IPP punguzeni udini

IPP punguzeni udini

Status
Not open for further replies.
Inasikitisha sana mkuu

Mtu unasifa zote ila kwa kuwa wewe siyo Muhammad unakosa kazi

Sasa najiuliza Tanzania inaenda wapi hii
Yaani lazima uvae suruali fupi, mzuzu, au kanzu.
Niliwahi kupata bahati ya kukagua mashine zao kwa muda, yaani wote ni sala tano, tena wale imani kali wote
 
Rafiki yangu ambaye ni muislam alinambia hiyo kitu ipo sana. Kazi ambazo ni professional zina afadhali wakristo wanaweza pata. Tatizo liko nafasi za chini ambazo hazihitaki elimu kubwa, Huko jina lako ndo linakupa kazi.
Bora umesema mkuu makafiri tunadharaulika sana mbele ya makampuni ya ndugu zetu Waislam
Kula kafiri anaajiriwa km kakosekana mwenye sifa upande wao
 
Hakuna habari nisizo zipenda JF kama za migongano ya kidini. Hili ni bomu la akiba la wazungu ambalo wamelitegesha kwetu. Siku wakitaka kutulipua watakachofanya ni kumtengeneza mtu akaenda kilipua ama nyumba ya ibada au rasilimali ya dini yoyote halafu inaundwa mitandao na inatangazwa kwa nguvu sana kua huyo kafanya hivyo kwa kua anaichukia dini husika. Kitakachofuata ni wafuasi wa dini iliyoshambuliwa kulipiza kisasi kwa maneno na vitendo. Mungu atunusuru

Kuja kwa thread hizi, ile ya alexielias kuhusu udini kwenye kampuni ya Bakhresa na hii ya byembalilwa kuhusu udini IPP ni mifano halisi na naona ni mkakati wa kuwamisha watu kutoka kwenye ajenda flani sijui ya tarehe ngapi mwezi wa nne(japo siiungi mkono) waanze kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, na kupitia dini mkakati utafanikiwa
 
Labda vyerehani
ndo tatizo la watanzania.
kukalia majungu.
wakati yeye hata MTU mmoja hajamuhajiri.
anahangaika na hali yake..
Ulimsaidia kuanzisha kiwanda mpaka umkosoe aajiri vipi?
 
Hakuna habari nisizo zipenda JF kama za migongano ya kidini. Hili ni bomu la akiba la wazungu ambalo wamelitegesha kwetu. Siku wakitaka kutulipua watakachofanya ni kumtengeneza mtu akaenda kilipua ama nyumba ya ibada au rasilimali ya dini yoyote halafu inaundwa mitandao na inatangazwa kwa nguvu sana kua huyo kafanya hivyo kwa kua anaichukia dini husika. Kitakachofuata ni wafuasi wa dini iliyoshambuliwa kulipiza kisasi kwa maneno na vitendo. Mungu atunusuru

Kuja kwa thread hizi, ile ya alexielias kuhusu udini kwenye kampuni ya Bakhresa na hii ya byembalilwa kuhusu udini IPP ni mifano halisi na naona ni mkakati wa kuwamisha watu kutoka kwenye ajenda flani sijui ya tarehe ngapi mwezi wa nne(japo siiungi mkono) waanze kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, na kupitia dini mkakati utafanikiwa
ikija ya upande unaokuhusu unapaniki sana mkuu tuvumiliane tumalize tatizo wenzetu wanailalamikia sana IPP
 
Najua wengi mnafahamu hizi kampuni zinazosimamiwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Dr. Mengi, hii kampuni kwa waislam na wasabato kupata kazi ni vigumu sana iwe hata kazi ndogo ndogo. Imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi.

Kumbukeni vituo na magezeti yenu wateja wake ni wa dini zote
WE JAMAA MUONGO WEWE MIMI NILIFIKIRI UNASEMA IPP IMEWAPENDELEA WAISLAMU KUMBE UNASEMA KINYUME CHAKE? EMBU FUATILIA VIZURI ACHA LAWAMA ZA KIJINGA LABDA UNAONGELEA AZAM AMBAKO NDIO KUNA HIYO KITU
 
ikija ya upande unaokuhusu unapaniki sana mkuu tuvumiliane tumalize tatizo wenzetu wanailalamikia sana IPP
Ndio hicho ninachokisema, kwenye thread kama hizi hutapata mawazo neutral! Lazima kila mtu anakuja kuvutia upande wake na mwisho wake ni kutukaniana dini zenu na viongozi wenu wa dini
 
WE JAMAA MUONGO WEWE MIMI NILIFIKIRI UNASEMA IPP IMEWAPENDELEA WAISLAMU KUMBE UNASEMA KINYUME CHAKE? EMBU FUATILIA VIZURI ACHA LAWAMA ZA KIJINGA LABDA UNAONGELEA AZAM AMBAKO NDIO KUNA HIYO KITU
Wewe uliyefatilia si uweke hiyo idadi hapa tuone hicho unachotetea.
Tatizo lenu unafiki unawasumbua, mkionyeshwa rangi zenu halisi mnahamisha magoli.
 
. Imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi.

Kumbukeni vituo na magezeti yenu wateja wake ni wa dini zote
Ushungi akavalie nyumbani tu hamna namna
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom