jfour
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 242
- 222
MATUSI YAKO HAYAWEZI KUTUKATISHA TAMAA KUUPELEKA UKWELI HUU MBELE YA UMMA;
mkuu wewe ni mgumu kuelewa, embu soma hapo chini;
(i)which was meant to support the country's 2014/15 general budget, has been suspended pending the release of the IPTL probe reports.
(ii)The donors, said the Finland ambassador, would for the time being wait for the final CAG report before making any categorical commitment to support the national budget.
(iii) "Development partners are now awaiting the CAG report and information about its key findings, as well as a response from government, which will determine our decisions on further disbursements," said the envoy.
Ni sahihi kabisa kwa baadhi ya DONORS kukataa kuchangia bajeti yetu, hata ningekuwa mimi ningefanya hivyo. Donors wamefanya kama serikali ilivyofanya KAFULILA kapiga kelele wakarespond kwa kuanzisha uchunguzi kupitia vyombo vyao vya CAG na PCCB, na ndio DONORS walivyofanya Kwakuwa kunauchunguzi wa ufisadi kwanini walete fedha zao wameamua kusubili uchunguzi wa CAG, simple and clear tatizo mnataka kupotosha umma kuwa kusimishwa hiyo misaada kuna maana kuwa kuna ufisadi hapana ukisoma hizo point tatu hapo juu utaelewa vizuri, Donors wanataka kwanza kujilizisha je kweli hakuna ufisadi hapa, wala Donors hawaconclude kuwa kuna ufisadi ndio maana hatutoi fedha zetu. Tatizo umeamua kwa makusudi kupotosha umma kwa kubeba ajenda ya Kafulila, kumbuka tunazungumzia escrow account, labda kama hujui chochote kuhusu escrow agreement ndio unaweza sema hizo fedha ni za umma, lakini kama unajua escrow agreement huwezi kuja na kusema fedha ni za umma. Tafuta taarifa sahihi za escrow agreement, wadau wa escrow agreement, nini chanzo cha escrow agreement alfu unganisha na kauli ya IPTL/PAP kuwa hawana kesi na TANESCO, kitu ambacho pia Kafulila anapotosha mpaka leo anadai kuwa IPTL na TANESCO wanakesi mahakamani. Niuongo mtupu kusema TANESCO wana kesi na IPTL. msome kafulila hapo chini, rejea Gaeti la Rai Mwema oktoba 1-oktoba 7,2014
Mwenzako kafulila anadai fedha hizo ni za standard chartered-Hong kong, kashaama kule alikokuwa anasema fedha hizo ni za umma, anasema ni za standard chartered sababu walinunua deni la wabia wa IPTL ambao ni Mechmar. Kafulila anacomment mpaka kuchukua mali za nIPTL kama fedha ya escrow account isingetosha kuwalipa standard chartered. Ukimsoma vizuri kwenye hilo gazeti bado kafulila atakuchanganya zaid kwa kusema kuwa Prof. Muhongo alisema uongo kwakudai kuwa fedha za escrow ni za VIP na Mechmar, yeye Kafulila amasema fedha za escrow account ni za IPTL na TANESCO. Sasa we mkuu umemsikia nani akisema fedha za escrow ni za umma?? Tusijadiri kwa misingi ya kisiasa eti kwa kuwa Kafulila kasema ni scandal ndio na sisi tuibebe hapana na ndio maana waelevu wamekaa kimya wanamwacha Kafulila aropoke tu.
mkuu wewe ni mgumu kuelewa, embu soma hapo chini;
(i)which was meant to support the country's 2014/15 general budget, has been suspended pending the release of the IPTL probe reports.
(ii)The donors, said the Finland ambassador, would for the time being wait for the final CAG report before making any categorical commitment to support the national budget.
(iii) "Development partners are now awaiting the CAG report and information about its key findings, as well as a response from government, which will determine our decisions on further disbursements," said the envoy.
Ni sahihi kabisa kwa baadhi ya DONORS kukataa kuchangia bajeti yetu, hata ningekuwa mimi ningefanya hivyo. Donors wamefanya kama serikali ilivyofanya KAFULILA kapiga kelele wakarespond kwa kuanzisha uchunguzi kupitia vyombo vyao vya CAG na PCCB, na ndio DONORS walivyofanya Kwakuwa kunauchunguzi wa ufisadi kwanini walete fedha zao wameamua kusubili uchunguzi wa CAG, simple and clear tatizo mnataka kupotosha umma kuwa kusimishwa hiyo misaada kuna maana kuwa kuna ufisadi hapana ukisoma hizo point tatu hapo juu utaelewa vizuri, Donors wanataka kwanza kujilizisha je kweli hakuna ufisadi hapa, wala Donors hawaconclude kuwa kuna ufisadi ndio maana hatutoi fedha zetu. Tatizo umeamua kwa makusudi kupotosha umma kwa kubeba ajenda ya Kafulila, kumbuka tunazungumzia escrow account, labda kama hujui chochote kuhusu escrow agreement ndio unaweza sema hizo fedha ni za umma, lakini kama unajua escrow agreement huwezi kuja na kusema fedha ni za umma. Tafuta taarifa sahihi za escrow agreement, wadau wa escrow agreement, nini chanzo cha escrow agreement alfu unganisha na kauli ya IPTL/PAP kuwa hawana kesi na TANESCO, kitu ambacho pia Kafulila anapotosha mpaka leo anadai kuwa IPTL na TANESCO wanakesi mahakamani. Niuongo mtupu kusema TANESCO wana kesi na IPTL. msome kafulila hapo chini, rejea Gaeti la Rai Mwema oktoba 1-oktoba 7,2014
Mwenzako kafulila anadai fedha hizo ni za standard chartered-Hong kong, kashaama kule alikokuwa anasema fedha hizo ni za umma, anasema ni za standard chartered sababu walinunua deni la wabia wa IPTL ambao ni Mechmar. Kafulila anacomment mpaka kuchukua mali za nIPTL kama fedha ya escrow account isingetosha kuwalipa standard chartered. Ukimsoma vizuri kwenye hilo gazeti bado kafulila atakuchanganya zaid kwa kusema kuwa Prof. Muhongo alisema uongo kwakudai kuwa fedha za escrow ni za VIP na Mechmar, yeye Kafulila amasema fedha za escrow account ni za IPTL na TANESCO. Sasa we mkuu umemsikia nani akisema fedha za escrow ni za umma?? Tusijadiri kwa misingi ya kisiasa eti kwa kuwa Kafulila kasema ni scandal ndio na sisi tuibebe hapana na ndio maana waelevu wamekaa kimya wanamwacha Kafulila aropoke tu.