IPTL haponi mtu

IPTL haponi mtu

Tunaweza kujitoa akili tukidhani hili suala ni la kisiasa lakini mazingira yanaonyesha kulikua na ukiukaji wa sheria juu ya kuzitoa hela pale BOT na sheria za kuhamisha umiliki wa mali, lakini pia tusubiri tujue kwani suala walipewa PCCB na CAG kufanya uchunguzi, kwa yote yatakayo jitokeza wote walio upande wa akina Kafulila na walioko upande wa IPTL wajiandae kisaikilojia
 
Bavicha ndiyo shida yenu hujui kitu juu ya hili unarukia tu.
Ni shidaaaa... wewe ndio hujui kitu, CAG katoa ripoti halafu waziri anataka nafasi ya kuzungumza kabla ya ripoti kusomwa..! kuna ubavicha hapa au hoja? Umezidisha mapenzi wewe kwa ccm yako hata wanao ifaidi hawako hivyo..
 
Hivi watu kulipwa hela zao tatizo? IPTL wamezalisha umeme Tanesco wamenunuwa umemo huo na kuutumia na wameuza kwetu sisi. Kulikua na malalamishi kuwa charges wanazotozwa ni kubwa hivyo wakagoma kulipa. Tanesco walifungua kesi kuangalia upya mkataba na kesi imeeisha na Tanesco wameshindwa .

Makosa ya wao Tanesco kukubali mkataba wenye charges za juu hivyo walishindwa. Pia kulikua na mgogoro wa wana hisa kuhusu IPTL ilofanya fedha hizo zizuiwe kulipwa wenyewe hadi watapo maliza mgogoro wao. IPTL wamemaliza tofauti zao na BOT ikaamrishwa iwalipe sasa kashfa iko wapi.

Labda kama Tanzania tumezoea kutoheshimu mikataba na wawekezaji hasa kama sio kutoka nchi za magharibi. Ilokua sakata la Richmond yalikua kama haya na kilicho fata ni yule mwarabu wa Oman alijua kasumba za wabongo alipotaka kuwauzia ile mitambo Tanesco kina Mwakyembe wakasema labda on my dead body .

Alipotaka kuisafirisha nje TRA wakatiwa maneno ...Mwarabu akajua hawa adabu yao Wamarekani . Basi ile mitambo ikauzwa kwa kampuni ya Marekani na ipo na sasa tunanunua umeme bukheeeri kabisa na mwarabu akachukua hela yake na huku Tanesco wakishindwa kesi ya kimataifa na ndani na kulazimishwa kulipa malipo wanayo daiwa na Dowans.

Na hili la IPTL lipo kama hilo isipikua ccm hawana msimamo na huwa hawana uwexo wa kukabiliana na malumbano na wenyewe wapo weak huingia mtegoni.

Eee bwana taarifa yako haisaidii wakati huu. Tutulie ripoti ya cag/takukuru zisomwe bungeni. Wacha chakula kipakuliwe. Kama kimeiva au kibichi kitaeleweka.
 
nimemshangaa sana prof. muhongo kwenye sakata hili. kumbe naye ni mpuuzi tu kama walivyo wapuuzi wenzake akina maswi.
Big pole kwa mzee pinda.
 
ni shidaaaa... Wewe ndio huji kitu, cag katoa ripoti halafu waziri anataka nafasi ya kuzungumza kabla ya ripoti kusomwa..! Kuna ubavicha hapa au hoja? Umezidisha mapenzi wewe kwa ccm yako hata wanao ifaidi hawako hivyo..

mwisho wa yote yaliyokwishazungumzwa huhusu fedha hizi za escow ni hiyo tr. 27 zitekapowekwa wazi taarifa za takukuru na mkaguzi mkuu. Naona kitakuwepo kilio cha Kafulila na wengine itakaposemwa hakuna hela iliyogawanwa kama yalivyo madai yao. Wote hao ni wateule wa raisi wa chama kilichopo madarakani na hawezi kwenda kinyume na matakwa ya serikali. Kitakachoonekana ni ni ukwepaji wa kulipia mapato tra na wataagizwa kulipia. Ccm na serikali yake ndio wanaozipokea na kuzisoma hizo taarifa kabla ya kufikishwa bungeni. Kwa vyovyote vile hawawezi kukubali kadhia yoyote kipindi hiki cha kuelekea kwenye uchaguzi mkuu.
 
Before nlikuwa najua kama scenario ndio hii but after all the issue yakina Tibaijuka kusema wamewekewa pesa with no reason from BOT na ilikuwa inahusu mshiko wa IPTL that imeleta a lot of questions

Ila nikukumbushe tu hakuna mahala hukumu ya Jaji ilitaka Tanesco ilipe hizo hela kwa PAP..hukumu ilikuwa stranded na haikutoa maelekezo yeyote..huko kugawana hela za ESCROW account ni maelekezo ya mabwanyenye wachache na sasa wataibeba fedheha na umero waao..Yaani unakuwa huna aibu na kula rushwa kisa ni mfumo wa Chama na Serikali..kwelii!!!
 
Ila nikukumbushe tu hakuna mahala hukumu ya Jaji ilitaka Tanesco ilipe hizo hela kwa PAP..hukumu ilikuwa stranded na haikutoa maelekezo yeyote..huko kugawana hela za ESCROW account ni maelekezo ya mabwanyenye wachache na sasa wataibeba fedheha na umero waao..Yaani unakuwa huna aibu na kula rushwa kisa ni mfumo wa Chama na Serikali..kwelii!!!

