Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wadau
Wapo baadhi ya Wanasiasa ambao kauli zao za Mara kwa Mara zinatilia Shaka sio tu Uzalendo wao Bali pia hata Uraia wao. Kauli zao sio rahisi zitolewe na Mtanzania mwenye mapenzi makubwa na Nchi yake.
Naomba kwa lengo tu la kukiridhisha Mamlaka husika angalau zipi tie pitie taarifa za Uraia wa Wafuatao:
1. John Heche
2. Zito Kabwe
Aksanteni
Wapo baadhi ya Wanasiasa ambao kauli zao za Mara kwa Mara zinatilia Shaka sio tu Uzalendo wao Bali pia hata Uraia wao. Kauli zao sio rahisi zitolewe na Mtanzania mwenye mapenzi makubwa na Nchi yake.
Naomba kwa lengo tu la kukiridhisha Mamlaka husika angalau zipi tie pitie taarifa za Uraia wa Wafuatao:
1. John Heche
2. Zito Kabwe
Aksanteni