Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,237
- 4,051
Watu kama Adolf, JPM, Putin, Cuba na China huwa hawaamini katika democracy hasa linapokuja suala la kuongoza mamilioni.
Ni lazima only selected people the elite ndio wawe na sauti.
SIMAI , anakosa nidham mbele ya Rais, kitendo cha kujibu hotuba ya Rais Leo , ninajiuliza huyu alikuwaje waziri, vetting alifanyiwa vizuri kweli, ?
Alifundishwa miiko ya utumishi wa umma?
Something is wrong , really wrong kuanzia kwenye uteuzi wake hadi kuwa waziri.
Rais Dr Mwinyi, nashauri usimjibu bali mfanye mfano kimyamya.
kumbuka usia wa JPM
kwako.
alikuasa punguza upole. Kiongozi lazima awe mpole lakini pia awe dictator pale inapobidi otherwise huyu mzee atavuruga amani ya Zanzibar na atafanya mamlaka ya Rais Znz ionekane sio kitu, lazima ufanye mfano kama Putin ili asitokee mwingine mwenye sifa kama hizo.
Achukuliwe kadi yetu pendwa ya CCM
Achukuliwe passport yake
Akaunti Zake zichunguzwe na pesa ziwe freeze
Nyumba yake ifanyiwe inspection , usikute ana hela na anaficha ndani , huenda hata akawa anafuga magaidi
Asitoke nje ya Znz
Special force iundwe afuatiliwe kila anapoenda ijulikane na anaonana na nani, na kwa lengo gani
kuna kitu hakipo sawa Mh Rais
Ni lazima only selected people the elite ndio wawe na sauti.
SIMAI , anakosa nidham mbele ya Rais, kitendo cha kujibu hotuba ya Rais Leo , ninajiuliza huyu alikuwaje waziri, vetting alifanyiwa vizuri kweli, ?
Alifundishwa miiko ya utumishi wa umma?
Something is wrong , really wrong kuanzia kwenye uteuzi wake hadi kuwa waziri.
Rais Dr Mwinyi, nashauri usimjibu bali mfanye mfano kimyamya.
kumbuka usia wa JPM
kwako.
alikuasa punguza upole. Kiongozi lazima awe mpole lakini pia awe dictator pale inapobidi otherwise huyu mzee atavuruga amani ya Zanzibar na atafanya mamlaka ya Rais Znz ionekane sio kitu, lazima ufanye mfano kama Putin ili asitokee mwingine mwenye sifa kama hizo.
Achukuliwe kadi yetu pendwa ya CCM
Achukuliwe passport yake
Akaunti Zake zichunguzwe na pesa ziwe freeze
Nyumba yake ifanyiwe inspection , usikute ana hela na anaficha ndani , huenda hata akawa anafuga magaidi
Asitoke nje ya Znz
Special force iundwe afuatiliwe kila anapoenda ijulikane na anaonana na nani, na kwa lengo gani
kuna kitu hakipo sawa Mh Rais