IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

IPTL/PAP: Hatuna kesi na TANESCO

Huna mamlaka yoyote hapa hivyo kaa kimya. Tangu nianze kupost hapa miaka 7 iliyopita hata wamiliki wa JF hawajawahi kuniambi nini cha kupost au kutopost.

Ahaa kumbe unajua asa mbona wewe unalazimisha watu waunge mkono hoja zako
 
Wewe siyo bure utakuwa unakeketwa na chupa.

Oya hayo mambo ndo tulikata humu jamvini tushasema atukaki matusi
Kama umeshindwa kwa hoja piga kimyaa atutaki mambo ya kijinga humu ndani watu tunataka tupate elimu ya ziada
 
Oya hayo mambo ndo tulikata humu jamvini tushasema atukaki matusi
Kama umeshindwa kwa hoja piga kimyaa atutaki mambo ya kijinga humu ndani watu tunataka tupate elimu ya ziada




Oya hayo mambo ndo tulikata humu jamvini tushasema atukaki matusi
Kama umeshindwa kwa hoja piga kimyaa atutaki mambo ya kijinga humu ndani watu tunataka tupate elimu ya ziada
Sasa mtu unamuelimisha yeye anatoa povu,anakuwa mbishi kama pilipili
 
Naona fisadi mama Tibaijuka umeshaibuka na ID nyingine. Sina msongo wa mawazo hata chembe ila mkileta upumbavu wenu wa kuchonga IDs chungu nzima ili kuingia hapa kuvuruga mijadala muhimu kurusha matusi ya nguoni, kejeli na kashfa ili kupotosha ukweli kuhusu wizi huu mkubwa wa bilioni 200 ambao umewafanya Wafadhili kugoma kutoa shilingi Trilioni moja katika mwaka wa bajeti 2014/2015 lazima muambiwe kweli. Wote mnaopotosha wizi huu IDs zenu hazina hata miezi mitatu hapa kazi yenu ni kutetea wizi wa mafisadi huku nchi ikikosa maendeleo ya kweli. Mnaanza kurusha matusi halafu kibao kikigeuzwa kwenu mnaanza kulia kulia mxciuuuuu.

aibu hii, huna lugha nyingine zaidi ya matusi?, kweli Mod anakulinda vya kutosha, ndoa yenu na Mod idumuuuuu
 
Naona fisadi mama Tibaijuka umeshaibuka na ID nyingine. Sina msongo wa mawazo hata chembe ila mkileta upumbavu wenu wa kuchonga IDs chungu nzima ili kuingia hapa kuvuruga mijadala muhimu kurusha matusi ya nguoni, kejeli na kashfa ili kupotosha ukweli kuhusu wizi huu mkubwa wa bilioni 200 ambao umewafanya Wafadhili kutoa shilingi Trilioni moja katika mwaka wa bajeti 2014/2015 lazima muambiwe kweli. Wote mnaopotosha wizi huu IDs zenu hazina hata miezi mitatu hapa kazi yenu ni kutetea wizi wa mafisadi huku nchi ikikosa maendeleo ya kweli. Mnaanza kurusha matusi halafu kibao kikigeuza kwenu mnaanza kulia kulia mxciuuuuu.

Na sijui hili pengo la trilioni moja litaathiri wapi?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Naona fisadi mama Tibaijuka umeshaibuka na ID nyingine. Sina msongo wa mawazo hata chembe ila mkileta upumbavu wenu wa kuchonga IDs chungu nzima ili kuingia hapa kuvuruga mijadala muhimu kurusha matusi ya nguoni, kejeli na kashfa ili kupotosha ukweli kuhusu wizi huu mkubwa wa bilioni 200 ambao umewafanya Wafadhili kugoma kutoa shilingi Trilioni moja katika mwaka wa bajeti 2014/2015 lazima muambiwe kweli. Wote mnaopotosha wizi huu IDs zenu hazina hata miezi mitatu hapa kazi yenu ni kutetea wizi wa mafisadi huku nchi ikikosa maendeleo ya kweli. Mnaanza kurusha matusi halafu kibao kikigeuzwa kwenu mnaanza kulia kulia mxciuuuuu.

