IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

Kwi kwi kwi lol!!! Nawe eti una busara halafu upo hapa kutwa kucha kutetea mapanya na mafisi wanaoiangamiza nchi. Upumbavu wako kaongee na hao mafisadi wenzio.

mwenye busara hajibu kila kitu anachoambiwa na mpumbavu,vingine unawaachia wapumbavu wajibizane,done
 
Acha kujibaraguza wewe!!!! Ati mie mdogo wako!!!! Mxciuuuuuuuuuu niondolee ujinga wako

pole sana mdogo wangu nijibaraguze kwako ili iweje,kama mjadala numekushindwa achia wengine waendelee kujadili
 
Kweli wewe ni mpumbavu wa hali ya juu!!! Kumbe upo hapa kushindana!? Aliyekupa huo ushindi ni nani!? Kashindane na mapanya na mafisi wenzio mimi sichangii hapa kutafuta ushindi hilo si dhumuni langu la kuchangia hapa JF.

pole sana mdogo wangu nijibaraguze kwako ili iweje,kama mjadala numekushindwa achia wengine waendelee kujadili
 
Kweli wewe ni mpumbavu wa hali ya juu!!! Kumbe upo hapa kushindana!? Aliyekupa huo ushindi ni nani!? Kashindane na mapanya na mafisi wenzio mimi sichangii hapa kutafuta ushindi hilo si dhumuni langu la kuchangia hapa JF.


mkuu imekuwaje tena umeshindwa kuhimili muhemko huo?. mbona jamaa wanaeleweka sana hawa. tumekuwa tukisikia habari za upande mmoja tu, sasa wache tupate na za upande wa pili.

kumbe IPTL hana kesi na TANESCO?. sasa mbona wanasiasa wetu wanantubabaisha sana?.
 
Mtachonga sana IDs mwaka huu ili kuharibu ushahidi wa wizi wenu. Hata hao Wafadhili waliokataa kutoa pesa zao 1 Trilioni shilingi nao pia wamekurupuka kutaka kujua kuhusu pesa ambazo si za umma.

mkuu imekuwaje tena umeshindwa kuhimili muhemko huo?. mbona jamaa wanaeleweka sana hawa. tumekuwa tukisikia habari za upande mmoja tu, sasa wache tupate na za upande wa pili.

kumbe IPTL hana kesi na TANESCO?. sasa mbona wanasiasa wetu wanantubabaisha sana?.
 
Mtachonga sana IDs mwaka huu ili kuharibu ushahidi wa wizi wenu. Hata hao Wafadhili waliokataa kutoa pesa zao 1 Trilioni shilingi nao pia wamekurupuka kutaka kujua kuhusu pesa ambazo si za umma.

mkuu wewe ni mgumu kuelewa, embu soma hapo chini;

(i)which was meant to support the country's 2014/15 general budget, has been suspended pending the release of the IPTL probe reports.

(ii)The donors, said the Finland ambassador, would for the time being wait for the final CAG report before making any categorical commitment to support the national budget.

(iii) "Development partners are now awaiting the CAG report and information about its key findings, as well as a response from government, which will determine our decisions on further disbursements," said the envoy.

Ni sahihi kabisa kwa baadhi ya DONORS kukataa kuchangia bajeti yetu, hata ningekuwa mimi ningefanya hivyo. Donors wamefanya kama serikali ilivyofanya KAFULILA kapiga kelele wakarespond kwa kuanzisha uchunguzi kupitia vyombo vyao vya CAG na PCCB, na ndio DONORS walivyofanya Kwakuwa kunauchunguzi wa ufisadi kwanini walete fedha zao wameamua kusubili uchunguzi wa CAG, simple and clear tatizo mnataka kupotosha umma kuwa kusimishwa hiyo misaada kuna maana kuwa kuna ufisadi hapana ukisoma hizo point tatu hapo juu utaelewa vizuri, Donors wanataka kwanza kujilizisha je kweli hakuna ufisadi hapa, wala Donors hawaconclude kuwa kuna ufisadi ndio maana hatutoi fedha zetu. Tatizo umeamua kwa makusudi kupotosha umma kwa kubeba ajenda ya Kafulila, kumbuka tunazungumzia escrow account, labda kama hujui chochote kuhusu escrow agreement ndio unaweza sema hizo fedha ni za umma, lakini kama unajua escrow agreement huwezi kuja na kusema fedha ni za umma. Tafuta taarifa sahihi za escrow agreement, wadau wa escrow agreement, nini chanzo cha escrow agreement alfu unganisha na kauli ya IPTL/PAP kuwa hawana kesi na TANESCO, kitu ambacho pia Kafulila anapotosha mpaka leo anadai kuwa IPTL na TANESCO wanakesi mahakamani. Niuongo mtupu kusema TANESCO wana kesi na IPTL. msome kafulila hapo chini, rejea Gaeti la Rai Mwema oktoba 1-oktoba 7,2014 raia mwema.JPG

Mwenzako kafulila anadai fedha hizo ni za standard chartered-Hong kong, kashaama kule alikokuwa anasema fedha hizo ni za umma, anasema ni za standard chartered sababu walinunua deni la wabia wa IPTL ambao ni Mechmar. Kafulila anacomment mpaka kuchukua mali za nIPTL kama fedha ya escrow account isingetosha kuwalipa standard chartered. Ukimsoma vizuri kwenye hilo gazeti bado kafulila atakuchanganya zaid kwa kusema kuwa Prof. Muhongo alisema uongo kwakudai kuwa fedha za escrow ni za VIP na Mechmar, yeye Kafulila amasema fedha za escrow account ni za IPTL na TANESCO. Sasa we mkuu umemsikia nani akisema fedha za escrow ni za umma?? Tusijadiri kwa misingi ya kisiasa eti kwa kuwa Kafulila kasema ni scandal ndio na sisi tuibebe hapana na ndio maana waelevu wamekaa kimya wanamwacha Kafulila aropoke tu.
 
Kweli wewe ni mpumbavu wa hali ya juu!!! Kumbe upo hapa kushindana!? Aliyekupa huo ushindi ni nani!? Kashindane na mapanya na mafisi wenzio mimi sichangii hapa kutafuta ushindi hilo si dhumuni langu la kuchangia hapa JF.

Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na Mjinga
ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni MJiNGa...Somo
kubwa sana 2014...prof kabudi.
 
Kwi kwi kwi lol!!! Nawe eti una busara halafu upo hapa kutwa kucha kutetea mapanya na mafisi wanaoiangamiza nchi. Upumbavu wako kaongee na hao mafisadi wenzio.

Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na Mjinga
ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni MJiNGa...Somo
kubwa sana 2014...prof kabudi.
 
''Tunapenda kuwasisitizia watanzania waendelee kumpuuza mtu huyu kwani kwa sasa amevurugwa ndio maana anahamishahamisha mijadala na kiasi cha kumhusisha Waziri Mkuu, Baraza la Mawaziri huku akijua ESCROW ni jambo la kisheria na si la kisiasa na yalikuwa malipo halali kwa IPTL/PAP na huo ndio ukweli na utaendelea kuwa hivyo, na ningemshauri Kafulila ajifunze nini maana ya ESCROW hata kwa njia ya mtandao

ili siku nyingine asiendelee kulishwa ujinga wa namna hii bila kujua ukweli wa ndani kufanya hivyo ni kufedhehesha watanzania kwamba wanawachagua wabunge wenye uelewa mdogo kama Kafulila''. ilisema taarifa hiyo.

Ilisema uelewa finyu huu wa Kafulila unamsababisha ashindwe kutofautisha kati ya mali ya umma na mali binafsi, fedha za umma zilizopo BoT na uwakala wa ESCROW wa BoT, kazi za serikali na kazi za mbunge kazi za IPTL/PAP na kazi za TANESCO tunasisitiza IPTL/PAP sio shirika la Umma wala mali ya serikali,

Kafulila na wenzake waelekeze nguvu katika mashirika ya umma yanayofilisika kila kukicha huku na yeye akiwa sehemu ya ufilisi huo, Watanzania tuwapuuze wabunge vibiriti fitini kama Kafulila na wenzake waliokubali kuweka pembeni uelewa wao na kutumika na makampuni shindani dhidi yetu pamoja Standard Chartered, vinginevyo ajiseme hadharani yeye ni mbia wa Standard Chartered.

Hivyo, tunawahakikishia watanzania tutaendelea kuzalisha na kuwauzia umeme wa uhakika na kwa bei nafuu na mchakato wetu wa kushusha bei ya umeme kutoka 450 ya sasa kwa uniti mpaka sh. 80 uko mbioni kukamilika ili watanzania wafurahie huduma ya umeme na wachagize maendeleo yao japo kina Kafulila na wapinzani wetu wa kibiashara hawapendi watanzania wafaidi matunda yao

Sasa kama kafulila alikuwa na uelewa finyu,mbona cag na pccb waliagizwa kufanya uchunguzi ina maana na wao wanauelewa finyu?na aliyewaagiza naye anauelewa finyu au wewe ndiyo mwenye uelewa finyu alafu ninyi watu kama wewe inaelekea mimba yako ilitungwa gesti za tandale au kwenye magari mabovu.
 