One thing..hii pesa iliekwa kwa makubaliano ya Tanesco na IPTL till walisolve matatizo yao ama iliwekwa ikiwa chini ya uwangalizi wa mahakama? kingine how tanesco wali report kwenye vitabu vyao kuhusu hii pesa?..kwa maelezo ya governor hii account ilikuwa managed na IPTL and Tanesco and pande hizi ndio zilikubaliana zenyewe kufungua hii account till matatizo yawe resolved..
 
09112014.jpg
 
Ningewaona wa maana kama wangesema wanakwenda mahakamani kukata rufaa make suala hili limeamuliwa na mahakama kuu.

Na wewe si unahusika

embu nijibu haya maswali kwanini hizi hela zitolewe kipindi na karibia na uchaguzi mkuu?

na kama utakuwa na kumbu kumbu vizuri zile hela za EPA pia zilitolewa kipindi gani?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe mtoto wa juzi tuu hata naniliiiu bado haijakutoka... Unanini unachojua zaidi ya kukimbiza mwenge wa ccm
chamviga
bavicha ndiyo shida yenu hujui kitu juu ya hili unarukia tu.
 
Last edited by a moderator:
Hivi watu kulipwa hela zao tatizo? IPTL wamezalisha umeme Tanesco wamenunuwa umemo huo na kuutumia na wameuza kwetu sisi. Kulikua na malalamishi kuwa charges wanazotozwa ni kubwa hivyo wakagoma kulipa. Tanesco walifungua kesi kuangalia upya mkataba na kesi imeeisha na Tanesco wameshindwa .

Makosa ya wao Tanesco kukubali mkataba wenye charges za juu hivyo walishindwa. Pia kulikua na mgogoro wa wana hisa kuhusu IPTL ilofanya fedha hizo zizuiwe kulipwa wenyewe hadi watapo maliza mgogoro wao. IPTL wamemaliza tofauti zao na BOT ikaamrishwa iwalipe sasa kashfa iko wapi.

Labda kama Tanzania tumezoea kutoheshimu mikataba na wawekezaji hasa kama sio kutoka nchi za magharibi. Ilokua sakata la Richmond yalikua kama haya na kilicho fata ni yule mwarabu wa Oman alijua kasumba za wabongo alipotaka kuwauzia ile mitambo Tanesco kina Mwakyembe wakasema labda on my dead body .

Alipotaka kuisafirisha nje TRA wakatiwa maneno ...Mwarabu akajua hawa adabu yao Wamarekani . Basi ile mitambo ikauzwa kwa kampuni ya Marekani na ipo na sasa tunanunua umeme bukheeeri kabisa na mwarabu akachukua hela yake na huku Tanesco wakishindwa kesi ya kimataifa na ndani na kulazimishwa kulipa malipo wanayo daiwa na Dowans.

Na hili la IPTL lipo kama hilo isipikua ccm hawana msimamo na huwa hawana uwexo wa kukabiliana na malumbano na wenyewe wapo weak huingia mtegoni.

Pavukapo moshi, kuna moto
 
Naipenda sana nchi yangu Tanzania. Wanapenda sana viongozi wake na wananchi wake. CCM oyeeeeeeeeeeeeee
 
Mwanzoni wengi mliona kama Kafulila ni mwehu. Leo bado mnataka kuwapa nafasi waliotuhumiwa kujaribu kusafisha hali ya hewa. Muhongo, Maswi na Werema kama serikali yetu ingekuwa inawajibika kwa wananchi ilibidi sasa hivi wawe sio tu wameondolewa katika nafasi zao, bali wawe wamewekwa ndani mpaka itakapothibitika tofauti.
 
Mwanzoni wengi mliona kama Kafulila ni mwehu. Leo bado mnataka kuwapa nafasi waliotuhumiwa kujaribu kusafisha hali ya hewa. Muhongo, Maswi na Werema kama serikali yetu ingekuwa inawajibika kwa wananchi ilibidi sasa hivi wawe sio tu wameondolewa katika nafasi zao, bali wawe wamewekwa ndani mpaka itakapothibitika tofauti.

Tatizo wakurya wana kiburi sana acha wanyonywe macho.hii issue ni kubwa kuliko, iko in diversity.walioambiwa wauza juice na maji wanafuatilia kwa karibu, walioitwa ngedere wako buzzy kuhakikisha Mtu mzima anakaushwa,ukawa wako makini.Rais mtarajiwa aliyedhalilishwa na sitta yuko gado.kwa ujumla wananchi tukae mkao wa kusulubu majambazi, kwani yamezungukwa na sungusungu hayachomoki ng,oooo.wanajifanya wagonjwa watasubiriwa wapone waje kikaaaaaaangoni
 
Hivi kwanini unatetea wezi? Hata kama kwa kiasi flani unanufaika na hii stystem ya mavampire lkn umezidi aisee.
Mwizi ni zito mkono na waingereza wake siku moja utaujua ukweli utamzarau sana zitto jamaa mla rushwa balaa hafai hata kuwepo kwenye nchi ni mwizi hasa.
 
Back
Top Bottom