Naona mkuu bak umerudi na jazima mi nakuomba upunguze jazba then tubishane kwa fact!!!!
Aya sasa niambie kunaufisadi gani waliofanya iptl mpaka mama tibaijua akaibuka na ids mpya?
Alafu nilikuwa nakuchukulia kama great thinker kumbe na wewe ni kiraza namna hiyo duu pole sana mkuu!!!
Yan kumbe inchi inategemea msaada kutoka kwa wahisan ?
kweli watz ndo tumefika mwisho wa ku creat our own things ila any way ndo tulivyo wabongo
Nakukumbusha mkuu amna mtuu anayetetea wizi ila tunaangalia hoja za kila upande ndomaana kila mtu anachagua upande wa kuegemea.
Kwa upande wangu naamin moja kwa moja mkuu kafulila anatumika vibaya na maboc zake walio nyimwa tenda na tanesco na ndoma maana anajaribu kuiweka hii issue kwa mtindo wa kiumma ili apate sapot ya umma ila ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba amna kesi hapo kafulila anatafuta kwa kufia tu
Kwanza nashangaa kwa nini yupo pake yake inamaana ata UKAWA wamempotezea au kuna kitu nyuma ya pazi
Mmmmmmmhhhhhhhh tuone lakin
 
Na sijui hili pengo la trilioni moja litaathiri wapi?

Mkuu man tushakuzoea hunaga hoja za mashiko za kushawishi watu ili wakusapot
Wewe kazi yako ni kufoc watu wawe upande wako na c lingine
umeishiwa mkuu cku hizi huna hoja
 
Do I care about your opinion whether I am a great thinker? No I don't....rudi shule kwanza ukajifunze namna ya kuandika. Katika lugha ya Kiswahili hakuna neno kiraza sijui ulitaka kuandika kihaya!? Unapoteza muda chungu nzima hapa kutetea wizi wenu wakati muda huu ungeweza kuutumia kujiendeleza ili kufahamu hata maneno ya msingi na jinsi yanavyoandikwa. Rais mtarajiwa 2014 mama fisadi Tibaijuka.

Naona mkuu bak umerudi na jazima mi nakuomba upunguze jazba then tubishane kwa fact!!!!
Aya sasa niambie kunaufisadi gani waliofanya iptl mpaka mama tibaijua akaibuka na ids mpya?
Alafu nilikuwa nakuchukulia kama great thinker kumbe na wewe ni kiraza namna hiyo duu pole sana mkuu!!!
Yan kumbe inchi inategemea msaada kutoka kwa wahisan ?
kweli watz ndo tumefika mwisho wa ku creat our own things ila any way ndo tulivyo wabongo
Nakukumbusha mkuu amna mtuu anayetetea wizi ila tunaangalia hoja za kila upande ndomaana kila mtu anachagua upande wa kuegemea.
Kwa upande wangu naamin moja kwa moja mkuu kafulila anatumika vibaya na maboc zake walio nyimwa tenda na tanesco na ndoma maana anajaribu kuiweka hii issue kwa mtindo wa kiumma ili apate sapot ya umma ila ukweli utabaki kuwa ukweli kwamba amna kesi hapo kafulila anatafuta kwa kufia tu
Kwanza nashangaa kwa nini yupo pake yake inamaana ata UKAWA wamempotezea au kuna kitu nyuma ya pazi
Mmmmmmmhhhhhhhh tuone lakin
 
Mkuu Mani Hizo pesa ni bora tu wasizitoe maana kuna wizi mtakatifu utakaofanywa 2015 mkubwa kuliko hata wa EPA na ESCROW combined ili kufinance kampeni za MACCM na wengine kujichukulia pensheni yao mapema na wale vilaza watatu pale wizara ya fedha wizi huo utafanyika kirahisi sana.

Na sijui hili pengo la trilioni moja litaathiri wapi?
 
Do I care about your opinion whether I am a great thinker? No I don't....rudi shule kwanza ukajifunze namna ya kuandika. Katika lugha ya Kiswahili hakuna neno kiraza sijui ulitaka kuandika kihaya!? Unapoteza muda chungu nzima hapa kutetea wizi wenu wakati muda huu ungeweza kuutumia kujiendeleza ili kufahamu hata maneno ya msingi na jinsi yanavyoandikwa. Rais mtarajiwa 2014 mama fisadi Tibaijuka.

Asante mkuu kwa ushauri wako kwanza nimefurai ujanitukana maana uchelewi wewe
Labda nikujuze tu kwa faida yako kiraza ni mtu mbulula that is the meaning na sio kama nimekosea
ila mkuu huo ndo ukweli ukubali ukatae
 
Do I care about your opinion whether I am a great thinker? No I don't....rudi shule kwanza ukajifunze namna ya kuandika. Katika lugha ya Kiswahili hakuna neno kiraza sijui ulitaka kuandika kihaya!? Unapoteza muda chungu nzima hapa kutetea wizi wenu wakati muda huu ungeweza kuutumia kujiendeleza ili kufahamu hata maneno ya msingi na jinsi yanavyoandikwa. Rais mtarajiwa 2014 mama fisadi Tibaijuka.

Even if u do not care is up to wewe
Cha msingi ukweli umeupata
Ntaanza kujifunza kiswahili kama ulivyo nishauri
 
Back
Top Bottom