Huna uwezo wa kumpa somo yeyote hapa wewe mchumia tumbo. Ungekuwa si mpumbavu basi siku zote ungejali maslahi ya nchi yako badala ya yale ya mafisi na mapanya. Naona umeshahamia kwenye ID nyingine!!! Halafu unadai wewe si mpumbavu lol!!

Mpumbavu ana tabia ya kushupaa na Mjinga
ana tabia ya kuduwaa...basi kuanzia leo mimi ni MJiNGa...Somo
kubwa sana 2014...prof kabudi.
 
IT'S VERY TECHNICAL WHAT BAK IS DOING LAKINI HII INAWAPA WATANZANIA PICHA MOJA TU KUWA KATIKA HILI KAFULILA NA TEAM YAKE WAMESHINDWA KUWAONGOPEA WATANZANIA. ALAFU NAANZA KUPATA HISIA KAMA HUYU BAK NI KAFULILA MWENYEWE MAANA SIKU ZOTE KWENYE UCHANGIAJI WAKE HANA HOJA YA MSINGI, YEYE ANACHOFANYA NI KUATTACK KWA LUGHA CHAFU NA ZA KEJERI LAKINI HIZI THREAD ZINA SOMWA NA WATU WENGI SANA MAKINI NA MIMI KWA UELEWA WANGU NAJUA KUWA WASOMAJI KWA NAFASI YAO WANAWEZA KUCHAMBUA NANI ANAFANYA UFAFANUZI WA HOJA NANI ANAATTACK KWA LENGO LA KUHARIBU MJADALA. huWEZI WEWE POINT YAKO IKAWA NI KUSEMA "" NYINYI MAFISI NA MAPANYA"" NDIO UMEJADILI HOJA HIVYO?? KUWA MEMBER WA FORUM KUNA MAANA GANI KWA MTU KAMA HUYU. MUDA MWINGINE SIYO LAZIMA MTU UCHANGIE SABABU UKWELI NI KUWA WATU WANAOSOMA THREAD KWA SIKU NI WENGI KULIKO WACHANGIAJI. SIYO WOTE LAZIMA TUWE NA MAARIFA YA UCHANGIAJI WENGINE MWAWEZA KUKAA PEMBENI NA KUPATA MAARIFA YA WENGINE. HUU SIYO UBISHANI WA MTAANI KWAMBA MTU UNAAMUA KUBISHA TU KWA MANENO YA KICHOCHORONI JENGA HOJA SIYO MAPANYA NA MAFISI HII NI KITU GANI SASA. SAHIZI SAA SABA USIKU MTU HUJALALA, LENGO LAKO MOJA TU KUVULUGA MJADALA , WATANZANIA WA LEO NDUGU SIYO WALE WAENZI ZILE. KAFULILA HANA HOJA YA KUSHAWISHI WATANZANIA, SIYO LAZIMA UCHANGIE NDUGU LALA TU UPUMZISHE AKILI YAKO SIKU NZIMA UNASHINDA JF, HUPUMZIKI WEWE?? KWA MASLAHI GANI WEWE??
 
kwi kwi kwi lol!!! Nawe eti una busara halafu upo hapa kutwa kucha kutetea mapanya na mafisi wanaoiangamiza nchi. Upumbavu wako kaongee na hao mafisadi wenzio.

acha kujibaraguza wewe!!!! Ati mie mdogo wako!!!! Mxciuuuuuuuuuu niondolee ujinga wako

kweli wewe ni mpumbavu wa hali ya juu!!! Kumbe upo hapa kushindana!? Aliyekupa huo ushindi ni nani!? Kashindane na mapanya na mafisi wenzio mimi sichangii hapa kutafuta ushindi hilo si dhumuni langu la kuchangia hapa jf.

mtachonga sana ids mwaka huu ili kuharibu ushahidi wa wizi wenu. Hata hao wafadhili waliokataa kutoa pesa zao 1 trilioni shilingi nao pia wamekurupuka kutaka kujua kuhusu pesa ambazo si za umma.

huna uwezo wa kumpa somo yeyote hapa wewe mchumia tumbo. Ungekuwa si mpumbavu basi siku zote ungejali maslahi ya nchi yako badala ya yale ya mafisi na mapanya. Naona umeshahamia kwenye id nyingine!!! Halafu unadai wewe si mpumbavu lol!!

