IPP punguzeni udini

IPP punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Tunakoelekea tutakua na hospital za dini pia..
 
i like white folks......black do not apply.......,Irish do not apply.......
 
Yule mzee udini umekalia kooni akiona Jina Jose unakosa kazi

Hata alipoona jina la Tido Muhando, Charles, Ivona Kamuntu, Suzan na wengine pia aliwakosesha kazi, tena kibaya zaidi akawapa kazi za utawala wa juu... mna matatizo sana ndugu zetu wa upande wa kushoto (Shimali). Mlilalamika sana kuhusu Dau na udini pale NSSF mkafanya mpaka na statistics kujua waislam wangapi na wakirisito wangapi ! MATOKEO MPAKA LEO MMEYAKALIA mligundua nini kwani mpaka MSIYATOE TUONE MALALAMIKO YENU?

Ukienda BOT, CRDB IPP NA SEHEMU LUKUKI wenzetu wapo wengi, lakini wakizidi waislam kwenye kampuni fulani basi imekuwa wadini KWANI MNA NINI ENYI WAKIRISITO WA NCHI HII? hamuoni kwengine kukijaza wakirisito ila waislam wakijaa sehemu basi ni udini MNATAKA WAISLAM WAENDE WAPI NYIE VIUMBE !!!! HII NCHI NI YETU SOTE !!!!
 
Hapa naona muendelezo wa mnyukano kati ya Azam na IPP......tehteehh
 
Hata alipoona jina la Tido Muhando, Charles, Ivona Kamuntu, Suzan na wengine pia aliwakosesha kazi, tena kibaya zaidi akawapa kazi za utawala wa juu... mna matatizo sana ndugu zetu wa upande wa kushoto (Shimali). Mlilalamika sana kuhusu Dau na udini pale NSSF mkafanya mpaka na statistics kujua waislam wangapi na wakirisito wangapi ! MATOKEO MPAKA LEO MMEYAKALIA mligundua nini kwani mpaka MSIYATOE TUONE MALALAMIKO YENU?

Ukienda BOT, CRDB IPP NA SEHEMU LUKUKI wenzetu wapo wengi, lakini wakizidi waislam kwenye kampuni fulani basi imekuwa wadini KWANI MNA NINI ENYI WAKIRISITO WA NCHI HII? hamuoni kwengine kukijaza wakirisito ila waislam wakijaa sehemu basi ni udini MNATAKA WAISLAM WAENDE WAPI NYIE VIUMBE !!!! HII NCHI NI YETU SOTE !!!!
Mkuu Tumesema Waislam wameajiriwa 99% na wakristo Ni 1%

Hao uliowataja wanawakilisha asilimia moja tu

Mwambieni hata makafiri Ni wateja wa bidhaa zake
 
Ila hii tabia ya udini kwa Tanzania ipo sana sema haimulikwi ipasavyo tu, hasa haya mashirika yasiyo ya kiserikal ndio balaa....kuna classmate wangu mmoja wa kike aliwahi kupata kaz SAVE THE CHILDREN mkoa wa Lindi yaan ilikua ni shidaaa..yeye kwa uvaaji anapenda sana kuvaa hijab bas walikua wanamshangaa kawezaje kupata kaz pale kwa namna anavyojiweka. Ofisi nzima alika mwislam peke yake na wanasema kwa ofisi ile yeye ndio wa kwanza.
Mimi mwenyew kuna shirika moja lisilo la kiserikal (jina kapuni) niliwah kufanya kaz liko mikochen, yaan mtu akiniuliza jina nikimtajia anashangaa na kuuliza ww ni muislam nikimjib ndio ananiuliza una ndugu yko boss huko juu ukisema hapana wanabak wanaangaliana tu. Kwa namna fulan tuachen hiz mambo znaondoa sana moral miongon mwa wanadam sisi.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom