekimbia umande, nakwambia weka hoja zako za kisomi mezani sio makala za mwanaume zitto,tuje tujadili hapa,unajidharirisha mno huna hata chembe ya usomi
 
Back
Top Bottom