jfour
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 242
- 222
Muhongo ajipanga kulipua bomu
Wiki iliyopita (JUMATANO) baada ya kiindi cha maswali na majibu kumalizika, Waziri Muhongo alikuwa akizungumza na baadhi ya wabunge kwenye eneo la viwanja vya Bunge, kwamba anataka kuomba nafasi ya kuzungumza bungeni kabla ya ripoti hiyo kuwasilishwa.
Alisema katika mazungumzo hayo, amepanga kufichua siri kubwa iliyojificha nyuma ya sakata hilo na kutaja majina ya wabunge na watendaji wengine aliodai wamepata mlungula kusukuma ajenda hiyo bungeni.
Wiki iliyopita (JUMATANO) baada ya kiindi cha maswali na majibu kumalizika, Waziri Muhongo alikuwa akizungumza na baadhi ya wabunge kwenye eneo la viwanja vya Bunge, kwamba anataka kuomba nafasi ya kuzungumza bungeni kabla ya ripoti hiyo kuwasilishwa.
Alisema katika mazungumzo hayo, amepanga kufichua siri kubwa iliyojificha nyuma ya sakata hilo na kutaja majina ya wabunge na watendaji wengine aliodai wamepata mlungula kusukuma ajenda hiyo bungeni.