just one person hajalala mpaka sahizi saa nane kasoro za usiku, alafu huu ndio mchango wake!! Kweli jamani?? Pap wanasema hawana kesi na tanesco, je kafulila anayesema kesi ya tanesco na iptl bado ipo mahakani ipo mahakama ipi ?? Usiwatoe watu kwenye ukweli kwa lugha za kukejeri na matusi.
Kafulila ameshindwa kushawishi umma kumuunga mkono na sababu ni ukweli kuwa hakuna ufisadi kwenye accont ya escrow kama wewe unaujua ni ufisadi gani umefanyika msaidie kafulila kuueleza umma, namimi pia ningependa kuyasikia maelezo yako wewe bak, nikivipi kuna ufisadi kwenye escrow??
Tusijadili hizi hoja kama tupo vichochoroni bwana tunawachefua watu wengine makini kufatilia na kupata kujifunza kupitia michango mbalimbali.
Na hii si kwa bak tu na wengine wote kama huna cha kuchangia baki kuwa msomaji tu. Hata hivyo viewers ni wengi kuliko wachangiaji.
 
Acha upumbavu wewe!!!! Kulala kwangu hakukuhusu lolote. Wafadhili wamekataa kutoa almost $600 million mpaka wajue kinaga ubaga cha wizi huu wa shilingi 200 bilioni na wewe mchumia tumbo uko busy kutaka kuvuruga ukweli wa mambo. Hujitambui kabisa mpumbavu wewe!!! Mxciuuuuu haya kabadilishe utumie ID nyingine na huo upumbavu wako wa kuandika kwa kutumia capital letters achana nao. Pumbaf mkubwa wewe. Kama mlidhani mtachonga IDs 10,000 na kuja hapa kutukana watu, kudhalilisha watu ili mpotoshe ukweli kuhusu wizi huu mkubwa basi imekula kwenu. Haya kakojoe ukalale sasa.

just one person hajalala mpaka sahizi saa nane kasoro za usiku, alafu huu ndio mchango wake!! Kweli jamani?? Pap wanasema hawana kesi na tanesco, je kafulila anayesema kesi ya tanesco na iptl bado ipo mahakani ipo mahakama ipi ?? Usiwatoe watu kwenye ukweli kwa lugha za kukejeri na matusi.
Kafulila ameshindwa kushawishi umma kumuunga mkono na sababu ni ukweli kuwa hakuna ufisadi kwenye accont ya escrow kama wewe unaujua ni ufisadi gani umefanyika msaidie kafulila kuueleza umma, namimi pia ningependa kuyasikia maelezo yako wewe bak, nikivipi kuna ufisadi kwenye escrow??
Tusijadili hizi hoja kama tupo vichochoroni bwana tunawachefua watu wengine makini kufatilia na kupata kujifunza kupitia michango mbalimbali.
Na hii si kwa bak tu na wengine wote kama huna cha kuchangia baki kuwa msomaji tu. Hata hivyo viewers ni wengi kuliko wachangiaji.
 
Acha upumbavu wewe!!!! Kulala kwangu hakukuhusu lolote. Wafadhili wamekataa kutoa almost $600 million mpaka wajue kinaga ubaga cha wizi huu wa shilingi 200 bilioni na wewe mchumia tumbo uko busy kutaka kuvuruga ukweli wa mambo. Hujitambui kabisa mpumbavu wewe!!! Mxciuuuuu haya kabadilishe utumie ID nyingine na huo upumbavu wako wa kuandika kwa kutumia capital letters achana nao. Pumbaf mkubwa wewe. Kama mlidhani mtachonga IDs 10,000 na kuja hapa kutukana watu, kudhalilisha watu ili mpotoshe ukweli kuhusu wizi huu mkubwa basi imekula kwenu. Haya kakojoe ukalale sasa.

MATUSI YAKO HAYAWEZI KUTUKATISHA TAMAA KUUPELEKA UKWELI HUU MBELE YA UMMA;

mkuu wewe ni mgumu kuelewa, embu soma hapo chini;

(i)which was meant to support the country's 2014/15 general budget, has been suspended pending the release of the IPTL probe reports.

(ii)The donors, said the Finland ambassador, would for the time being wait for the final CAG report before making any categorical commitment to support the national budget.

(iii) "Development partners are now awaiting the CAG report and information about its key findings, as well as a response from government, which will determine our decisions on further disbursements," said the envoy.

