ukweli ni ukweli hata ukiandikwa kwenye magazeti ya udaku tatizo la wasomi wetu mnanunuliwa na kutumia elimu yenu kama sumu ya kuupotosha umma kuna siku mtajibu mbele za Mungu wakubwa halafu hovyo!
Anayewashabikia wezi ni mwizi halikadhalika tangu mwanzo IPTL ilikuja kimauzauza na gharama zake zilililalamikiwa tangu mwanzo tunahangaika na escrow badala ya kutaka tujulishwe juu ya richmond,EPA ni akina nani ?ambao ni wezi wenye haki mbele ya sheria!mtaendelea kujadili tulikoangukia badala ya tumejikwaa wapi mpaka lini Watanzania?
Anayewashabikia wezi ni mwizi halikadhalika tangu mwanzo IPTL ilikuja kimauzauza na gharama zake zilililalamikiwa tangu mwanzo tunahangaika na escrow badala ya kutaka tujulishwe juu ya richmond,EPA ni akina nani ?ambao ni wezi wenye haki mbele ya sheria!mtaendelea kujadili tulikoangukia badala ya tumejikwaa wapi mpaka lini Watanzania?