kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 13,945
- 15,732
Kwa tabia ya waliyojijengea Chadema ya kutaka kujifanya wanavunja sheria,halafu wanasubiri huruma ya wananchi.
Ipo siku wataladhimisha kuingia ikulu kwa nguvu kwa kuwa tu watakapodhibitiwa walie kuwa wanaonewa na demokrasia inaminywa ,vyama vya upinzani vinabanwa,
wasipodhibitiwa kama vile kule magereza.
Ipo siku watataka kuingia kambi ya jeshi kwenda kucheza ngoma,
tena kwa akili za wafuasi wao wanao ombea nchi ipate ugonjwa wa corona ili wapate mada za kuandika,
Chadema wanajua gerezani si sehemu ya kufanya mchezo wala kupiga picha za selfie ni sehemu yenye ulinzi mkali.
Tumeona kile walichokitafuta ndicho walichokipata, tuwape neno Chadema epukeni kuingilia na kuvuka mipaka na kutaka kuwapangia watu majukumu yao,
haswa haya majeshi.
Kuvunjika mkono sio mara ya kwanza hata mzee lipumba alivunjwa na dunia haikusimama shughuli ziliendelea mpaka leo.
Tuwapongeze jeshi la magereza kwa kufanya kazi zao kwa uweledi mkubwa!
Ipo siku wataladhimisha kuingia ikulu kwa nguvu kwa kuwa tu watakapodhibitiwa walie kuwa wanaonewa na demokrasia inaminywa ,vyama vya upinzani vinabanwa,
wasipodhibitiwa kama vile kule magereza.
Ipo siku watataka kuingia kambi ya jeshi kwenda kucheza ngoma,
tena kwa akili za wafuasi wao wanao ombea nchi ipate ugonjwa wa corona ili wapate mada za kuandika,
Chadema wanajua gerezani si sehemu ya kufanya mchezo wala kupiga picha za selfie ni sehemu yenye ulinzi mkali.
Tumeona kile walichokitafuta ndicho walichokipata, tuwape neno Chadema epukeni kuingilia na kuvuka mipaka na kutaka kuwapangia watu majukumu yao,
haswa haya majeshi.
Kuvunjika mkono sio mara ya kwanza hata mzee lipumba alivunjwa na dunia haikusimama shughuli ziliendelea mpaka leo.
Tuwapongeze jeshi la magereza kwa kufanya kazi zao kwa uweledi mkubwa!