Ni sahihi kabisa kwa baadhi ya DONORS kukataa kuchangia bajeti yetu, hata ningekuwa mimi ningefanya hivyo. Donors wamefanya kama serikali ilivyofanya KAFULILA kapiga kelele wakarespond kwa kuanzisha uchunguzi kupitia vyombo vyao vya CAG na PCCB, na ndio DONORS walivyofanya Kwakuwa kunauchunguzi wa ufisadi kwanini walete fedha zao wameamua kusubili uchunguzi wa CAG, simple and clear tatizo mnataka kupotosha umma kuwa kusimishwa hiyo misaada kuna maana kuwa kuna ufisadi hapana ukisoma hizo point tatu hapo juu utaelewa vizuri, Donors wanataka kwanza kujilizisha je kweli hakuna ufisadi hapa, wala Donors hawaconclude kuwa kuna ufisadi ndio maana hatutoi fedha zetu. Tatizo umeamua kwa makusudi kupotosha umma kwa kubeba ajenda ya Kafulila, kumbuka tunazungumzia escrow account, labda kama hujui chochote kuhusu escrow agreement ndio unaweza sema hizo fedha ni za umma, lakini kama unajua escrow agreement huwezi kuja na kusema fedha ni za umma. Tafuta taarifa sahihi za escrow agreement, wadau wa escrow agreement, nini chanzo cha escrow agreement alfu unganisha na kauli ya IPTL/PAP kuwa hawana kesi na TANESCO, kitu ambacho pia Kafulila anapotosha mpaka leo anadai kuwa IPTL na TANESCO wanakesi mahakamani. Niuongo mtupu kusema TANESCO wana kesi na IPTL. msome kafulila hapo chini, rejea Gaeti la Rai Mwema oktoba 1-oktoba 7,2014View attachment 191544

Mwenzako kafulila anadai fedha hizo ni za standard chartered-Hong kong, kashaama kule alikokuwa anasema fedha hizo ni za umma, anasema ni za standard chartered sababu walinunua deni la wabia wa IPTL ambao ni Mechmar. Kafulila anacomment mpaka kuchukua mali za nIPTL kama fedha ya escrow account isingetosha kuwalipa standard chartered. Ukimsoma vizuri kwenye hilo gazeti bado kafulila atakuchanganya zaid kwa kusema kuwa Prof. Muhongo alisema uongo kwakudai kuwa fedha za escrow ni za VIP na Mechmar, yeye Kafulila amasema fedha za escrow account ni za IPTL na TANESCO. Sasa we mkuu umemsikia nani akisema fedha za escrow ni za umma?? Tusijadiri kwa misingi ya kisiasa eti kwa kuwa Kafulila kasema ni scandal ndio na sisi tuibebe hapana na ndio maana waelevu wamekaa kimya wanamwacha Kafulila aropoke tu.
 
Kaziambie pia na nchi za Wafadhili kwamba hizo bilioni 200 hazikuibiwa ili watoe hizo shilingi Trilioni moja. Kamwambie pia Hosea wa TAKUKURU aliyetamka hadharani kwamba waliohusika na huo wizi wote watapandishwa kizimbani na wale waliopokea mgao ikiwemo mama fisadi Tibaijuka watatakiwa warudishe pesa hizo mara moja. Na kwa taarifa yako bank account ya mwizi Rugemarila kule Netherlands yenye $65 millioni imekuwa frozen. Bado ushahidi wote huu mnakuja hapa kutaka kupotosha ukweli kuhusu wizi huu kwa umma wa Watanzania.
 
Upumbavu wako peleka huko huko kwa mafisi na mapanya wenzio na utachonga hata IDs elfu lakini hutamzuia yeyote hapa kuandika kuhusu huu wizi wenu. Pumbaf mkubwa wee mxciuuuuuuu

Hujitambui wewe mama fisadi Tibaijuka. Chonga hata IDs 10,000 na uwaite ukoo wako wote hapa watukane watu wadhalilishe watu lakini ukweli unaujua kwamba ulipokea pesa za wizi ulistahili kufukuzwa kazi na kuwepo lupango muda mrefu. Shukuru Mungu kwamba huyo kiongozi wa nchi naye ni fisadi. Kachonge ID nyingine uendelee kuzijaza mpumbavu mkubwa mxciuuuuuu.

Mkuu MANI zimo za mama fisadi Tibaijuka na wapambe wake, zimo za Werema na wapambe wake zimo za Muhongo na wapambe wake na wengine pia ambao waliopokea mgao wa Fedha za wizi toka kwa fisadi Rugemarila .

Wala sijapanick na wala siwezi kupanick kwa kutetea maslahi ya Tanzania. Hunifahamu kwa hiyo usitake kufikia hitimisho ambalo halipo. Acha kujibaraguza

Wameshindwa kuikanusha hiyo na kubaki wanaweweseka! Kitaeleweka tu kwenye wizi huu.

