ipo siku nitampiga makofi wife akiwa anasali

Inawezekana akawa hana mke huyu ila anajisikia tu kuanzisha Thread.
 
Mshukuru Mungu kwa kuwa anakupenda hata anamwomba Muumba ili ubadilike familia iwe imara.
 
Nionacho hapa ni mwanaume mhafidhina asiyejua nini maana ya kuwa mume...

Hakika unahitaji maombi zaidi...maana sina uhakika kama unaamini katika Mungu wewe...
 
et tukikosana
anapofanya maombi ili alale anaanza kunitaja kwenye maombi yake mfano
dk 5 zilizopita ndio narudi home nimechelewa anasali na mwanetu et mungu
mponye na mme wangu pepo la kuchelewa home mbadilishe .ina niboa kila
siku namwambia.ngoja

cha ajabu wewe ndio utapigwa kofi na Mungu! Na kofi la Mungu ni baya sana unaweza usiinuke mpk siku ya ufufuo!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom