Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,253
Hata kama siyo kwa sasa ila ipo siku CHADEMA itashika dola tu hizi facts za kweli, CHADEMA ni chama ambaco kimeonyesha upinzani wa kweli, vyama vingine vinazaliwa, kudhoofika na kufa lakini CHADEMA kipo tu pamoja na fitna zote.
CHADEMA hakijafanya hata mikutano ya ndani acha mikutano ya nje kwa miaka 5 lakini bado kipo na nguvu sana.
Inanyanyaswa na jeshi la polisi, kutekwa, uhuni wa kila aina wenye mkono wa CCM ila bado kipo hata kisiposimamisha mgombea,ni ukweli mchungu CCM haiwezi kutawala milele na mbadala utakuwa chadema watake wasitake.
CHADEMA kipo tu, leo hii ukizungumzia upinzani unazungumzia CHADEMA, sasa mtaikwepa vipi na mtaendelea na uhuni hadi lini?
CHADEMA hakijafanya hata mikutano ya ndani acha mikutano ya nje kwa miaka 5 lakini bado kipo na nguvu sana.
Inanyanyaswa na jeshi la polisi, kutekwa, uhuni wa kila aina wenye mkono wa CCM ila bado kipo hata kisiposimamisha mgombea,ni ukweli mchungu CCM haiwezi kutawala milele na mbadala utakuwa chadema watake wasitake.
CHADEMA kipo tu, leo hii ukizungumzia upinzani unazungumzia CHADEMA, sasa mtaikwepa vipi na mtaendelea na uhuni hadi lini?