Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,442
- 25,589
Nimebaki nacheka tu mwenyewe...
Aisee nimecheka ile mbaya mkuu!! usimchape makofi shemeji yetu ongea nae tu vizuri atakuelewa.
Umeonaeeee!nimeamini hilo jina haliwezi kutunza siri
Usifanye hivo mkuu. Kisasi cha Mungu ni kibaya sana. Wewe kama sio muumini bora ukapiga kimya tu.
inaudhi labda hujui je ungekuwa ww ?
Inawezekana akawa hana mke huyu ila anajisikia tu kuanzisha Thread.
kwani hawezi niambia kwa maelezo ya kawaida mpaka anishtak kwa mungu mean anani laan au vp?
...Kwa Jina la Yesu, Kwa Jina la Yesu
...uwe unarudi nyumbani mapema..., kuanzia sasa tufunga pepo la kuchelewa kurudi nyumbani
Nimebaki nacheka tu mwenyewe...
Nomaaaaaaaaaaaaaaaa Mama anajaribu kukuombea hutaki una matatizo yako
et tukikosana
anapofanya maombi ili alale anaanza kunitaja kwenye maombi yake mfano
dk 5 zilizopita ndio narudi home nimechelewa anasali na mwanetu et mungu
mponye na mme wangu pepo la kuchelewa home mbadilishe .ina niboa kila
siku namwambia.ngoja
Ha haaaaaa.....niishie tu kucheka jamani,,
kwani hawezi niambia kwa maelezo ya kawaida mpaka anishtak kwa mungu mean anani laan au vp?