IPP punguzeni udini

IPP punguzeni udini

Status
Not open for further replies.

byembalilwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2012
Posts
2,066
Reaction score
951
Najua wengi mnafahamu hizi kampuni zinazosimamiwa na Mwenyekiti wake ambaye ni Dr. Mengi, hii kampuni kwa waislam na wasabato kupata kazi ni vigumu sana iwe hata kazi ndogo ndogo. Imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi.

Kumbukeni vituo na magezeti yenu wateja wake ni wa dini zote
 
Najua wengi mnafaham hizi kampuni zinazosimamiwa na Mwenyekiti wake ambaye ni DR.Mengi ,hii kampuni kwa waislam na wasabato kupata kazi ni vigum sana iwe hata kazi ndogo ndogo.
imefikia hatua hata ukipata kwa bahati mbaya kama ni binti wa kiislam haurusiwi kuvaa ushungi..kumbukeni vituo na magezeti yenu wateja wake ni wa dini zote
Kwa mengi mngesema ukabila ningewaelewa ila kwenye udini sidhani ila ukabila nauona kwa mbali
 
Hivi nyie watu hizi tafiti za kufahamu dini za watu huwa mnafanyia wapi?!
 
Hii vita inakoelekea sio kuzuri.. mlianza na azam mkajaa Mo sasa itv
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom