IPTL haponi mtu

IPTL haponi mtu

Muhongo ajipanga kulipua bomu
Wiki iliyopita (JUMATANO) baada ya kiindi cha maswali na majibu kumalizika, Waziri Muhongo alikuwa akizungumza na baadhi ya wabunge kwenye eneo la viwanja vya Bunge, kwamba anataka kuomba nafasi ya kuzungumza bungeni kabla ya ripoti hiyo kuwasilishwa.

Alisema katika mazungumzo hayo, amepanga kufichua siri kubwa iliyojificha nyuma ya sakata hilo na kutaja majina ya wabunge na watendaji wengine aliodai wamepata mlungula kusukuma ajenda hiyo bungeni.
 
Tanzania Daima = CHADEMA
Mtanzania + Mwananchi + Mawio = Lowasa


Umoja wa Ulaya warejea ukoloni mamboleo
¬ Wasimamisha misaada ya maendeleo
¬ Wasaliti washangilia
¬ Serikali yatakiwa kuyashitaki makampuni na mabenki

UMOJA wa Ulaya kwa pamoja na baadhi ya nchi wanachama wake moja moja zimeamua kusitisha au kusimamisha kwa muda utoaji misaada kwa Tanzania kwa madai kwamba haziridhishwi na mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi ndani ya serikali ya Rais Jakaya Mrisho Kikwete.
Nchi zilizotajwa ni Sweden, Finland, Norway, Marekani na Uingereza. Ni katika nchi hizi mabenki na makampuni ambayo kwa namna moja au nyingine yanahusika katika mgogoro wa ufisadi wa IPTL yana makao makuu yake. Na ni katika nchi hizo kwamba makampuni yaliyoko kwenye mgogoro yalifungua kesi mbalimbali na kudai mabilioni ya fedha dhidi ya kampuni ya VIP Engineering and Marketing na serikali ya Tanzania kuhusu mambo mbalimbali yanayohusiana na mradi wa kufua umeme wa IPTL na hasa suala la akaunti ya ESCROW. Kiasi cha dola za kimarekani milioni 125 zilikuwa zimewekwa katika akaunti ya ESCROW iliopo Benki Kuu ya Tanzania (BOT).

Tumemuona Balozi wa Uingereza akiamsha bendera nyekundu kwa madai kwamba anatetea maslahi ya Benki ya Uingereza ambayo eti ilinunua madeni ya IPTL na hivyo inadai fedha zilizokua zimewekwa kwenye Akaunti ya ESCROW.
Kampuni ya IPTL lilikuwepo siku zote na benki ya Standard Chartered inajua matatizo yote ya ufisadi yaliyoibuliwa katika Mahakama mbalimbali pamoja na ripoti za maofisa wafilisi wa muda wa kampuni ya IPTL hapa nchini. Ikitokea kwamba IPTL na washirika wake wakatiwa hatiani, je kwa vipi Standard Chartered itakwepa mashtaka?

Katika nyakati tofauti Mahakama za Kimataifa na mahakama za kawaida katika nchi za Magharibi zimetoa hukumu na maelekezo kwa kampuni zinazoshitakiana. Baadhi ya maelekezo ya mahakama ya New York ni yale yanayosema kwamba kesi nyingine zingelifunguliwa Tanzania kwa sababu mahakama yake ina uwezo wa kusikiliza mashauri hayo.
 
Muhongo ataaibika vibaya sana !

Profesa wa Miamba, miamba inakaribia kumfunika kwa ujahili wake. Alikuwa anajitapa huyu oooo Account ya Escrow sio pesa za Tanesco ni pesa za IPTL sasa tunaambiwa IPTL inadaiwa extra TZS 15 b. Is he serious?
Profesa mchumia tumbo huyooo!!!!!
 
IPTL SAGA: We need legal action: MPs

By Polycarp Machira

23rd November 2014

MbatiaChangia(1).jpg

NCCR-Mageuzi Chairman, James Mbatia

Members of Parliament now demand legal action against those implicated in the IPTL saga, saying it is not enough just to take political responsibilities.

The MPs who talked to The Guardian on Sunday this week observed that those proved to have benefitted from the Sh321bn scandal should be taken to court and charged with the offences.

The IPTL report rekindled memories of the recent past scandals in the country with legislators vowing to unite against those mentioned in the report.

Right from the beginning of the ongoing Parliamentary session, there were clear signs that the IPTL report was given little attention as it was slotted for discussion on the second last day of the parliament meeting.

But, the latest news that the report would be tabled as earlier planned was not only well received by the legislators, but they now want the culprits to be punished severely.

Speaking to this paper in an exclusive interview, the NCCR-Mageuzi Chairman, James Mbatia argued that just mentioning those involved is not the only punishment. They should be taken to court, he added.

He said Tanzania has had several such scandals, with records showing few people have been taken to task after political responsibility of resigning from their positions.

"According to the principle of good governance, such people should be taken to court, forced to pay back public funds they squandered and if possible make them serve jail terms" he said.

According the opposition politician, Tanzania experiences such scandals frequently simply because no serious measures are taken against offenders.

Iringa Urban MP, Peter Msigwa (Chadema) simply said: "We need to have laws that allow such people to be severely dealt with." In countries where there are harsh laws you cannot find a repeat of such scandals, he pointed out.

Mkanyageni MP Mohamed Habib Mnyaa (CUF), expressed similar views, noting that the parliament should enact laws to deal with such scandals.

Besides naming such culprits in Parliament and forcing them to relinquish political positions, they should also be compelled to refund the money, appear before court, charged with economic sabotage.

"The tradition in this country is that such people are forcefully mentioned in parliament and that is the end of the story. If only there could be severe punishment then we would not have a repeat of such scandals.


On his part, Nzega MP Dr Hamis Kigwangalla said he believes more action is needed to deal with corrupt government officials as well as other people found responsible for such vices. "It is true we need to be more serious with graft cases."

There is a possibility of Tegeta Escrow account saga shooting down the government as it happened in 2007 when President Jakaya Kikwete was forced to dissolve the cabinet after former Prime Minister Edward Lowassa resigned due to Richmond scandal.

The Richmond scandal surfaced for the first time in 2006 when the country was engulfed with power crisis , forcing the government to award a tender to Richmond to bring in power generators from abroad for 100 megawatts generation at a cost of Sh172 billion.

As a result, the generators failed to arrive on time, prompting another company- Dowans to step in to rescue the situation.

Opposition MPs smelt a rat before the House set up a Select Committee to investigate the whole saga under the chairmanship of the ruling CCM party's Kyela MP Dr Harrison Mwakyembe.

The committee worked diligently and eventually came up with a 165- page report. Parliamentary findings showed the Prime Minister (Edward Lowasa) in one way or another was involved in awarding the contract to a non-existent US-based company, culminating into his resignation.

EPA Scandal, 2005-2006 ($116 million)
The scandal had to do with fraudulent payment of about Sh133 billion ($116 million) made by the Bank of Tanzania to 22 companies in the 2005/06 financial year involving the repayment of the country's external debt.

After the transactions became wildly known, the President sacked the Central Bank Governor and asked "kindly" those who looted the national treasury to return the money.

A few months later, according to a government pronouncement, nearly half of the money (Sh 60 billion) had mysteriously found its way back into State coffers.

The Attorney General and the Inspector General of Police have refused to disclose the names, pleading for patience because the investigation is still going on. So far, not all monies have been returned, and the government has neither released the names of the culprits nor decided to take any legal actions against them.

Kiwira, Meremeta, other mining related scandals, 2000.

Government officials in the previous administrations had taken advantage of the privatization policies, and privatized national mines to them.

A good example is Kiwira mine, which was privatized to two individuals: the president and his minister for Energy and Natural Resources. Benjamin Mkapa, the president at the time, was rather ‘smart,' registering his shares as AnBen Company; AnBen standing for first names of his wife Ann and himself Benjamin.

The 1999 28 million pounds BAE Security Radar Scandal
Tanzania government agreed to buy over-priced radar, which at the moment it cannot maintain. It came to be known later that more than a third of the total purchasing price was paid to a middleman of British citizenship to secure the contract.

Also, based on Interpol report, one government minister had siphoned more than £1m to his bank account in Jersey, UK. After much international legal actions, BAE was ordered by court to pay £30m to Tanzanian government.

SOURCE: GUARDIAN ON SUNDAY

 
Back
Top Bottom