Kwi kwi kwi lol!!! Nawe eti una busara halafu upo hapa kutwa kucha kutetea mapanya na mafisi wanaoiangamiza nchi. Upumbavu wako kaongee na hao mafisadi wenzio.

Acha kujibaraguza wewe!!!! Ati mie mdogo wako!!!! Mxciuuuuuuuuuu niondolee ujinga wako

Kweli wewe ni mpumbavu wa hali ya juu!!! Kumbe upo hapa kushindana!? Aliyekupa huo ushindi ni nani!? Kashindane na mapanya na mafisi wenzio mimi sichangii hapa kutafuta ushindi hilo si dhumuni langu la kuchangia hapa JF.

Mtachonga sana IDs mwaka huu ili kuharibu ushahidi wa wizi wenu. Hata hao Wafadhili waliokataa kutoa pesa zao 1 Trilioni shilingi nao pia wamekurupuka kutaka kujua kuhusu pesa ambazo si za umma.

Huna uwezo wa kumpa somo yeyote hapa wewe mchumia tumbo. Ungekuwa si mpumbavu basi siku zote ungejali maslahi ya nchi yako badala ya yale ya mafisi na mapanya. Naona umeshahamia kwenye ID nyingine!!! Halafu unadai wewe si mpumbavu lol!!

Acha upumbavu wewe!!!! Kulala kwangu hakukuhusu lolote. Wafadhili wamekataa kutoa almost $600 million mpaka wajue kinaga ubaga cha wizi huu wa shilingi 200 bilioni na wewe mchumia tumbo uko busy kutaka kuvuruga ukweli wa mambo. Hujitambui kabisa mpumbavu wewe!!! Mxciuuuuu haya kabadilishe utumie ID nyingine na huo upumbavu wako wa kuandika kwa kutumia capital letters achana nao. Pumbaf mkubwa wewe. Kama mlidhani mtachonga IDs 10,000 na kuja hapa kutukana watu, kudhalilisha watu ili mpotoshe ukweli kuhusu wizi huu mkubwa basi imekula kwenu. Haya kakojoe ukalale sasa.

Hakuna hoja hata moja inayojengwa humu, achaneni nae huyu hakuna analolijua. Huwezi kumuhusisha JR na pesa za escrow hata kdogo atakuacha mahakamani asubuhi alafu utamtajrishe kwa mapesa ya fidia. Prof. huwezi kumuhusisha na fedha za escrow hata siku moja, hapo ndipo hoja za Kafulila zinapokosa mashiko yeye anarukia watu tu.

ukawa.JPG

Ndio maana kakosa sapoti ya upinzani, hoja yake haina mashiko. Endelea kutukana na kukejeri, anzisha na thread ya kwako inayohusu ID's maana kila anayekupinga kachonga ID's. Tuachane na huyu tumbili anayetuposha kwa lugha chafu.
 
Kaziambie pia na nchi za Wafadhili kwamba hizo bilioni 200 hazikuibiwa ili watoe hizo shilingi Trilioni moja. Kamwambie pia Hosea wa TAKUKURU aliyetamka hadharani kwamba waliohusika na huo wizi wote watapandishwa kizimbani na wale waliopokea mgao ikiwemo mama fisadi Tibaijuka watatakiwa warudishe pesa hizo mara moja. Na kwa taarifa yako bank account ya mwizi Rugemarila kule Netherlands yenye $65 millioni imekuwa frozen. Bado ushahidi wote huu mnakuja hapa kutaka kupotosha ukweli kuhusu wizi huu kwa umma wa Watanzania.



Hakuna hoja hata moja inayojengwa humu, achaneni nae huyu hakuna analolijua. Huwezi kumuhusisha JR na pesa za escrow hata kdogo atakuacha mahakamani asubuhi alafu utamtajrishe kwa mapesa ya fidia. Prof. huwezi kumuhusisha na fedha za escrow hata siku moja, hapo ndipo hoja za Kafulila zinapokosa mashiko yeye anarukia watu tu.

View attachment 191548

Ndio maana kakosa sapoti ya upinzani, hoja yake haina mashiko. Endelea kutukana na kukejeri, anzisha na thread ya kwako inayohusu ID's maana kila anayekupinga kachonga ID's. Tuachane na huyu tumbili anayetuposha kwa lugha chafu.
 
KAMPUNI ya kufua umeme IPTL/PAP sasa imezidi kufahamika kuwa haina kesi au mgogoro wowote mahakamani baina yake na Shirika la Umeme Tanzania(TANESCO), imefahamika.

