cutelove
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 3,317
- 7,509
Hiki kitu kipo wazi,vijana tuliozaliwa kuanzia miaka ya 1990s asilimia 85 hawaikubali ccm hata kidogo
Wachache sana wanajitutumua kwa sababu ya wazazi wao wana maslahi ndani ya ccm
Ila kinachotuangusha tu ni kutopiga kura,ila amini usiamini asilimia 85 ya vijana wa Tanzania 1990 tunapenda vyama vya upinzani tena CHADEMA
Vijana ni hazina CHADEMA msiogope,tupo imara Musoma mpaka Songea,Kigoma mpaka Dar,Tanga mpaka Sumbawanga
Pamoja na mitihani yote ambayo CHADEMA wanapitia kwa sasa lakini amini usiami, mikutano mitatu ya vyama vya siasa ikaitishwa kwa muda mmoja mjini Kahama yaani CCM mtaa mwingine,NCCR Mtaa mwingine na CHADEMA mtaa mwingine
Hakika CHADEMA kitajaza,tena vijana imani yao ipo CHADEMA ,hiki chama hakiwezi kufa leo hata vijana wa Chato wanalijua hilo
Viongozi wa CHADEMA tambua hazina yenu ipo kwa vijana 1990s sekondari mpaka vyuo vikuu,wekezeni kwa hawa vijana na toeni elimu ya kupiga kura,amini usiamini hawa vijana wanaweza wakaleta mapinduzi makubwa kwenye hii nchi kupitia Sanduku la kura au Demonstrations kama hakuna haki
Hongera shule za kata
CCM kimebaki chama cha wazee
Wachache sana wanajitutumua kwa sababu ya wazazi wao wana maslahi ndani ya ccm
Ila kinachotuangusha tu ni kutopiga kura,ila amini usiamini asilimia 85 ya vijana wa Tanzania 1990 tunapenda vyama vya upinzani tena CHADEMA
Vijana ni hazina CHADEMA msiogope,tupo imara Musoma mpaka Songea,Kigoma mpaka Dar,Tanga mpaka Sumbawanga
Pamoja na mitihani yote ambayo CHADEMA wanapitia kwa sasa lakini amini usiami, mikutano mitatu ya vyama vya siasa ikaitishwa kwa muda mmoja mjini Kahama yaani CCM mtaa mwingine,NCCR Mtaa mwingine na CHADEMA mtaa mwingine
Hakika CHADEMA kitajaza,tena vijana imani yao ipo CHADEMA ,hiki chama hakiwezi kufa leo hata vijana wa Chato wanalijua hilo
Viongozi wa CHADEMA tambua hazina yenu ipo kwa vijana 1990s sekondari mpaka vyuo vikuu,wekezeni kwa hawa vijana na toeni elimu ya kupiga kura,amini usiamini hawa vijana wanaweza wakaleta mapinduzi makubwa kwenye hii nchi kupitia Sanduku la kura au Demonstrations kama hakuna haki
Hongera shule za kata
CCM kimebaki chama cha wazee