Hali hiyo imekuja wakati kukiwepo na habari katika mitandao na baadhi ya vyombo vya habari(isipokuwa gazeti hili) kuwa IPTL/PAP haikustahili kulipwa malipo ya ESCROW kwa kuwa kuna kesi mahakamani.
Taarifa zaidi zinaeleza kesi hiyo inadaiwa imefunguliwa na TANESCO kuhusiana na ukubwa wa gharama za uendeshaji ‘Capacity charge' unaofanywa na Kampuni ya IPTL.

Hata hivyo, taarifa zaidi kuhusiana na suala hilo, zinasema kwamba kesi hiyo ilishatolewa hukumu yake tangu 2001, ambapo Mahakama ya Kimataifa ya usuluhishi wa kibiashara ICSID iliagiza IPTL ishushe gharama zake kutoka dola milioni 4.2 hadi dola milioni 2.6 kwa mwezi.

Taarifa zilisema baada ya kumalizika kwa kesi hiyo, ndipo kukazuka mgogoro mwingine wa kimaslahi baina ya waliokuwa wabia wa IPTL, ambao ni Kampuni ya VIP na Mechmar ya nchini Malaysia uliopelekea VIP kuomba kampuni ifilisiwe na isilipwe hata thumni na TANESCO.

Kutokana na maombi hayo ya kampuni ya VIP, Mahakama Kuu iliamriwa kufunguliwa kwa akaunti maalumu itakayokuwa inatunza fedha zinazolipwa na TANESCO kwa ajili ya huduma ya umeme inayotumia.

Katibu na Mwanasheria wa Kampuni ya IPTL, PAP, Joseph Makandege alisema hawana kesi na TANESCO na anashangazwa na taarifa zinazotolewa.

"Si kweli kwamba ESCROW akaunti ilifunguliwa kutokana na maombi ya TANESCO kuhusiana na mgogoro wa capacity charge, Kesi ya TANESCO iliisha 2001, na akaunti ya ESCROW ilifunguliwa kwa hukumu ya 2006,''alisema.

Aliongeza; "VIP ndio waliomba kufunguliwa kwa ESCROW, hivyo kusema kwamba TANESCO na IPTL kuna kesi ni upotoshaji unaopaswa kukemewa,''.

Makandege, alisema kesi iliokuwepo kwa sasa ni ya mgogoro wa umiliki kati PAP/IPTL na benki ya Standard Chartered ya Hongkong inayodai kununua deni la Kampuni ya Mechmar ya Malaysia.

"Kesi kati ya Standard Chartered na IPTL/PAP haihusiani na TANESCO na wawaache TANESCO watimize wajibu wao na sisi tuyatimiza wajibu wetu kwa Watanzania na tutapambana mahakamani,''alisema Makandege kwa kujiamini.

Hivyo, alisema wanaolalamika kwamba PAP/IPTL imelipwa kwa makosa wao ndio wanafanya makosa ya kupotosha ukweli wa suala hilo au labda waeleze kwamba Standard Chartered ni Shirika la Umma.
 
IPTL/PAP YAMVAA KAFULILA

KAMPUNI ya Pan Africa Power Solutions Tanzania Limited (PAP), ambayo ni mmiliki halali wa kampuni ya IPTL imempuuza, kumshangaa na kumdharau mbunge wa Kigoma Kusini-NCCR Mageuzi, David Kafulila kwa taarifa yake aliyoitoa kwa vyombo vya habari Oktoba 5, mwaka huu.

Taarifa iliyotolewa na kusainiwa na Katibu na Mshauri wa sheria IPTL/PAP, Joseph Makandege imesema
Kafulila anaweweseka na hii inatokana na umma kushindwa kukielewa anachokisimamia ndio maana analazimisha masuala ya uongouongo yaaminiwe na umma.

Makandege alisema Kafulila anajua fika kwamba
IPTL ni mali ya PAP, baada ya VIP na MECHMAR kuuza hisa zao kwa PAP na hili jambo sio siri na limeripotiwa katika vyombo vyote vya habari Tanzania anaweza akarejea taarifa ya aliyekuwa mmiliki wa VIP, James Rugemalira aliyeitoa Agosti 29, 2013.

Katika taarifa ya Rugemalira, Makandege alisema mmiliki huyo wa VIP alieleza namna ya mchakato wa manunuzi ulivyokwenda baina ya PAP na VIP, hivyo Kafulila aache kuota ndoto za alinacha kwa kuwa
kila mwenye akili timamu anafahamu kwamba IPTL/PAP inauzia umeme TANESCO tangu mwaka 2002 na mwaka 2006,

VIP na MECHMAR iliingia katika mgogoro wa kimaslahi na kupelekea kusainiwa kwa makubaliano ya kisheria ya ESCROW na hatimaye na kufunguliwa kwa akaunti ya ESCROW, ambayo BoT alikuwa wakala wa ESCROW na si mmiliki wa fedha za ESCROW.

"Kafulila amefulia, hivi jiulize ukiwa wakala wa M Pesa au TIGO, unakuwa mmiliki wa M PESA au TIGO PESA hiyo, Kwa hiyo BoT alikuwa wakala wa fedha za ESCROW na sio mmiliko wa fedha za ESCROW,''ilisema taarifa hiyo.

Makandege alisema Kafulila anafahamu fika kuanzia tangu kusaniwa kwa makubaliano ya ESCROW Julai 5, 2006,
TANESCO walikuwa wanaendelea kupatiwa umeme kila siku, kwa kiasi kilekile wanachokihitaji wao mpaka leo hii na anajua kwamba, TANESCO walikuwa hawailipi IPTL na badala yake fedha walikuwa wanaziweka katika akaunti ya ESCROW, Je Kafulila alitaka tuwape umeme bure TANESCO. Je yeye anapofanya kazi bungeni halipwi?, Anapokaa katika vikao vyake hapewi posho au wanaomtuma kueneza uongo hawamlipi?. Kafulile aache kutumika vibaya.

"Dunia nzima inafahamu sasa kwamba PAP/IPTL imepewa dhamana ya kuzalisha megawati 2000 nchini Kenya na hilo inathibitika katika barua kutoka serikali ya Kenya iliyosainiwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Petroli, Injinia Joseph .K. Njoroge Agosti 19, 2014 kwenda kwa Mwenyekiti Mtendaji wa PAP, Harbinder Sing Sethi.,''ilisema.

Taarifa hiyo, ilieleza barua ya Kenya kumtaka Singasinga Seth azalishe umeme Kenya ilikuwa ina kumbukumbu namba ME&D/CONF/3/2/73A iliyokuwa na kichwa cha habari ''Expression of interest for IPP for 2000MV power generations and supply to Kenya and Tanzania''.

Makandege alisema Kafulila anaposema Singasinga Seth haruhusiwi kufanya biashara Kenya, wakati Singasinga huyo huyo, ameshapewa kibali cha kuzalisha umeme na kuuza Kenya ikiwa ni mara 20 zaidi anayozalisha Tanzania, Hivyo ni kichaa pekee anayeweza kuamini upuuzi huu wa Kafulila.

''Tunapenda kuwasisitizia watanzania waendelee kumpuuza mtu huyu kwani kwa sasa amevurugwa ndio maana anahamishahamisha mijadala na kiasi cha kumhusisha Waziri Mkuu, Baraza la Mawaziri huku akijua ESCROW ni jambo la kisheria na si la kisiasa na yalikuwa malipo halali kwa IPTL/PAP na huo ndio ukweli na utaendelea kuwa hivyo, na ningemshauri Kafulila ajifunze nini maana ya ESCROW hata kwa njia ya mtandao

ili siku nyingine asiendelee kulishwa ujinga wa namna hii bila kujua ukweli wa ndani kufanya hivyo ni kufedhehesha watanzania kwamba wanawachagua wabunge wenye uelewa mdogo kama Kafulila''. ilisema taarifa hiyo.

Ilisema
uelewa finyu huu wa Kafulila unamsababisha ashindwe kutofautisha kati ya mali ya umma na mali binafsi, fedha za umma zilizopo BoT na uwakala wa ESCROW wa BoT, kazi za serikali na kazi za mbunge kazi za IPTL/PAP na kazi za TANESCO tunasisitiza IPTL/PAP sio shirika la Umma wala mali ya serikali,

Kafulila na wenzake waelekeze nguvu katika mashirika ya umma yanayofilisika kila kukicha huku na yeye akiwa sehemu ya ufilisi huo, Watanzania tuwapuuze wabunge vibiriti fitini kama Kafulila na wenzake waliokubali kuweka pembeni uelewa wao na kutumika na makampuni shindani dhidi yetu pamoja Standard Chartered, vinginevyo ajiseme hadharani yeye ni mbia wa Standard Chartered.

Hivyo, tunawahakikishia watanzania tutaendelea kuzalisha na kuwauzia umeme wa uhakika na kwa bei nafuu na mchakato wetu wa kushusha bei ya umeme kutoka 450 ya sasa kwa uniti mpaka sh. 80 uko mbioni kukamilika ili watanzania wafurahie huduma ya umeme na wachagize maendeleo yao japo kina Kafulila na wapinzani wetu wa kibiashara hawapendi watanzania wafaidi matunda yao.


 
Back
Top Bottom